Kumfumaster97
JF-Expert Member
- Sep 18, 2024
- 354
- 372
waliingizwa kwenye mfumo na Ibenge baada ya kufika bongo alisema timu kubwa Yanga na kuisema simba ila baada ya game alikuwa anaisifia simbaKweli kabisa, yaami mmepigwa na mtakuwa wa mwisho kwenye kundi. Ukijiuliza, je Gamondi alikuwa na shida gani? Jibu ni hapana,.. But endeleeni kupambana one day yes🤣🤣
Hapana namaanisha mimi wewe na mwafrica yoyote anayetembea hapa dunianiUnamaanisha rais wao?
Alikuwa hashauriki yule kipara ngoto na pia mbaguzi. Ila cha kushangaza matokeo alikuwa anapata.Kweli kabisa, yaami mmepigwa na mtakuwa wa mwisho kwenye kundi. Ukijiuliza, je Gamondi alikuwa na shida gani? Jibu ni hapana,.. But endeleeni kupambana one day yes🤣🤣
sijui hata waliangalia nini sijui nchi anayotokaKwanza huyo saed ramovic hakuwa na cv nzuri ata kule sauz alikuwa na matokeo mabaya
Spana kama hizi zinafanya kazi Mfano TU Mtu kama Azizi ki na Dube hata mtoto mdogo ukimuasha hawa jamaa hata benchi hawatakiwi kwa game ata 5 maana ni useless kwa current performanceWanayanga tutulie tumpe muda mwalimu
Walijua ni germany machine kumbe ni gobole tusijui hata waliangalia nini sijui nchi anayotoka
Walikumbuka Mjerumani alivyomfunga Brazil 7 wakajua wamepata mtu kumbe dhofla hali kabisaa timu haina hata shot on goal na walisema wao huwa wanavuna point za away sijui ni away ya wapi au ya Konde na mariooWalijua ni germany machine kumbe ni gobole tu
Au mzigo wa sindano uliisha,wameagiza mzigo mpya haujafikaWalikumbuka Mjerumani alivyomfunga Brazil 7 wakajua wamepata mtu kumbe dhofla hali kabisaa timu haina hata shot on goal na walisema wao huwa wanavuna point za away sijui ni away ya wapi au ya Konde na marioo
yamkini mkuu maan sio kwa hizi 2mbiliAu mzigo wa sindano uliisha,wameagiza mzigo mpya haujafika
huyo kirusi hapo.manara uyanga ameuanza lini?Manara kakutwa chooni anacheka
Zamu yetu kutesekaNa tutathema mwaka huu Yanga mwenzangu. Dah!
kwakwel inafungwa ivi iviYanga inafungwaje 🤣🤣🤣🤣🤣
Pamoja na ubovu wake Simba haikuwai kubanduka Robo fainali Za CAFLitimu libovu Bora hata Simba ilikuwa mbovu lakini kimataifa ilikuwa inakaza
Yatapita tuu hayokwakwel inafungwa ivi ivi
AmenYatapita tuu hayo
Mkataba nini bana hata kama unasema hobyo ila unaangaliana hali halisi,je ukiimfukuza ndio uhakika wa kushinda mechi zinazofiata?