TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Sio rahisi, mzee ameacha legacyjapo sielewi kwa nn watu wameamka bila hofu na wanaelekea makazini.....wkt wa mwl tiki seace chumbani, watu kimya maredio yakaimba, yakatuomboleza nk
 
Atakuwa raisi wa 6 katika awamu ya 5
 
Magufuli atakumbukwa mnoo
Watu kwa sasa wanasukumwa na mihemko ya kishetwani tuh

Shida sisi watanzania wengi wao wamejawa na unafki ipo siku rais akipatikana mwingn watasema tena”bora ya magufuli na sio huyu”inauma san
 
Kwa nini walikuwa wanakufa Ganga? How can we believe he died today? Could have been dead for a few days or weeks. It is dad, corruption will be back very soon.

are they going to free those people who said he was sick or dead. Tafadhali waaachieni, they were telling us the truth.
 
Jamaa alikuwa na roho mbaya sana. Nahisi wangekuwa hawalindi kaburi hilo watu wangefukua ili maiti iliwe na fisi...
Tuwe makini sana na tunayempa madaraka makubwa ya nchi. Haiwezekani tunakuwa na mtu ambaye hata kuumwa kwake hatuwezi kuambiwa! Jamani! Hii ni nini? Kwanini tunafika huko? Hivi vyama vijifunze kutuletea watu wa watu na siyo madikiteta wakubwa.
 
Sure
 
Kuna Mkulungwa alitutesa sana kwa pesa zake za upigaji bandarini.
Ukijisikia kukuadhibu anakuchokoza alafu anakuitia Defender kwa pesa zake za upigaji bandarini.
 
Endeleen kushangilia kifo cha Magufuli ila nawakumbusha tu “unanijua mimi nani?taraatibu zinaaanza kurudi na wale wahindi,waarabu na wenye kipato jeuri zao tutakoma
Lini kaliondoka ??
 
Kuna Mkulungwa alitutesa sana kwa pesa zake za upigaji bandarini.
Ukijisikia kukuadhibu anakuchokoza alafu anakuitia Defender kwa pesa zake za upigaji bandarini.

Naiona tanzania yenye mpasuko tuombe Mungu atuvushe salama
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…