TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Hayo ni maneno ya mheshimiwa Rais Samia tarehe 18 March 2021 na itakuwa ajabu kama kuna taasisi ya serikali inafikiri vingine.

Viongozi wetu wasipende kuona Umma wa watanzania kuwa ni mbumbumbu kiasi hicho.

Tumeanza kurudi nyuma tena na inasikitisha sana!
 
Heheheheh yale yale “Ndugu Watanzania naomba muamini ndugu Sokoine amekufa kwa ajali!”
 
Hakustahili kupewa majukumu mazito Sana kama haya ya kuongoza watu maana kuongoza kuna changamoto nyingi Sana.Ilitakiwa apate mda mwingi Sana wa kupumzika.
 
Nani kakuuliza, ujinga muufanye wenyewe halafu mnataka kujikosha kwetu?
 
Mtaandika sana, lakini mungu wenu amekufa. Inabidi muizoee hali tupo awamu sita kazi inaendelea.
 
Oh very saad.Je alipata nafasi ya kuomba msamaha watu aliowatendea vibaya?
RIP
 
Ni binadamu wachache sana wanaojaliwa mwisho wa namna hii.

Wengi wetu tutakufa vifo vibaya mpaka wahudumu wa mochwari wanatishika.
 
[emoji23][emoji23]hivi braza unakijua kifo au unaongea tu kufurahisha eeh
 
Apumzike kwa amani shujaa wa Tanzania, wengi tulitamani kuishuhudia Tanzania mpya chini yake. Hakika taarifa ya kifo chake kilinishtua mno…
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…