Rais wa miaka 10 wa watu milioni 60, siku yake kubwa kuliko zote maishani ilikuwa kukutana na Michael Jackson na Rihanna!

Mnhh!! Labda it was a joke aisee!

It's a joke?

Basi ndivyo dunia inavyotuona.... Waafrika we are the joke of the world!

A permanent underclass and the laughing stock of the world.

Viongozi wetu wenyewe ndio hawa! Haoni aibu kutuambia alikuwa anafikia hoteli ya Michael Jackson, WESTIN PALACE MADRID, hajui kwamba hiyo ni skendo maskini ya Mungu....

 
Kila kabila (mtanisamehe) lina jadi yake. Mkwere ni ngoma, jando, unyago and the like! Lianna ni unyago like girls, Michael ni jando... Pwani yote ni hayo tu, haya ya urais ni mambo ya kuiga siyo jadi yao!
 
Kila kabila (mtanisamehe) lina jadi yake. Mkwere ni ngoma, jando, unyago and the like! Lianna ni unyago like girls, Michael ni jando... Pwani yote ni hayo tu, haya ya urais ni mambo ya kuiga siyo jadi yao!

Shida ni Uislamu, tatizo liko hapo, Uislamu haufundushi earning a leaving through hard work, mfumo unaojenga Dunia ni christian, shida iko hapo, hawajui kufanya kazi kwa bidii kujenga nchi, wanajua raha na kutumia, basi, hawajui kwamba nchi inajengwa kwa jasho na siyo blah blah na starehe.

Kwani kuna Viongozi wengi wametokea Pwani ambao ni Christian na wamekwenda Christian Schools wamepata mafunzo ya Christinianity wako vizuri sana tu, hivyo kutoka Pwani siyo tatizo, tatizo ni malezi na Madrasa!
 
"Ten Cent' nadhani alikuwa anataka kusema "Fifty Cent"
I don't expect you to believe me
Lakini nilipokuwa Marekani nilipishana na Fifty Cent alipokuwa anafanya morning stroling.
Najua ilikuwa ni Fifty Cent kwa sababu two or three days before that nilikuwa nimeitazama sinema ya maisha yake, starring himself--- William Curtis, nadhani anaitwa.
 
Nxhi ndo iko kwao sasa, tufanyeje!!
 
Chuki tu zinakusumbueni nyinyi. Hamna lolote.
 
Kila kabila (mtanisamehe) lina jadi yake. Mkwere ni ngoma, jando, unyago and the like! Lianna ni unyago like girls, Michael ni jando... Pwani yote ni hayo tu, haya ya urais ni mambo ya kuiga siyo jadi yao!
Kumbe wewe mzee ni mjinga hivi!!
 
Maumivu makubwa ya moyo ndio sifa ya maoni mengi ya watanzania mtandaoni.

JK n mtu chakaramu, sidhani kama anakunywa pombe kama marehemu wote watatu waliokuwa marais wa TZ, starehe nyingine ndio nyumbani kwake.
 
Maisha binafsi yanaruhusiwa kwa kila mtu. That is his very personal side. Umaskini wangu na wako ukiupa uhusiano wa moja kwa moja na maisha ya viongozi wetu utaishia kuumia tu moyoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…