Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaona habari yake CNN wala CBS wana NBC, wala hata Fox News
hpn inamaana atajisahau nakuanza kutafuta kazi huko.Ataanza kuosha vyombo pale White house
Source : CBS NewsFive generations of Johnsons have led the $10 billion-a-year SC Johnson, making it one of the oldest family-owned businesses in America. Lee Cowan goes inside the Racine, Wis.-based company behind Johnson's Floor Wax, Windex, Drano and many other familiar products.
Hata maisha ya kawaida mgeni akizidisha sana kukaa home baadaye anachokwa hata treatment za ugeni zinaanza kupungua.
Ndo maana watu makini hukaa siku chache ili waondoke na heshima zao. Rais unapoenda kwenye nchi ya wenzio ukakaa week. Wanakuacha wanaendelea kufanya kazi zao. Unajikuta unakaa hotelini tu kucheck movies, au unaenda kuzunguka madukani kufanya shopping.
Ndo mwishoni unaamua ukabembeee au kuogelea.... Maana huna la kufanya na wenyeji wameshakuchoka. Tuwe tunaangalia haya mambo tunapoenda ugenini.
Ndiyo, endelea kucheka!Nimecheka kwa nguvu, yaani huo mstari mmoja ndio huo umejibu kwa hilo li paragraph lote?!
kweli wewe ni komeo la chumaHata maisha ya kawaida mgeni akizidisha sana kukaa home baadaye anachokwa hata treatment za ugeni zinaanza kupungua.
Ndo maana watu makini hukaa siku chache ili waondoke na heshima zao. Rais unapoenda kwenye nchi ya wenzio ukakaa week. Wanakuacha wanaendelea kufanya kazi zao. Unajikuta unakaa hotelini tu kucheck movies, au unaenda kuzunguka madukani kufanya shopping.
Ndo mwishoni unaamua ukabembeee au kuogelea.... Maana huna la kufanya na wenyeji wameshakuchoka. Tuwe tunaangalia haya mambo tunapoenda ugenini.
NEWS RELEASE BY SC JOHNSON
RACINE, Wis. | April 19, 2022 04:03 PM Eastern Daylight Time
President Hassan of Tanzania observes Fisk Johnson, Chairman and CEO of SC Johnson, testing the efficacy of OFF!® insect repellent at SC Johnson’s Center for Insect Science and Family Health![]()
Mwenzio kaambiwa na Kikwete kuwa kutalii ni ujiko ukiacha nchi yako bila mwelekeo.Hata maisha ya kawaida mgeni akizidisha sana kukaa home baadaye anachokwa hata treatment za ugeni zinaanza kupungua.
Ndo maana watu makini hukaa siku chache ili waondoke na heshima zao. Rais unapoenda kwenye nchi ya wenzio ukakaa week. Wanakuacha wanaendelea kufanya kazi zao. Unajikuta unakaa hotelini tu kucheck movies, au unaenda kuzunguka madukani kufanya shopping.
Ndo mwishoni unaamua ukabembeee au kuogelea.... Maana huna la kufanya na wenyeji wameshakuchoka. Tuwe tunaangalia haya mambo tunapoenda ugenini.
Akishakuwa mwenyeji baadhi ya majukumu aliyokuwa ana fanyiwa atafanya yeye mfano kuosha vyombo kufagia kufua kwenda kulima kujinunulia sabuniTabia ni za kimazingira ya uchoyo uchoyo, sasa mgeni akikaa siku nyingi si anakuwa mwenyeji shida iko wapi?
Kweli ata Al-Jazeera na KTN ya Kenya?Sijaona habari yake CNN wala CBS wana NBC, wala hata Fox News
Sasa yeye anatoka kimasikin ana kaa Sana kwa watuBinadamu ni mtu asiyejulikana kabisa huwa anataka nini,yule mwingine alikuwa hatoki kabisa akijua mtafurahi akaishia kuambiwa inakuwaje hatoki,huyu anatoka ili awafurahishe wanasema anatoka ila anakaa sana...