Rais wa Ujerumani awaomba radhi Watanzania kuhusu uhalifu wa Wajerumani wakati wa Vita vya MajiMaji

Rais wa Ujerumani awaomba radhi Watanzania kuhusu uhalifu wa Wajerumani wakati wa Vita vya MajiMaji

Rais wa Ujerumani awaomba radhi Watanzania kuhusu uhalifu wa Wajerumani wakati wa Vita vya MajiMaji
Rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier siku ya Jumatano ameomba radhi na kueleza kufedheheshwa kwake na uhalifu uliofanywa wakati wa utawala wa kikoloni wa Ujerumani nchini Tanzania, wakati huo ikiitwa Tanganyika na kuahidi kuongeza uelewa kuhusu madhila hayo katika nchi yake, imerpoti tovuti ya DW.

Kadhalika taarifa hizo za Ujerumani kuomba radhi zimechapishwa na Makumbusho ya Taifa ya Tanzania katika ukurasa wake wa mtandao wa X, zamani Tweeter.

“Ningependa kuomba radhi kwa kile ambacho Wajerumani walikifanya kwa mababu zenu hapa,” alisema Steinmeier alipotembelea makumbusho ya vita vya Maji Maji, yaliyopo mji wa Songea, mkoani Ruvuma, Kusini mwa Tanzania.

Source: BBC

Halafu kuna watu fulani humu wanasema uhalifu Tanganyika umefanywa waarabu. Wanatumia neno waarabu kwa sababu ni waislam.
Hata mkataba ulipokuja kuna waliosema wanamuonea kwa sababu uneletwa nawaislamu, ukatili wao ni wa kupuuza equally na wa hao wajermani
 
Rais wa Ujerumani awaomba radhi Watanzania kuhusu uhalifu wa Wajerumani wakati wa Vita vya MajiMaji
Rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier siku ya Jumatano ameomba radhi na kueleza kufedheheshwa kwake na uhalifu uliofanywa wakati wa utawala wa kikoloni wa Ujerumani nchini Tanzania, wakati huo ikiitwa Tanganyika na kuahidi kuongeza uelewa kuhusu madhila hayo katika nchi yake, imerpoti tovuti ya DW.

Kadhalika taarifa hizo za Ujerumani kuomba radhi zimechapishwa na Makumbusho ya Taifa ya Tanzania katika ukurasa wake wa mtandao wa X, zamani Tweeter.

“Ningependa kuomba radhi kwa kile ambacho Wajerumani walikifanya kwa mababu zenu hapa,” alisema Steinmeier alipotembelea makumbusho ya vita vya Maji Maji, yaliyopo mji wa Songea, mkoani Ruvuma, Kusini mwa Tanzania.

Source: BBC

Halafu kuna watu fulani humu wanasema uhalifu Tanganyika umefanywa waarabu. Wanatumia neno waarabu kwa sababu ni waislam.
Kulikuwa na haja gani kuweka hayo maneno ya mwisho, inferiority complex imekufanya umeharibu uzi na hutapata uchangiaji wa maana.
 
Kulikuwa na haja gani kuweka hayo maneno ya mwisho, inferiority complex imekufanya umeharibu uzi na hutapata uchangiaji wa maana.
Kama umeharibika mbona umechangia?
 
Watulipe fidia mbwa hawa! Walituharibia sana kama sio wao na ukatili wao tungekua mbali sana
Uwe mbali wapi Amna akili mbona asia walitwaliwa na kumwaga damu nyingi na wameendelea huko Vietnam Singapore na mataifa ya aina hiyo... wenzenu wanajiuliza kwanini jiwe linadondoka nyie mnasaga mahindi kwa mawe, msingetawaliwa pengine adi Leo tungekuwa tunavaa kaniki
 
Mambo mengine ni kizazi na enzi yake ...
Yaani tunashindwa angalia leo tunakoseana wapi kwa enzi zetu tunaangalia mahusiano ya karne zilizopita...
Leo tujadili elimu yetu, rasmal zinatupeleka pazuri au la.. Siwez nikamjadili karl peter alivyomwadhibu jamaa yetu kisa alitembea na kimada chake hadi adhabu ikatolewa kwa kijiji kizima...
najadili viongoz wetu kweli mikataba yetu ina tija au wanaomba radhi kama technik ya kuukaribisha umangungo mambo leo
 
Back
Top Bottom