TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Ukiona Mtu Analia sana kwa uchungu jua kina vitu viwili ...

Either kafurahi sanaaa ,( ndoa mtu akiolewa hutililika machozi ya furaha)


Au anahuzunika sanaa..

ila swala LA jiwe watu wanalia kwa furaha ,huku wakijipoza na maji ya Kilimanjaro ya baridi na azam energy huku wakilia kuondoka kwa huyu jamaaa
 
Yaani TBCCM hio ndio kubwa kwao ...wanasifia mwanzo mwisho mpaka inakifu
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wengine wanapandisha maruhani
 
Nguzo yake imeondoka
 
Watu wanaoichukia ccm wanaish maisha ya tabu snaa.na wataish maisha hayo mpaka hii nchi inaingia kaburini.sabab ccm kutoka madarakan ni ndoto ...kwahyo komaen hvyo hvyo na chuki za kimaskin...ila lisu hawi rais ngooooo
 
Ameshikiliwa lakini hadondoshi vinywaji!
 
Umenena kweli kabisa, ni wakati wa maombolezo, wakati wa kutiana moyo, wakati wa kufarijiana na kujengana kitaifa kwa kuwa tuna majonzi ya kumpoteza Rais wetu hayati John P.J. Magufuli. Si wakati wa kampeni za kisiasa au kubezana!
 
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Wapinzani uchwara tulieni msutwe na watanzania! Tulieni tumuenzi shujaa wetu! Shuhudieni mliyemwita 'dictator' anavyoheshimishwa na kupendwa na watanzania! Donde hilo lazima liwakwame tu hamna jinsi!
Si mlileta siasa maji taka, sie tunawaletea siasa safi! Na huko mlikokuwa mnamchafua Magufuli nao wanafuatilia yote ili na wao waanze kuwasuta kwa upuuzi mliokuwa mnaharisha kupitia matundu yenu mfyuuuuuu!
Pumzika kwa amani shujaa wetu Magufuli!
Ulipendwa na kukubarika mwana mwema wa Africa😭!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…