TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Fedha zinazofanya hiyi miradi ni kodi zetu sisi watanzania.

Hazikutoka kwenye mshahara wake

Yaani we jamaa “bwege” sijakutukana ila ndo pengine ulivyo kupitia comments zako! Sometimes chuja kabla hujacomment
 
Yaani we jamaa “bwege” sijakutukana ila ndo pengine ulivyo kupitia comments zako! Sometimes chuja kabla hujacomment
Ukiona mtu anatanguliza matusi badala ya kujibu kwa hoja basi ujue kaishiwa maarifa na amebakia mapengo kwenye ubongo wake
 
Yaan kupitia mwendazake iliniongezea sana somo ktk maisha. Yaan kamwe usiongee ukamaliza yote. Na heshimu kila mtu aisee hujui kesho yako... ila nashangaa sana polepole hizi balls ni za sukuma gang bado wana nguvu ama ni kina nani

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kweli aisee yaani kina Bashiru, Bashiru walidhani wangekuwa na madaraka milele,,angalia Musiba
 
Kwetu sisi tulioishuhudia tarehe 17/3/2021 tukiwa ubavuni mwa hayati rais Magufuli ilikuwa ni siku ya giza nene na simanzi nzito sana. Tulihisi dunia inaanguka.

1. Siku hiyo asubuhi hayati Magufuli alituita na kutuambia tumtegemee Mungu na tuwafukishie ujumbe watanzania wote kuwa waendelee kumtanguliza Mungu kwa kila jambo.
2.Hayati Magufuli akiwa amezungukwa na manesi na madaktari alianza kuimbisha nyimbo na baadae akaongoza sala ya kitubio.
3. Alimpigia simu padri wa kanisa la st peter's na alipofika alimwongoza sala na kumpatia mpako mtakatifu.
4. Alimpigia simu mufti mkuu shehe Zuberi na alipofika waliongea kidogo na baadae akamuomba amwombee alale salama na mufti alifanya hivyo kwa utulivu mkubwa.
5. Alimpigia simu Kardinali Pengo na kumwambia maneno yafuatayo," Nilitamani kuiona Tanzania mpya lakini kwa hali yangu sitaweza kuiona.
6. Alimpigia na kumpa dokezo CDF Mabeyo.
7. Baada ya hapo alijifunika shuka akalala na hakuamka tena.

Hakika hayati Magufuli alikuwa na mwisho mwema sana hapa duniani ambao wengi hawatafanikiwa kufa kifo hicho.

NB. Kwa wasiojua Magufuli alikuwa jasiri hata mbele ya kifo kiasi cha kupata nguvu ya kuimbisha nyimbo.!
Alikuwa anaugua nini.
 
Unaonaje ukifika pale hospital alipokua kalazwa alafu umtafute doctor aliekuepo karibu akimhudumia nafikiri ndiyo ana majibu yote ya maswali yako..

Binafsi niliskia kwenye radio kuhusu kifo chake so sijui ilikuaje..
Labda kama hajipendi aende tuu aone [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa mujibu wa maandiko matakatifu, Kama Yeye hakutengeneza maisha yake na Mungu, ata angeombewa na malaika..... Kuzimu na Moto unamuhusu. Tuandae maisha yetu kwa Toba wenyewe
 
Kwetu sisi tulioishuhudia tarehe 17/3/2021 tukiwa ubavuni mwa hayati rais Magufuli ilikuwa ni siku ya giza nene na simanzi nzito sana. Tulihisi dunia inaanguka.

1. Siku hiyo asubuhi hayati Magufuli alituita na kutuambia tumtegemee Mungu na tuwafukishie ujumbe watanzania wote kuwa waendelee kumtanguliza Mungu kwa kila jambo.
2.Hayati Magufuli akiwa amezungukwa na manesi na madaktari alianza kuimbisha nyimbo na baadae akaongoza sala ya kitubio.
3. Alimpigia simu padri wa kanisa la st peter's na alipofika alimwongoza sala na kumpatia mpako mtakatifu.
4. Alimpigia simu mufti mkuu shehe Zuberi na alipofika waliongea kidogo na baadae akamuomba amwombee alale salama na mufti alifanya hivyo kwa utulivu mkubwa.
5. Alimpigia simu Kardinali Pengo na kumwambia maneno yafuatayo," Nilitamani kuiona Tanzania mpya lakini kwa hali yangu sitaweza kuiona.
6. Alimpigia na kumpa dokezo CDF Mabeyo.
7. Baada ya hapo alijifunika shuka akalala na hakuamka tena.

Hakika hayati Magufuli alikuwa na mwisho mwema sana hapa duniani ambao wengi hawatafanikiwa kufa kifo hicho.

NB. Kwa wasiojua Magufuli alikuwa jasiri hata mbele ya kifo kiasi cha kupata nguvu ya kuimbisha nyimbo.!
Dah!!


Kwakweli ni ujasiri mkubwa sana na scenario hii inafikirisha Sana, but nina maswali mengi sana juu ya haya yasemwayo na familia na pia umeyanena na wewe,mimi nilijua kwamba kwa tatizo lake ilitokea ghafla tu yaani kama ilikuwa mshtuko ndo mpendwa wetu akawa amepoteza maisha, dah but unfeighned nilimpenda sana Magufuli [emoji24][emoji24] nam miss sana huyo mzee dah[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]


Continue resting in God's hands my beloved Papa!!
 
Kwetu sisi tulioishuhudia tarehe 17/3/2021 tukiwa ubavuni mwa hayati rais Magufuli ilikuwa ni siku ya giza nene na simanzi nzito sana. Tulihisi dunia inaanguka.

1. Siku hiyo asubuhi hayati Magufuli alituita na kutuambia tumtegemee Mungu na tuwafukishie ujumbe watanzania wote kuwa waendelee kumtanguliza Mungu kwa kila jambo.
2.Hayati Magufuli akiwa amezungukwa na manesi na madaktari alianza kuimbisha nyimbo na baadae akaongoza sala ya kitubio.
3. Alimpigia simu padri wa kanisa la st peter's na alipofika alimwongoza sala na kumpatia mpako mtakatifu.
4. Alimpigia simu mufti mkuu shehe Zuberi na alipofika waliongea kidogo na baadae akamuomba amwombee alale salama na mufti alifanya hivyo kwa utulivu mkubwa.
5. Alimpigia simu Kardinali Pengo na kumwambia maneno yafuatayo," Nilitamani kuiona Tanzania mpya lakini kwa hali yangu sitaweza kuiona.
6. Alimpigia na kumpa dokezo CDF Mabeyo.
7. Baada ya hapo alijifunika shuka akalala na hakuamka tena.

Hakika hayati Magufuli alikuwa na mwisho mwema sana hapa duniani ambao wengi hawatafanikiwa kufa kifo hicho.

NB. Kwa wasiojua Magufuli alikuwa jasiri hata mbele ya kifo kiasi cha kupata nguvu ya kuimbisha nyimbo.!
Alikufa kishujaa
 
Dah!!


Kwakweli ni ujasiri mkubwa sana na scenario hii inafikirisha Sana, but nina maswali mengi sana juu ya haya yasemwayo na familia na pia umeyanena na wewe,mimi nilijua kwamba kwa tatizo lake ilitokea ghafla tu yaani kama ilikuwa mshtuko ndo mpendwa wetu akawa amepoteza maisha, dah but unfeighned nilimpenda sana Magufuli [emoji24][emoji24] nam miss sana huyo mzee dah[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]


Continue resting in God's hands my beloved Papa!!
Hivi na wewe unaamini kabisa alichoandika hapa huyo mfia chama wa kijani Etwege ? Huyo hana hadhi hata ya kuonana na bashiru itakua jiwe?
 
Acha uongo
Kwetu sisi tulioishuhudia tarehe 17/3/2021 tukiwa ubavuni mwa hayati rais Magufuli ilikuwa ni siku ya giza nene na simanzi nzito sana. Tulihisi dunia inaanguka.

1. Siku hiyo asubuhi hayati Magufuli alituita na kutuambia tumtegemee Mungu na tuwafukishie ujumbe watanzania wote kuwa waendelee kumtanguliza Mungu kwa kila jambo.
2.Hayati Magufuli akiwa amezungukwa na manesi na madaktari alianza kuimbisha nyimbo na baadae akaongoza sala ya kitubio.
3. Alimpigia simu padri wa kanisa la st peter's na alipofika alimwongoza sala na kumpatia mpako mtakatifu.
4. Alimpigia simu mufti mkuu shehe Zuberi na alipofika waliongea kidogo na baadae akamuomba amwombee alale salama na mufti alifanya hivyo kwa utulivu mkubwa.
5. Alimpigia simu Kardinali Pengo na kumwambia maneno yafuatayo," Nilitamani kuiona Tanzania mpya lakini kwa hali yangu sitaweza kuiona.
6. Alimpigia na kumpa dokezo CDF Mabeyo.
7. Baada ya hapo alijifunika shuka akalala na hakuamka tena.

Hakika hayati Magufuli alikuwa na mwisho mwema sana hapa duniani ambao wengi hawatafanikiwa kufa kifo hicho.

NB. Kwa wasiojua Magufuli alikuwa jasiri hata mbele ya kifo kiasi cha kupata nguvu ya kuimbisha nyimbo.!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom