Rais wa Nchi unapokaa muda mrefu kwenye Nchi ya Mtu mwingine unadharaulika

Rais wa Nchi unapokaa muda mrefu kwenye Nchi ya Mtu mwingine unadharaulika

Hata maisha ya kawaida mgeni akizidisha sana kukaa home baadaye anachokwa hata treatment za ugeni zinaanza kupungua.

Ndo maana watu makini hukaa siku chache ili waondoke na heshima zao. Rais unapoenda kwenye nchi ya wenzio ukakaa week. Wanakuacha wanaendelea kufanya kazi zao. Unajikuta unakaa hotelini tu kucheck movies, au unaenda kuzunguka madukani kufanya shopping.

Ndo mwishoni unaamua ukabembeee au kuogelea.... Maana huna la kufanya na wenyeji wameshakuchoka. Tuwe tunaangalia haya mambo tunapoenda ugenini.
Unamaanisha bi mama yupo disney world sasa hivi anabembea huku kashika cone mkononi🤣🤣🤣🤣
 
Hata maisha ya kawaida mgeni akizidisha sana kukaa home baadaye anachokwa hata treatment za ugeni zinaanza kupungua.

Ndo maana watu makini hukaa siku chache ili waondoke na heshima zao. Rais unapoenda kwenye nchi ya wenzio ukakaa week. Wanakuacha wanaendelea kufanya kazi zao. Unajikuta unakaa hotelini tu kucheck movies, au unaenda kuzunguka madukani kufanya shopping.

Ndo mwishoni unaamua ukabembeee au kuogelea.... Maana huna la kufanya na wenyeji wameshakuchoka. Tuwe tunaangalia haya mambo tunapoenda ugenini.
Mgeni siku ya kwanza, ya pili akalime!
 
Hiyo ni dharau kubwa sn jamaa hata hajui kama yupo humo Rais kutoka Tanzania
Hapo new York kuna wanadiplomasia wa kila aina wanaingia daily wakiwamo maraisi wa nchi mbalimbali.sasa mpaka Biden aje ajue kuna Raisi anaitwa Hangaya kutoka Tanzania kaja kuzurura new York inachukua muda sana.
 
Hapo new York kuna wanadiplomasia wa kila aina wanaingia daily wakiwamo maraisi wa nchi mbalimbali.sasa mpaka Biden aje ajue kuna Raisi anaitwa Hangaya kutoka Tanzania kaja kuzurura new York inachukua muda sana.
Kwa sasa yupo kama Hamisa Mobeto akienda marekani kumpelekea mzigo Rick Ross. Hakuna anaejua
 
Hapo new York kuna wanadiplomasia wa kila aina wanaingia daily wakiwamo maraisi wa nchi mbalimbali.sasa mpaka Biden aje ajue kuna Raisi anaitwa Hangaya kutoka Tanzania kaja kuzurura new York inachukua muda sana.
Kwanza hajui hata jina lake
 
Hata maisha ya kawaida mgeni akizidisha sana kukaa home baadaye anachokwa hata treatment za ugeni zinaanza kupungua.

Ndo maana watu makini hukaa siku chache ili waondoke na heshima zao. Rais unapoenda kwenye nchi ya wenzio ukakaa week. Wanakuacha wanaendelea kufanya kazi zao. Unajikuta unakaa hotelini tu kucheck movies, au unaenda kuzunguka madukani kufanya shopping.

Ndo mwishoni unaamua ukabembeee au kuogelea.... Maana huna la kufanya na wenyeji wameshakuchoka. Tuwe tunaangalia haya mambo tunapoenda ugenini.
Jiwe alikua hajui kizungu ndo.maana alikuwa anajifungia chato .mwache mama aendelee kufugua nchi
 
Sidhani kama tutajaribu tena kuichezea nafasi ya u makamu wa Rais.
Hakika mgombea mwenza asiwe anapitishwa na vikao,iwe dhamira ya mtu mwenyewe kuchukua fomu na ajitangaze kutia nia ya umakamu.Lissu angetwaliwa leo Rais angekuwa Salum Mwalimu
 
Hata maisha ya kawaida mgeni akizidisha sana kukaa home baadaye anachokwa hata treatment za ugeni zinaanza kupungua.

Ndo maana watu makini hukaa siku chache ili waondoke na heshima zao. Rais unapoenda kwenye nchi ya wenzio ukakaa week. Wanakuacha wanaendelea kufanya kazi zao. Unajikuta unakaa hotelini tu kucheck movies, au unaenda kuzunguka madukani kufanya shopping.

Ndo mwishoni unaamua ukabembeee au kuogelea.... Maana huna la kufanya na wenyeji wameshakuchoka. Tuwe tunaangalia haya mambo tunapoenda ugenini.
Unakuwa na kawaida yaani. Na sisi huku tunazoea kutokuwepo kwake.
 
Hata maisha ya kawaida mgeni akizidisha sana kukaa home baadaye anachokwa hata treatment za ugeni zinaanza kupungua.

Ndo maana watu makini hukaa siku chache ili waondoke na heshima zao. Rais unapoenda kwenye nchi ya wenzio ukakaa week. Wanakuacha wanaendelea kufanya kazi zao. Unajikuta unakaa hotelini tu kucheck movies, au unaenda kuzunguka madukani kufanya shopping.

Ndo mwishoni unaamua ukabembeee au kuogelea.... Maana huna la kufanya na wenyeji wameshakuchoka. Tuwe tunaangalia haya mambo tunapoenda ugenini.
Akae tu hadi mwakani atatukuta tunamsubiri
 
Haya, nyie shida mmekaririshwa vibaya sana......aisee mwamba kwenye kukaririsha watu alikuwa kiboko, namzawadia uprofesa haki ya nani. Aliwezaje yule mtu kuwaaminisha watu wote kuwa, ukiacha yeye, wengine wote ni wezi na mafisadi na watu wakameza likawakaa kama zilivyokaa imani za dini kwa waafrika?!!!!

Nimecheka kwa nguvu, yaani huo mstari mmoja ndio huo umejibu kwa hilo li paragraph lote?!
 
Back
Top Bottom