imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kunywa Bia kufa kwaja.Kila mtu ataondoka kila kitu ni mtihani wako , ulimwengu Si mahali pa kustarehe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunywa Bia kufa kwaja.Kila mtu ataondoka kila kitu ni mtihani wako , ulimwengu Si mahali pa kustarehe
Nope sorry to inform you, seems like it, even kobe brayant suffered the same, the late vice president john garang suffered similar situation. All other reasons are just conspiracy theoriesIran has not called this an accident,you are very mistaken.They at the very early stages of a thorough investigation into the matter.They have said every inch of the helicopters' wreckage will be forensically investigated to see if there is any foul play to.If there is foul play,heaven will break loose.
Both.wewe ni mmoja wao waliyepanga ? Au ni msemaji wao ?
Kwani Wewe ulipoambiwa kuwa Israel ni Taifa Teule la Mungu ulielewa nini? Mungu huwa anawaacha Watu wake Wateseke?Israel ni noma. Mimi nilishangaa walipowatwanga watoto wote wa Ismail Haniy kiongozi wa Hamas. Walijuaje wale ni watoto wake?
Nimekuelewa ila wewe ndio hukunielewa.Huwezi kunielewa , uelewa wako mdogo Sana. Nielewe kwanza ndio uache kuuliza maswali ya kijinga. Ni kwamba Khaseem Suleiman ni mtu aliyekuwa ana fanya kazi kwa usiri Sana lakini akatunguliwa, sembuse ambaye yupo wazi?. Anaweza kuwa tracked? Uwe unaelewa.
Wenye Akili Kubwa hilo tulilitegemea na tumelijua jana ile ile tu. Shikamoo Israel Kudadadeki. Halafu wamekaa Kimya.Muisrael kafanya yake hapo
na ile ya Hitler ilikuwa nini?Kwani Wewe ulipoambiwa kuwa Israel ni Taifa Teule la Mungu ulielewa nini? Mungu huwa anawaacha Watu wake Wateseke?
Mungu alikuwa anawakomaza Wayahudi ile Leo hii waje kuwa Tishio duniani na kama unavyoona sasa wakifanyacho.na ile ya Hitler ilikuwa nini?
Wagalatia akili huwa hawana kichwani.na ile ya Hitler ilikuwa nini?
Ndivyo Mafundisho ya kanisa lenu hayo ?Mungu alikuwa anawakomaza Wayahudi ile Leo hii waje kuwa Tishio duniani na kama unavyoona sasa wakifanyacho.
Ukianguka watu wanakutafunaKunywa Bia kufa kwaja.
Wapi hi story mmeitoa mbona haipo kwenye Qur'an au mmeitoa kwenye bibilia za uwongo au zile fake hadith 😄Hamna mtu asietaka pepo ya Allah. Wanawake mabikira 72 wenye macho kama vikombe + mito ya pombe inatirirka bila kukauka 😁😁
Takbiiir
Hapa nilipo sio Zanzibar watu hawapendi mapenzi ya Jinsia moja.Ukianguka watu wanakutafuna
hiyo ni kawaida ya empires hapa duniani, kuna kipindi inakuwa juu halafu inaanguka. Hakuna la ajabu wala la kuwa taifa teule.Mungu alikuwa anawakomaza Wayahudi ile Leo hii waje kuwa Tishio duniani na kama unavyoona sasa wakifanyacho.
halafu hawa jamaa walikuwa lowest of the low katika jamii karibu zote Europe na hata marekani mpaka Urusi. Walikuwa wanaishi wenyewe, na maisha yao yalikuwa biashara za kitapeli tapeli sana. Angalia hata Marekani ilikuwa kwenye kupangisha nyumba mijini walikuwa na notisi 'no blacks, italians or jews'Wagalatia akili huwa hawana kichwani.
Huyo Mungu hakuwaona kipindi cha Hitler na kipindi cha Ottoman empire akati wanachinjwa!?
Yaani Helicopter ianguke huko Milimani halafu apone Mtu? Waisraeli / Wayahudi hawajawahi kukosea kabisa Target zao.
Heeeee!Kumbee!?halafu hawa jamaa walikuwa lowest of the low katika jamii karibu zote Europe na hata marekani mpaka Urusi. Walikuwa wanaishi wenyewe, na maisha yao yalikuwa biashara za kitapeli tapeli sana. Angalia hata Marekani ilikuwa kwenye kupangisha nyumba mijini walikuwa na notisi 'no blacks, italians or jews'