KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Inawezekana sasa pakaanza kuwemo bungeni watakaojitutumua.Na wizi wa kutisha umeshatokea wa bilioni 180 kama siyo zaidi na bahati mbaya sana tuna Bunge UCHWARA ambalo halijali maslahi ya Nchi.
Mama atakuwa anapumua sasa, katua zigo la misumari.Pole sana mama Janet magufuli.
Ubarikiwe mkuu kwa kumpa makavu huyu mjinga.Anayekupa chakula, maji, nguvu, uhai n.k sio Magufuli wala sio CCM...
Siasa za majitaka alizianzisha huyo SadistBaada ya kifo cha Magufuli sasa nimejua Tanzania hatuko salama aise. Tuchukue hatua hizi Siasa za majitaka zitatumaliza Korona inaua kweli..
R.I.P MR PRESIDENT
Ukweli umuweka mtu huru... Nyeupe iwe nyeupe katu tusiilazimishe iwe broken white. Pamoja na mabaya yake ila yasipunguze utu tukakosa kuona na yale mazuri yake 🙇Mie unafiki siutaki.. roho inauma balaa. Nilikua mpinzani kindaki ndaki ila nimelia jaman.. dah, nimeumiaaa
Haya ndio unayaona yana maana?Innaa Lilahi Wainna Ilayhi Rajiuun.(Hakika ya sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea.
Mama Samia Ukikamata Uraisi fanya vitu 5 haraka sana...
Hujatoka tu kwenye huu Uzi? Samehe kwa ajili ya nafsi yako FrankSiasa za majitaka alizianzisha huyo Sadist
Utajuta wewe na Mataga wenzakoTutajuta kwanini ameondoka... Mungu amrehemu mpendwa wetu.... daima nitakukumbuka Rais JPM. Umefanya mengi kwenye nchi yetu bila woga...
Bwana ametoa, Bwana ametwaa.
Jina la Bwana lihimidiwe
Mfugale flyover hujaona??Kuna utofauti kati ya marehemu na hayati ila acha huyu tumuite marehemu. Kwa sababu hamna alicho tuachia.
Nimelala mapema sana..dah .nilikua nacheka balaa tweeter ila dogo kwa hili tutayumba .dah nimesimama naangalia mwendokasi hapa dah ..anywys rip....Ukweli umuweka mtu huru... Nyeupe iwe nyeupe katu tusiilazimishe iwe broken white. Pamoja na mabaya yake ila yasipunguze utu tukakosa kuona na yale mazuri yake 🙇
Pole kwa kuumia, jana nilikutafuta Uzi mzima haupo.
Kwani kuna ubaya gani watu uliowataja kulazwa mahali pema peponi.Hii ndio ile hata mlevi, mwizi, mchawi hata akija utasikia Mungu amlaze mahali pema peponi.
Kuhukumu ni kazi ya Mungu
Pumzika kwa Amani JPM
Huo ni unafiki,hakuna utu wala huruma kwa muuaji. Nadhani ungekuwa Mzazi wa Ben Saanane na Azory sijui kama ungeongea huu upuuzi the so called Utu. Jiwe alikuwa ni shetani.Ukweli umuweka mtu huru... Nyeupe iwe nyeupe katu tusiilazimishe iwe broken white. Pamoja na mabaya yake ila yasipunguze utu tukakosa kuona na yale mazuri yake [emoji144]
Pole kwa kuumia, jana nilikutafuta Uzi mzima haupo.
HayaKabisa mkuu maana tumejifunza kwa kupitia dikteta uchwala
Upo sahihi, kwenye misiba we stand together pamoja na tofauti zetu kiitikadi.Mie unafiki siutaki.. roho inauma balaa. Nilikua mpinzani kindaki ndaki ila nimelia jaman.. dah, nimeumiaaa
Natafuta chance ya kuchimba kaburi lake ili nimuongezee vipimo, hapo ndipo nitapumzika.Hujatoka tu kwenye huu Uzi? Samehe kwa ajili ya nafsi yako Frank
Utajuta wewe na Mataga