Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

😄 hivi we ni ujinga au unajitoa akili, sa vipi wale walio kufa wa Israel kwa kujipiga wenyewe kwa wenyewe kwanini asiwakingie kifua wasife, au wanao uliwa na Hamas au pia anafanya ubaguzi kwa wengine waisrael kama anavyo wabagua wote wasio kuwa waisrael.

Sa we si Muisrael vipi utaenda peponi au? Kama utaenda vipi utaenda na wewe Mtanzania 😄

Kapime akili dogo hakuna Mungu wa taifa moja Mungu ndio huyo huyo wa mataifa yote.
Kwa maswali yako haya tu inaonyesha wewe ndio ukapime akili. Hujui kitu yaani
Suala la kwenda mbinguni ni mtu yoyote aliyesawa mbele za Bwana.
Na ukisema waliouliwa na hamas kwa nini hakuwakingia kifua wasife, ni hivi Mungu ni mtakatifu hachangamani na visivyo vya kiMungu. Wale vijana walifanya party ya miziki ya kidunia wakampa shetani nafasi yakuwashambulia.
Na vita ya kupigania hatima unaweza kupoteza chochote
 
Marehemu Mzee Ayatula alikuwa Basha Bazi mpenda Vijana wadogo.

Mzee Ayatula akila Denda na Mtoto mdogo 👇
1e8357_a45d31fddbbf43809a5bc0325e31be46~mv2.jpg
 
Nimeamini majinni hayana nguvu mbele ya hali ya hewa iliyoumbwa na Mwenyezi Mungu
 
WAISLAM
"Hivyo ndivyo itakavyokuwa; na tutawaozesha na wale wanawake wenye macho makubwa mazuri." (Qur'ani 44:54)

Pia katika Surah Al-Tur, Aya ya 20, inasema:

"Wakiwa wameegemea katika viti vya enzi vilivyopangwa safu. Na tutawaozesha na wale wanawake wenye macho mazuri makubwa." (Qur'ani 52:20)

WAKIRISTO NA WASIOKUWA WAISLAM

    • Maji ya Moto na Usaa: Watu wa Motoni watalazimika kunywa maji ya moto na usaha, ambayo yatakuwa ni mateso makubwa kwao.
    • Njaa na Kiungulia: Watakumbwa na njaa na kiungulia ambavyo havitazimwa kwa chakula au kinywaji chochote. Katika Surah Al-Ghashiyah, Aya ya 6-7, inasema:"Hawatakuwa na chakula ila mti wenye miiba. Hautanenepesha wala hautashibisha njaa." (Qur'ani 88:6-7)
    • Nguo za Moto: Watu wa Motoni watavishwa nguo za moto, kama inavyosemwa katika Surah Al-Hajj, Aya ya 19:"Hizi ni sehemu mbili zenye kugombana, ambazo ziligombana kuhusu Mola wao Mlezi. Basi wale waliokufuru watakatwa nguo za moto, na juu ya vichwa vyao yatamiminwa maji yenye kuchemka." (Qur'ani 22:19)
  • Majuto na Masikitiko:
    • Watu wa Motoni watajuta kwa kutokufuata mwongozo wa Mwenyezi Mungu na watakuwa na masikitiko makubwa kwa yale waliyoyafanya duniani. Katika Surah Al-Mulk, Aya ya 10, inasema:"Na walisema: Lau tungelisikia au tungelitafakari, tusingelikuwa katika watu wa Moto wa Jahannam." (Qur'ani 67:10)
  • Ukosefu wa Msaada:
    • Watu wa Motoni hawatapata mlinzi wala msaidizi. Watakuwa peke yao katika mateso yao. Katika Surah Al-Baqarah, Aya ya 86, inasema:"Hao ndio walionunua maisha ya duniani kwa Akhera, basi adhabu yao haitapunguzwa, wala hawatanusuriwa." (Qur'ani 2:86)
Hizi ni hadithi tu kama ya Juma na Roza wanasoma kitabu au Sungura alimdanganya Tembo akakanyaga moto 🔥 hamna kitu hapo ni dogma tu hizo.
 
Asanteni sana BBC ( English Version ) kwa Kuichambua vilivyo Helicopter iliyofanya yake Jana. Kutwa tu Kupanga Mashambulizi dhidi ya Taifa Teule la Mungu la Israel huku ukiwasaidia Hamas na ukiungana na Lebanon, Syria na Yemen Kuishambulia Israel wakati Helicopter yako imeshazeeka na Kununua mpya kumekushinda.

Yaani kabisa uhusike katika Kulihujumu Taifa Teule na Mungu Israel halafu eti LAANA yake Mwenyezi Mungu isikupate?
 
Israel ni noma. Mimi nilishangaa walipowatwanga watoto wote wa Ismail Haniy kiongozi wa Hamas. Walijuaje wale ni watoto wake?
Dada wa Ismail Haniya ni Raia wa Israel na anahudumiwa kila kitu na Serikali ya Israel, kaka yake ndio kichwa ngumu
 
Back
Top Bottom