Rais wa miaka 10 wa watu milioni 60, siku yake kubwa kuliko zote maishani ilikuwa kukutana na Michael Jackson na Rihanna!

Hivi ikitoa mtu mmoja katika watu million sitini wanabaki million 59? Hesabu hii sijuwi umepiga kwa kutumia fomula ya wapi? Hapa imefanya na hoja yako isitiliwe maanani

Itakuwa kafanya hivi 60-1=59

Hahahah
 
Ndio maana alienda hijja........kumbe ilikuwa na maana kubwa kwake......tuombe mwisho mwema ....maana shetani kaamua kutoa connection ya waganga njaaa kiringeni
Hija haimpi mbingu ni kunidanganya tu
 
Kuna mambo ya hovyo sana Dunia hii.
Kuanza kupangiana ya kuongea.

Kuwa kiongozi wa Nchi hakukufanyi usiwe na mapenzi binafsi na mambo yako.
Kwahiyo ni dhambi hata akisema yeye anashabikia timu fulani ya mpira kwa kuwa ni kiongozi au tena akihudhuria mechi hiyo ng'ambo?

Vitu vyote ulivyosema anatumia bure ni dhihaka hiyo.
Tarartibu za nchi zimewekwa hivyo.
Kwahiyo ni halali na stahiki kwake.
Na wewe ukitaki pigana uje uzipate hizo hudma.

Lawama nyingine naona ni chuki tu una rogho mbaya,
unaona mwenzako anafaidiiiii
 
Haya wai chato kafagilie kaburi
 
Achana na hayo matahila ya dikteta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…