Wee ulienda na niniBaada ya kukosa nafasi ya kuaga uwanjani nikasema ngoja niwahi uwanja wa ndege. Nilichokiona huku watu ni wengi mno wengine wametoka kwa miguu uwanjani wa Uhuru wakisindikiza msafara. Huzuni imetawala hapa ni vilio tu.
UngoWee ulienda na nini
Hali ni tete watu wanatamani wafunge Barabara asiondokeDah!!
DaladalaWee ulienda na nini
AminaPumzika Kwa Amani JPM.
Mimi nilitoka bila kuuona mwili watu ni wengi kupita maelezo
Hakuna lorivp kuna watu wanaletwa na malori kama wanavyotaka tuamini!!
Kuna mda walizuia wanje wasiingie sasa wakawa wanavizia zile sehem wanazotoka wenzao waingilie hapoKama afya mgogoro unakufa pale
Wamejionea leo.Rais MAGUFULI anapendwa sana kuliko raisi yeyote aliepita
Ninyi Washirika wakigogo humu JF na mitandao Mingine, Endeleeni kujitahidi kupandikiza chuki, kupandikiza Uovu kwa watanzania
Uongo hauwezi Shinda, Ukweli mrahisi sana
" We believe in God and We trust in MAGUFULI, Thanks for giving us a light Sisi ni Tajiri "
Afadhali Mungu wa mbinguni kampendazaidi,Rais MAGUFULI anapendwa sana kuliko raisi yeyote aliepita
Ninyi Washirika wakigogo humu JF na mitandao Mingine, Endeleeni kujitahidi kupandikiza chuki, kupandikiza Uovu kwa watanzania
Uongo hauwezi Shinda, Ukweli mrahisi sana
" We believe in God and we trust in MAGUFULI, Thanks for giving us a light Sisi ni Tajiri "
Mimi pia...Mimi nilitoka bila kuuona mwili watu ni wengi kupita maelezo
Sisi tuliomuona jana tumefaidi..na nilihisi leo kutakuwa na vurugu, nikaona niwahi jana uwanjaniMimi nilitoka bila kuuona mwili watu ni wengi kupita maelezo
Afadhali mlioenda janaSisi tuliomuona jana tumefaidi..na nilihisi leo kutakuwa na vurugu, nikaona niwahi jana uwanjani
Ukurasa wa Magufuli umeshafungwa. Haijalishi mtu anasema nini juu yake. Yaliyotokea yametokea, hayarudi tena.Rais MAGUFULI anapendwa sana kuliko raisi yeyote aliepita
Ninyi Washirika wakigogo humu JF na mitandao Mingine, Endeleeni kujitahidi kupandikiza chuki, kupandikiza Uovu kwa watanzania
Uongo hauwezi Shinda, Ukweli mrahisi sana
" We believe in God and We trust in MAGUFULI, Thanks for giving us a light Sisi ni Tajiri "