Mkataba nini bana hata kama unasema hobyo ila unaangaliana hali halisi,je ukiimfukuza ndio uhakika wa kushinda mechi zinazofiata?Uliuona mkataba wa Gamondi na Yanga? Je kama kuna kipengele kama akifungwa 3 times in a row anafukuzwa?
Ya NjombeSijui Hersi alivuta bangi gani?
Na tutathema mwaka huu Yanga mwenzangu. Dah!Bado hatujasema
mlikuwa mnashauri sanaa kipindi Simba wanafukuza kocha kipindi kigumu ,mbona kwenu hamkufanya hivo acha mshenyento uendeleeSijui Hersi alivuta bangi gani? Unafukuza kocha wiki moja kabla ya kuelekea mechi ngumu za ligi ya mabingwa?
Sawa basi, ukamleta kocha gani?
Hizi mechi niliwaambia hatutoshinda hata moja.
German Machineeeeee nyambafyuuuu ni humu tuuuNilikuwa naangalia rekodi za huyu kocha nikajiuliza mtu mwenye akili timamu anawezaje kumchagua kuja kuongoza club kubwa kama Yanga.
Kocha hana records za maana, pia ni kama ana gundu maana kila timu anayoingia performance ya hiyo timu inashuka.
Kocha wa viungo pia aliyekuja jana ni janga jingine. Mwaka huu Yanga tutakoma kmmk.
tumemis supuKesho supu jangwani kama kawaida yetu
Hersi alikuwa anataka kocha apewe ila shinikizo kubwa lilikuwa kwa arafat makamu wa raisi alikuwa amemchoka gamondi!Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga.
Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo.
Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukoni.
Yanga inafungwaje 🤣🤣🤣🤣🤣Bado hatujasema
mnyama ni mnyama tuu mlipiga kelele sanaaa oooh hakuna shots on target sasa ninyi mlipiga hiyo shot on goalIna nini cha kuiga? Ulozi?
Mzungu bwege wa ulaya anaweza waendesha waafrica bila shida yoyote ileEti germany machine,mlizuzuliwa na rangi ya ngozi
Jamaa alipuyanga sana kwenye hili halafu kuna jamaa angu wa karibu sana shabiki mwenzangu alikuwa anafurahia gamondi kuondoka sasahivi kila nikimuuliza kwanini ulifurahia hana majibu anabubujikwa na machozi tuSijui Hersi alivuta bangi gani? Unafukuza kocha wiki moja kabla ya kuelekea mechi ngumu za ligi ya mabingwa?
Sawa basi, ukamleta kocha gani?
Hizi mechi niliwaambia hatutoshinda hata moja.
Tatizo wanajua kila mzungu ana akili wengine hamnazoMzungu bwege wa ulaya anaweza waendesha waafrica bila shida yoyote ile
Ila mara mia mzungu backbencher kuliko mwafrica mwenye akili i tell uTatizo wanajua kila mzungu ana akili wengine hamnazo
Unamaanisha rais wao?Ila mara mia mzungu backbencher kuliko mwafrica mwenye akili i tell u