Rais wa Tanzania Samia aagiza majeruhi wote waliotokana na ajali iliyoua watu 25 mkoani Arusha watibiwe bure

Rais wa Tanzania Samia aagiza majeruhi wote waliotokana na ajali iliyoua watu 25 mkoani Arusha watibiwe bure

Kwa kile kilichotokea pale na tylioshuhudia ni madhara makubwa na vifo ni zaidi ya wanavyosema vyombo vya habari, naona serikali imeficha uhalisia wa hii habari na madhara yake.
 
Kuna vitu vya ajabu sana, uamuzi wa kutibu majeruhi waliotokana na ajali nao lazima autoe Rais.
Mkuu kuna vitu vyepesi (cheap) vya kutembea navyo na kuna vitu vigumu kama Umeme, maji, mfumuko wa bei, miundo mbinu n.k ambavyo havipaswi kuongelewa kwa sababu ni vikubwa kwa msemaji.
 
Watu wengi bado hawajui kama hakuna mkoa unaitwa Moshi
Moshi ni kijiji kilichopoa, among them wametapakaa ukanda wetu wa ziwa, pwani n.k.

Kilimanjaro ni mkoa wenye mashaka, ila ilikuaje kuaje ikapewa hadhi ya mkoa! Kwani Kilimanjaro ni zaidi ya kahama?
 
Huu upuuzi ndo hufanya tuanze kurumbana bila sababu....kama ameboresha SASA anahangaikia nini. Huduma za afya ni mbovu Sana.
Msilete siasa Kwa kuwa mnamegewa keki
Sasa kama kaamu kutoa bonus kuna tatizo gani? Au wewe unajua huduma za afya ni bure yaani huo ndio uboreshaji?
 
Naibu Waziri wa Afya Dkt Godwin Mollel amesema Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameagiza majeruhi wote waliotokana na ajali iliyoua watu 25 mkoani Arusha watibiwe bure

Dkt Godwin Mollel amesema hayo leo Februari, 25, 2024 alipowajulia hali majeruhi wa ajali hiyo iliyohusisha magari manne eneo la Ngaramtoni, Mkoani Arusha waliolazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mount Meru.

Dkt. Mollel amesema majeruhi wote wanaendelea vizuri na mmoja ndo kapewa Rufaa ya kwenda hospitali ya Rufaa ya Kanda KCMC Mkoani Moshi.

"Rais Samia Suluhu Hassan ametuelekeza majeruhi wote wa ajali hii kupatiwa matibabu bila kulipa gharama zozote"

Dkt. Mollel ametoa wito kwa wananchi wa mkoa wa Arusha na watanzania kwa ujumla kuwa watulivu wakati wakiendelea kuwatibia majeruhi na kwa wale waliopoteza ndugu zao utaratibu wakupatiwa miili unaandaliwa na wataalamu.

Ajali hiyo imesababisha vifo vya watu 25 na majeruhi 21.

Credit - EastAfricaTV
Kila kitu kwa mqagizo mpaka lini? Ikitokea sunami, wakaumia watu laki tano watatibiwa wore bure?
 
Rais wa wanyonge

Ila tunaomba suala la umeme likae sawa, zinatukuamishia sana kazi zetu, hasara kubwa twazipata kutokana na katakata, tuhurumieni jamani.
 
Back
Top Bottom