Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

ila Kamenei yupo mafichoni huko kwenye mahandaki.

Akiona haya, lazima aingie mafichoni....

1716229706021.png
 
kwani Iran hana uwezo kutengeneza helicopter zao? wakati drones na missiles wanaweza. poleni kwa msima.

Mkuu amekewa overrated na Washia wa bongo.......ile nchi inapumulia machine....Pesa zote wametumbukiza kwenye drones na nuklia....akili yote iko huko.....
 
Mkuu ile chopper ilikuwa imechoka.....Hawa ni Aljazeera....

Sanctions likely played role in Raisi’s helicopter crash: Analyst​


Independent aviation analyst and consultant Alex Macheras tells Al Jazeera it is likely that the decades-long sanctions against Iran have played a role in the helicopter crash because its fleet is old and deteriorating.
“The helicopter involved was acquired over 40 years ago. … Iran is home to the world’s oldest commercial aviation fleet. It is a similar scenario to those aircraft that are owned privately,” Macheras said.
About 2,000 Iranians have died in aircraft crashes since 1979, he added.
“This is a country that because of the sanctions has struggled to obtain spare parts. In aviation, spare parts are fundamental in order to provide adequate maintenance not least to young jets but especially to the older jets that need extra care,” Macheras said.
“When aircraft are not receiving the maintenance that is required, you end up in a territory that puts ultimately the lives of those on board an older aircraft at risk,” he added.
Unawaamini Aljazeera!

God Bless Israel
 
Asanteni sana BBC ( English Version ) kwa Kuichambua vilivyo Helicopter iliyofanya yake Jana. Kutwa tu Kupanga Mashambulizi dhidi ya Taifa Teule la Mungu la Israel huku ukiwasaidia Hamas na ukiungana na Lebanon, Syria na Yemen Kuishambulia Israel wakati Helicopter yako imeshazeeka na Kununua mpya kumekushinda.

Yaani kabisa uhusike katika Kulihujumu Taifa Teule na Mungu Israel halafu eti LAANA yake Mwenyezi Mungu isikupate?
kuna mbweha koko wamekuwa wakibweka humu kuwa iran inaunda yenyewe silaha zake, mara al shaheed, mara nini, sasa iweje itumie helkopta ya kizamani tena haikuitengeneza yenyewe?
 
Yani mkaka mtanashati ukimcheki kwa nje kumbe kavaa boksa imetoboka, isitoshe ina miaka zaidi ya mitatu.
 
Ama kweli 1978,mpaka leo anapanda prezdent bila matengezo ,escort walipanda ambazo ziko imara
 
Achana na Rais kupandishwa ngalangala. Swali langu lilikuwa kwanini maofisa wa Iran wamsafirishe Rais kwa helicopter kwenye hali mbaya ya hewa na mazingira magumu. Na kwanini Rais helicopter yake itafutwe zaidi ya masaa 16 bilabila mpaka Uturuki itoe msaada, wakati alipoanguka wanadai ni 600 miles kutoka mji mkuu. Hawako serious hawa maafisa

Wako active kwa kupambana na Wayahudi....Sio kwa mambo kama haya......Ila wamewaza hata kurudi na mabaki...

1716231104615.png
 
what amazes me ni kwamba, walijua hadi kati ya zile tatu, ipi yeye kapanda na yule waziri wa foreign mwenye mdomo mchafu. au kwasababu inajulikana, zikiwa tatu zimeongozana utaijua tu ipi ya ulinzi na ipi inalindwa. manake imedondoka ya kwake tu, zile zingine zimerudi home safely. na wanaogopa wakikubali kwamba kadunguliwa, wataonekana wao technolojia waliyokuwa wanatamba wanayo imefeli. wanaishia kusema, ni ajali ya kawaida. kawaida kivipi katika mazingira kama ayo?

chopa tatu zimeongozana, moja ya Rais, mbili za ulinzi kumzunguka, alafu inapigwa hadi inapotea, zile za ulinzi ziliuwa wapo hadi ipotee bila wao kujua waanze kuitafuta maporini vile? afu kule maporini nasikia kuna maumbwa mwitu kibao, si ukuta yemewatafuta zile pua. kwenye mtandao watu wanasema hadi waone sure ndio wajue umbwamwitu hawajawawekea chumvi na pilipili na kachumbari.
Huyo unaye sema ana mdomo mchafu alisha kutongoza ww na mama yako akawaomba uchi ndo ukagundua kuwa ana mdomo mchafu?

Jaribu kupunguza kejeli za kijinga kila mtu atakufa na wala hajui atakufa muda wala kifo cha aina gani, bora huyo kafa kwa ajali ,ww kifo chako inaweza kikawa baada ya kufumuliwa malinda na wanaume zaidi ya 6 baada ya kufumaniwa na mke wa mtu gest.
Au usishangae ww ambaye uko hapa unaandika uharo wa kudhihaki wengine hata kesho asubuhi usione mkaungana na hao unao wadhihaki.

Alafu kingine huyo siyo kiongozi wa kwanza kufa kwa ajali ya helicopter.wapo wengi zaidi ya 10 hivyo hiyo ni ajali ya kawaida
 
Huyo unaye sema ana mdomo mchafu alisha kutongoza ww na mama yako akawaomba uchi ndo ukagundua kuwa ana mdomo mchafu?

Jaribu kupunguza kejeli za kijinga kila mtu atakufa na wala hajui atakufa muda wala kifo cha aina gani, bora huyo kafa kwa ajali ,ww kifo chako inaweza kikawa baada ya kufumuliwa malinda na wanaume zaidi ya 6 baada ya kufumaniwa na mke wa mtu gest.
Au usishangae ww ambaye uko hapa unaandika uharo wa kudhihaki wengine hata kesho asubuhi usione mkaungana na hao unao wadhihaki.

Alafu kingine huyo siyo kiongozi wa kwanza kufa kwa ajali ya helicopter.wapo wengi zaidi ya 10 hivyo hiyo ni ajali ya kawaida
God Bless Israel
 
Huyo unaye sema ana mdomo mchafu alisha kutongoza ww na mama yako akawaomba uchi ndo ukagundua kuwa ana mdomo mchafu?

Jaribu kupunguza kejeli za kijinga kila mtu atakufa na wala hajui atakufa muda wala kifo cha aina gani, bora huyo kafa kwa ajali ,ww kifo chako inaweza kikawa baada ya kufumuliwa malinda na wanaume zaidi ya 6 baada ya kufumaniwa na mke wa mtu gest.
Au usishangae ww ambaye uko hapa unaandika uharo wa kudhihaki wengine hata kesho asubuhi usione mkaungana na hao unao wadhihaki.

Alafu kingine huyo siyo kiongozi wa kwanza kufa kwa ajali ya helicopter.wapo wengi zaidi ya 10 hivyo hiyo ni ajali ya kawaida
kaka, poleni tu kwa msiba. mtuambie tu mnasafirisha au mnazika palepale tehran.
 
Kwa takwimu za masuala ya kijeshi Iran inamiliki Helicopter zaidi ya 125 bado hatujaweka za kiraia , kwa hiyo hizo zote unataka kuniambia ni kutoka Marekani?
Kwa Tabia ya viongozi walivyo na wanavyo angaliwa si rahisi kama zipo hizo na Rais akapanda Bell ya Mwaka 1968.Huko.

Hizo takwimu Hebu ziweke hapa.
Watu hata drones za maana hawana ila makombora ya kurusha toka nchi moja kwenda nyingine wanayo
 
Back
Top Bottom