Kuna mambo ya hovyo sana Dunia hii.
Kuanza kupangiana ya kuongea.
Kuwa kiongozi wa Nchi hakukufanyi usiwe na mapenzi binafsi na mambo yako.
Kwahiyo ni dhambi hata akisema yeye anashabikia timu fulani ya mpira kwa kuwa ni kiongozi au tena akihudhuria mechi hiyo ng'ambo?
Vitu vyote ulivyosema anatumia bure ni dhihaka hiyo.
Tarartibu za nchi zimewekwa hivyo.
Kwahiyo ni halali na stahiki kwake.
Na wewe ukitaki pigana uje uzipate hizo hudma.
Lawama nyingine naona ni chuki tu una rogho mbaya,
unaona mwenzako anafaidiiiii