hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Haya, nyie shida mmekaririshwa vibaya sana......aisee mwamba kwenye kukaririsha watu alikuwa kiboko, namzawadia uprofesa haki ya nani. Aliwezaje yule mtu kuwaaminisha watu wote kuwa, ukiacha yeye, wengine wote ni wezi na mafisadi na watu wakameza likawakaa kama zilivyokaa imani za dini kwa waafrika?!!!!
Angalau yy Kwa miaka sita amenunua hata ndege tunapanda