Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Eeeeeh ......🙌
Lihelikopta libovu lina miaka 30 na sehemu zake kadhaa zinahitaji Matengenezo ila hatuhangaiki nayo lakini Kutwa tuko kuwakalia Vikao Israel ( Taifa la Mungu na la GENTAMYCINE ) kwanini Mwenyezi Mungu asikilaani kisha Waisraeli wapenyezewe hiyo Taarifa na Wao waipangie Miundombinu ya KIMAFIA na KIJASUSI ili Kuiangusha hasa Wakivizia ikiwa na ADUI muhimu ndani ili iwe sehemu yao ya awali ya Kulipiza kisasi kwa Kushambuliwa mwaka huu huu? Kudadadeki Shikamoo Israel.
 
Sana mkuu hakuna mwenye akili kubwa hapa jf kama ww mkuu popoma afu nilisahau wenye akili mpo wawili tu wewe popoma na melo mwenye jf yake basi
Yaani nimecheka hadi basi Mkuu. Nimeandika hivyo Makusudi ili Kuwakera tu HATERS wangu na najua wanaumia Kinoma.
 
IRGC vows to avenge the killing of Raesi. Itar Tass

Kwanza ni aibu kukiri Rais wenu kauawa na watu kutoka nje! Inaonyesha uzembe wa hali ya juu.Hata kama ni kweli unakaa na kuamua kufanya kisasi kimya kimya...
 
Finally MOSAD did it again
what amazes me ni kwamba, walijua hadi kati ya zile tatu, ipi yeye kapanda na yule waziri wa foreign mwenye mdomo mchafu. au kwasababu inajulikana, zikiwa tatu zimeongozana utaijua tu ipi ya ulinzi na ipi inalindwa. manake imedondoka ya kwake tu, zile zingine zimerudi home safely. na wanaogopa wakikubali kwamba kadunguliwa, wataonekana wao technolojia waliyokuwa wanatamba wanayo imefeli. wanaishia kusema, ni ajali ya kawaida. kawaida kivipi katika mazingira kama ayo?

chopa tatu zimeongozana, moja ya Rais, mbili za ulinzi kumzunguka, alafu inapigwa hadi inapotea, zile za ulinzi ziliuwa wapo hadi ipotee bila wao kujua waanze kuitafuta maporini vile? afu kule maporini nasikia kuna maumbwa mwitu kibao, si ukuta yemewatafuta zile pua. kwenye mtandao watu wanasema hadi waone sure ndio wajue umbwamwitu hawajawawekea chumvi na pilipili na kachumbari.
 
Tuachane na Mambo ya Imani.
Mwili umeshapatikana ama ameungua hatambuliki kabisa.
Mkuu. Kule hakuna ubwabwa Kama misiba ya huko kwenu Mwananyamala.

Mkuu tuko msibani, Mwananyamala kisiwani......

1716229152991.png
 
what amazes me ni kwamba, walijua hadi kati ya zile tatu, ipi yeye kapanda na yule waziri wa foreign mwenye mdomo mchafu. au kwasababu inajulikana, zikiwa tatu zimeongozana utaijua tu ipi ya ulinzi na ipi inalindwa. manake imedondoka ya kwake tu, zile zingine zimerudi home safely. na wanaogopa wakikubali kwamba kadunguliwa, wataonekana wao technolojia waliyokuwa wanatamba wanayo imefeli. wanaishia kusema, ni ajali ya kawaida. kawaida kivipi katika mazingira kama ayo?

chopa tatu zimeongozana, moja ya Rais, mbili za ulinzi kumzunguka, alafu inapigwa hadi inapotea, zile za ulinzi ziliuwa wapo hadi ipotee bila wao kujua waanze kuitafuta maporini vile? afu kule maporini nasikia kuna maumbwa mwitu kibao, si ukuta yemewatafuta zile pua. kwenye mtandao watu wanasema hadi waone sure ndio wajue umbwamwitu hawajawawekea chumvi na pilipili na kachumbari.

Tuko msibani, usitutie machungu...

1716229313023.png
 
God Bless Israel

Mkuu ile chopper ilikuwa imechoka.....Hawa ni Aljazeera....

Sanctions likely played role in Raisi’s helicopter crash: Analyst​


Independent aviation analyst and consultant Alex Macheras tells Al Jazeera it is likely that the decades-long sanctions against Iran have played a role in the helicopter crash because its fleet is old and deteriorating.
“The helicopter involved was acquired over 40 years ago. … Iran is home to the world’s oldest commercial aviation fleet. It is a similar scenario to those aircraft that are owned privately,” Macheras said.
About 2,000 Iranians have died in aircraft crashes since 1979, he added.
“This is a country that because of the sanctions has struggled to obtain spare parts. In aviation, spare parts are fundamental in order to provide adequate maintenance not least to young jets but especially to the older jets that need extra care,” Macheras said.
“When aircraft are not receiving the maintenance that is required, you end up in a territory that puts ultimately the lives of those on board an older aircraft at risk,” he added.
 
Mkuu ile chopper ilikuwa imechoka.....Hawa ni Aljazeera....

Sanctions likely played role in Raisi’s helicopter crash: Analyst​


Independent aviation analyst and consultant Alex Macheras tells Al Jazeera it is likely that the decades-long sanctions against Iran have played a role in the helicopter crash because its fleet is old and deteriorating.
“The helicopter involved was acquired over 40 years ago. … Iran is home to the world’s oldest commercial aviation fleet. It is a similar scenario to those aircraft that are owned privately,” Macheras said.
About 2,000 Iranians have died in aircraft crashes since 1979, he added.
“This is a country that because of the sanctions has struggled to obtain spare parts. In aviation, spare parts are fundamental in order to provide adequate maintenance not least to young jets but especially to the older jets that need extra care,” Macheras said.
“When aircraft are not receiving the maintenance that is required, you end up in a territory that puts ultimately the lives of those on board an older aircraft at risk,” he added.
kwani Iran hana uwezo kutengeneza helicopter zao? wakati drones na missiles wanaweza. poleni kwa msima.
 
Back
Top Bottom