TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Hata Bashiru Ally hafai kuwa katibu Mkuu Kiongozi, ni kada wa chama. Turudishe utumishi wa umma kwenye mstari wake. Haiwezekani vyeo vyote vya kiutumishi wanakaa wanasiasa.
 
Ule mzigo unaosemekana ulishushwa airport kutoka ng'ambo haukuwa wa kawaida maana sio kwa umakini ule, mlioko airport Julius Nyerere ulikuwa ni mzigo gani?
Niko maeneo hayo tuliyoyaona na kusikia wiki hii hayakuwa ya kawaida. Ilikuwa siku ya Jnne.
 
Ifike mahali tuache kutegemea one man show. Hiyo hofu kwa sababu ya kuamini katika mtu mmoja. Tunahitaji taasisi imara, zenye nguvu na uhuru kamili.
 
Endeleen kushangilia kifo cha Magufuli ila nawakumbusha tu “unanijua mimi nani?taraatibu zinaaanza kurudi na wale wahindi,waarabu na wenye kipato jeuri zao tutakoma
Hako unakoita kamsemo kwani kaliisha lini?! Au unamaanisha katarudi kwa kila mtu badala ya kutumika na watu maalumu peke yake!!! Btw, anayesema "unanijua mimi" huku akiwa hafanyi madhara yoyote, na yule asiyesema huku akitekeleza "unanijua mimi" kwa vitendo kama kuua watu, kufunga watu hovyo hovyo, na mengine kama hayo, bora ni yupi!! Halafu sijui unaishi dunia ipi manake hao Wahindi na wenzao uliowataja ndo wamekoma zaidi kipindi hiki kuliko wakati mwingine wowote ule!
 
Endeleen kushangilia kifo cha Magufuli ila nawakumbusha tu “unanijua mimi nani?taraatibu zinaaanza kurudi na wale wahindi,waarabu na wenye kipato jeuri zao tutakoma
Mkuu kwani kalikuwa kamekwisha au kalihama?
 
gogoki apewe heshima..Ndio maana lissu alikuwa na uhakika sana.

Majaliwa alitupotosha kwa kusema kwamba raisi yupo njema na anachapa kazi ikulu while samia anatuambia kwamba tar hizo alikuwa anapewa matibabu mzena.

Walikua wanatuficha ili sijui wamle myama😡😡😡😡🤬🤬🤬🤬
 
Kwenye watu wengi huwezi kukomesha wizi unauwezo wa kuupunguza tu 'where there many people you can not stop stealing ,you can only control'
 
Hivi mwamba kalala kweliii au wanatupima upepo .kama siamini vile[emoji26][emoji26]
 
Sio rahisi, mzee ameacha legacyjapo sielewi kwa nn watu wameamka bila hofu na wanaelekea makazini.....wkt wa mwl tiki seace chumbani, watu kimya maredio yakaimba, yakatuomboleza nk
Sasa hofu ya Nini?si tuko kwenye maombolezo?tunachapa kazi huku tukiomboleza🙏
 
Lakini kwa nini wasaidizi wake hawakuwa mstari wa mbele kulinda uhai wa kimwili wa huyu ndugu yetu? Kwa nini walimwacha afanye atakavyo?

Check up ni muhimu sana ila kama alikua hapandi ndege mda mrefu apo ni shida pia!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…