Rais wa miaka 10 wa watu milioni 60, siku yake kubwa kuliko zote maishani ilikuwa kukutana na Michael Jackson na Rihanna!

Rais wa miaka 10 wa watu milioni 60, siku yake kubwa kuliko zote maishani ilikuwa kukutana na Michael Jackson na Rihanna!

Nxhi ndo iko kwao sasa, View attachment 2381924tufanyeje!!

Bata siku 5460, paradiso ya kukumbukwa
 

Bata siku 5460, paradiso ya kukumbukwa
 
Basi sema shida iko wapi? Huu ni ukweli ulio wazi na wala siyo udini, mfumo wa Kiuchumi unaondesha Dunia ya leo ni Christian au unatokana na Western Christian philosophy, na kila nchi inayotaka kuendelea ni lazima itaiga Christian way of education, work ethics etc Japan waliiga, Korea, Taiwan, Singapore na hata China wanaiga pia wanaendelea vizuri, huwezi kukuta Kiongozi mkubwa China au Japan anaongea kama huyo mzee na cha ajabu ametembea sana kila siku yuko nije lkn bado hauoni tofauti, ni kwa nini unafikiri?
Wamagharibi wanatawalana kwa Usekula acha kujidanganya wewe. Ukristo walishaanza kuupuuza tokea kuanzia karne ya 18 huko.

Ndio maana watu huko Ulaya na sehemu nyengine za Magharibi sasa hivi hawachomwi tena moto kwa sababu ya kulikataa kanisa au kulipinga, ndoa za jinsia moja zinahalalishwa, kuna uhuru wa kufanya machafu. Halafu Ubepari ni Ukristo kumbe!! Na nyinyi pia mna Sheria!! Si nasikia nyinyi hamna Sheria mko kiroho na Sheria ni mambo ya kimwili??
 
Hivi ikitoa mtu mmoja katika watu million sitini wanabaki million 59? Hesabu hii sijuwi umepiga kwa kutumia fomula ya wapi? Hapa imefanya na hoja yako isitiliwe maanani
 
Kumbe sio mjinga tu, pia hujiheshimu wewe mzee. Halafu kutwa kucha kuwasema wenzio hawako civilized.
Tatizo wewe ni wa dini ile! Ile ya zanzibara haitaki wakristo wajenge kanisa! Short of that ungelinielewa na kuelewa uhalkisia wa pwani
 
Basi sema shida iko wapi? Huu ni ukweli ulio wazi na wala siyo udini, mfumo wa Kiuchumi unaondesha Dunia ya leo ni Christian au unatokana na Western Christian philosophy, na kila nchi inayotaka kuendelea ni lazima itaiga Christian way of education, work ethics etc Japan waliiga, Korea, Taiwan, Singapore na hata China wanaiga pia wanaendelea vizuri, huwezi kukuta Kiongozi mkubwa China au Japan anaongea kama huyo mzee na cha ajabu ametembea sana kila siku yuko nije lkn bado hauoni tofauti, ni kwa nini unafikiri?
Unachanganya Western na Christian. Hakuna kitu kama Western Christian Philosophy. Nchi kutilia mkazo lugha za kiingereza na za kifaransa kama wanavyofanya China haina maana kuwa wanaiga Christian values. Wao value zao ziko based zaidi kwenye philosophy ya Confucius kuliko value za magharibi. In fact, wao wanaona value za magharibi zitawapoteza.

Spain ilitawaliwa kwa miaka 800 na waarabu. Kwa sababu hiyo utamaduni wao lugha, chakula n.k. mpaka zilikuwa influenced sana na waarabu.
Waarabu ndio waligundua mfumo wa decimal, algebra na waliendeleza sana trigonometry. Bila wao hizi hesabu tunazojifunza zisingekuwa hivyo. Waarabu ndio waliwafundisha wazungu matumizi ya sabuni n.k.

Tamaduni zote zilifaidika kutoka nyingine. Hata sisi waafrika tuliwainfluence wazungu katika art, muziki n.k. Na sasa hivi wanatambua kuwa tulikuwa tuna ujuzi zaidi kuhusu masuala ya mazingira, mimea asili kuliko walivyodhani.

Unazijua morals za viongozi wa magharibi kama Trump ( ambae ni muongo na kuna kila dalili kuwa ni mbakaji), Boris Johnson( muongo, mvivu n.k.) , Bezos ( mbinafsi wa kutupwa)? Au vikundi vya kikristu kama KKK ?

Udini ni kitu kiovu na hakistahili kuingizwa katika majadiliano kama haya. Mkosoe Kikwete kama unataka lakini usitumie mapungufu yake kupaka matope dini yake.

Amandla....
 
Halafu wao ndio wanaongoza kuwaita Waislam wadini.

Halafu cha ajabu uzi wenyewe hauhusiani kabisa na Uislam. Mtu anakuja kuutuhumu Uislam. Yaani kumbe hawa watu kwao mtu akiwa Muislam tu ni tatizo.

Islamophobia is real.
Na wewe unarudia kosa la mwenzako. Mimi ni mmisheni pure lakini sikubaliani na msimamo wake. Sio kila mtu anayempinga ni muislamu maana sio wakristu wote wana chuki na waislamu. Unavyosema "hawa watu" inaonyesha hauna tofauti na huyo unaemsema.

Amandla....
 
Tatizo wewe ni wa dini ile! Ile ya zanzibara haitaki wakristo wajenge kanisa! Short of that ungelinielewa na kuelewa uhalkisia wa pwani
Inferiority complex na ujinga vinakusumbua we mzee. So ili usijihisi duni ndio mara uwakejeli watu wa Pwani, mara uwakejeli watu wa Mbagala ili tu ujisikie vizuri kutokana na inferiority complex na insecurities ulizo nazo.

Acha ujinga we mzee. Hovyo kabisa.
 
Na wewe unarudia kosa la mwenzako. Mimi ni mmisheni pure lakini sikubaliani na msimamo wake. Sio kila mtu anayempinga ni muislamu maana sio wakristu wote wana chuki na waislamu. Unavyosema "hawa watu" inaonyesha hauna tofauti na huyo unaemsema.

Amandla....
Nimekuelewa mkuu.

Heshima kwako

Amani.
 



Mzee, hujatutendea haki, hujarudisha heshima tuliyokupa.

The biggest day of your life haiwezi kuwa siku uliyokutana na Rihanna na Michael Jackson... Jamani!

Kwa miaka kumi ukiingia bafuni Mikocheni sisi tunaanza kusimamishwa Kiwalani kujiandaa kukupisha unaenda Airport, ukija msibani na harusini tunasimamisha kusali, kulia, kula, kuongea, mpaka we ukasaini kitabu ukakae chini, umestaafu unatumia jumba la serikali bure, petroli bure, vocha ya simu bure, mlinzi bure, mpishi, karani, dereva, shamba boy, and so forth and so forth and so forth.... Kijana wako na mke wako tumewapa ubunge na uwaziri si kwa lolote la kiuongozi walilofanya kabla ya hapo bali kwa heshima yako wewe.....


Lakini the greatest day of your life ni kukutana na Rihanna!

Hukumbuki hata siku moja uliyolala na amani kwa kupata majawabu ya tatizo moja la Mtanzania? Tanzania tuna shida milioni 60, kila mtu ana msongo, jana umetangazwa mgao wa umeme D'Salaam, kwa hiyo hata kwa Mo Dewji nako wamelala na mikelele ya genereta. Walobaki milioni 59 wamelala na mlo mmoja. Hukumbuki hata siku ulioapishwa Rais wetu? Basi ungevunga kwa kutaja siku uliyomuoa Salma, manake nae kakufumbia macho kwa makandokando kibao! Unampaisha Rihanna and your wife is sitting right next to you!


Halafu huna noma unasema ulikutana na Michael Jackson hotelini Spain ukiwa Waziri wa Madini. Hoteli pendwa ya Michael Jackson akiwa Spain ilikuwa ni WESTIN PALACE MADRID, jina lake lingine ni "the icon of luxury!"

Waziri na Rais wa nchi ambayo wasafiri tunasimamishwa vichakani "kuchimba dawa" kwa saab hatuna rest areas zenye vyoo njiani, unatumia viji tozo vyetu kukodi hoteli anayofikia Michael Jackson! Jamani! Na sijui kampuni gani la Spain ulilileta lije kutupiga makinikia..... Msalie Mtume!

Waafrika, nani atatuokoa????



View attachment 2381816

Mungu ameamua ugomvi kwa kuwaambia ukweli watanzania !! Msema Kweli ni mpenzi wa Mungu!! Isingependeza kama angewadanganya !!!
 
Back
Top Bottom