Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Unamaanisha bi mama yupo disney world sasa hivi anabembea huku kashika cone mkononi🤣🤣🤣🤣Hata maisha ya kawaida mgeni akizidisha sana kukaa home baadaye anachokwa hata treatment za ugeni zinaanza kupungua.
Ndo maana watu makini hukaa siku chache ili waondoke na heshima zao. Rais unapoenda kwenye nchi ya wenzio ukakaa week. Wanakuacha wanaendelea kufanya kazi zao. Unajikuta unakaa hotelini tu kucheck movies, au unaenda kuzunguka madukani kufanya shopping.
Ndo mwishoni unaamua ukabembeee au kuogelea.... Maana huna la kufanya na wenyeji wameshakuchoka. Tuwe tunaangalia haya mambo tunapoenda ugenini.
Mgeni siku ya kwanza, ya pili akalime!Hata maisha ya kawaida mgeni akizidisha sana kukaa home baadaye anachokwa hata treatment za ugeni zinaanza kupungua.
Ndo maana watu makini hukaa siku chache ili waondoke na heshima zao. Rais unapoenda kwenye nchi ya wenzio ukakaa week. Wanakuacha wanaendelea kufanya kazi zao. Unajikuta unakaa hotelini tu kucheck movies, au unaenda kuzunguka madukani kufanya shopping.
Ndo mwishoni unaamua ukabembeee au kuogelea.... Maana huna la kufanya na wenyeji wameshakuchoka. Tuwe tunaangalia haya mambo tunapoenda ugenini.
Hapo new York kuna wanadiplomasia wa kila aina wanaingia daily wakiwamo maraisi wa nchi mbalimbali.sasa mpaka Biden aje ajue kuna Raisi anaitwa Hangaya kutoka Tanzania kaja kuzurura new York inachukua muda sana.Hiyo ni dharau kubwa sn jamaa hata hajui kama yupo humo Rais kutoka Tanzania
Watu mna maneno...[emoji2][emoji16][emoji16]Ameshaanza kuosha vyombo na kusuka ukili
Kwa sasa yupo kama Hamisa Mobeto akienda marekani kumpelekea mzigo Rick Ross. Hakuna anaejuaHapo new York kuna wanadiplomasia wa kila aina wanaingia daily wakiwamo maraisi wa nchi mbalimbali.sasa mpaka Biden aje ajue kuna Raisi anaitwa Hangaya kutoka Tanzania kaja kuzurura new York inachukua muda sana.
Kwanza hajui hata jina lakeHapo new York kuna wanadiplomasia wa kila aina wanaingia daily wakiwamo maraisi wa nchi mbalimbali.sasa mpaka Biden aje ajue kuna Raisi anaitwa Hangaya kutoka Tanzania kaja kuzurura new York inachukua muda sana.
Aibu sn[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Sure broo
Anatutia aibu sn🤣🤣🤣📌
Jiwe alikua hajui kizungu ndo.maana alikuwa anajifungia chato .mwache mama aendelee kufugua nchiHata maisha ya kawaida mgeni akizidisha sana kukaa home baadaye anachokwa hata treatment za ugeni zinaanza kupungua.
Ndo maana watu makini hukaa siku chache ili waondoke na heshima zao. Rais unapoenda kwenye nchi ya wenzio ukakaa week. Wanakuacha wanaendelea kufanya kazi zao. Unajikuta unakaa hotelini tu kucheck movies, au unaenda kuzunguka madukani kufanya shopping.
Ndo mwishoni unaamua ukabembeee au kuogelea.... Maana huna la kufanya na wenyeji wameshakuchoka. Tuwe tunaangalia haya mambo tunapoenda ugenini.
Kabisa wala hata hamjuiAcha masihara mkuu, kwa hiyo chifu hajaonana na Antony Blinken...
Hakika mgombea mwenza asiwe anapitishwa na vikao,iwe dhamira ya mtu mwenyewe kuchukua fomu na ajitangaze kutia nia ya umakamu.Lissu angetwaliwa leo Rais angekuwa Salum MwalimuSidhani kama tutajaribu tena kuichezea nafasi ya u makamu wa Rais.
Unakuwa na kawaida yaani. Na sisi huku tunazoea kutokuwepo kwake.Hata maisha ya kawaida mgeni akizidisha sana kukaa home baadaye anachokwa hata treatment za ugeni zinaanza kupungua.
Ndo maana watu makini hukaa siku chache ili waondoke na heshima zao. Rais unapoenda kwenye nchi ya wenzio ukakaa week. Wanakuacha wanaendelea kufanya kazi zao. Unajikuta unakaa hotelini tu kucheck movies, au unaenda kuzunguka madukani kufanya shopping.
Ndo mwishoni unaamua ukabembeee au kuogelea.... Maana huna la kufanya na wenyeji wameshakuchoka. Tuwe tunaangalia haya mambo tunapoenda ugenini.
Akae tu hadi mwakani atatukuta tunamsubiriHata maisha ya kawaida mgeni akizidisha sana kukaa home baadaye anachokwa hata treatment za ugeni zinaanza kupungua.
Ndo maana watu makini hukaa siku chache ili waondoke na heshima zao. Rais unapoenda kwenye nchi ya wenzio ukakaa week. Wanakuacha wanaendelea kufanya kazi zao. Unajikuta unakaa hotelini tu kucheck movies, au unaenda kuzunguka madukani kufanya shopping.
Ndo mwishoni unaamua ukabembeee au kuogelea.... Maana huna la kufanya na wenyeji wameshakuchoka. Tuwe tunaangalia haya mambo tunapoenda ugenini.
Nasikia anataka kukutana na wasanii kama wakina mia khalifaUhuru Kenyata akienda anapokelewa na Biden yeye hata hajulikani na kutwa yupo Marekani
Karibu sana mkuuNiliimiss Jf 🤣🤣🤣
Haya, nyie shida mmekaririshwa vibaya sana......aisee mwamba kwenye kukaririsha watu alikuwa kiboko, namzawadia uprofesa haki ya nani. Aliwezaje yule mtu kuwaaminisha watu wote kuwa, ukiacha yeye, wengine wote ni wezi na mafisadi na watu wakameza likawakaa kama zilivyokaa imani za dini kwa waafrika?!!!!
Haupigwi mwingi Tena Mkuu?
Inahuzunisha sanaBiden hana time naye
bora angalau angekanyaga hiyo white house! Yuko mitaani. Hata rais biden hatawahi kusalimiana naye! Ni aibu! Si arudi tu nyumbani?Ataanza kuosha vyombo pale White house