Wewe ni muongo! ndio mana umejichanganya kwenye post yako ya service. hujui hata kujenga hoja.Huwezi hoja kaa pembeni.
Sikukutuma uni qoute.
Hii ni dalili kuwa HUNA HOJA.
Kaa pembeni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni muongo! ndio mana umejichanganya kwenye post yako ya service. hujui hata kujenga hoja.Huwezi hoja kaa pembeni.
Sikukutuma uni qoute.
Hii ni dalili kuwa HUNA HOJA.
Kaa pembeni.
Anaongea moja Kwa moja na wakubwa wao, na hajui kama wamepata vibali toka Kwa wakubwa wao kutoa hayo matamshi, ama sivyo atawapigia wahusika wawaondoeUsiombe wale jamaa waanze kukuchukulia kama threat rasmi.
Kagame anawapigaga biti alafu anarudi mlango wa nyuma kuwapa Cobalt za Congo kusawazisha maneno yake.
Sasa wewe kila kitu unawapa wachina alafu unakuja kuwapiga biti za kitoto alafu ndege tu unayotumia teknolojia yote wanayo wao si unajitafutia shida?
Awe mpole tu asipende kujibishana nao. Wakimuamulia hata sekunde hachukui.
Nimekupa maelezo umeshindwa kuyachanganua waache wenye uelewa zaidi wajadili.Wewe ni muongo! ndio mana umejichanganya kwenye post yako ya service. hujui hata kujenga hoja.
Hii statement inamshusha sana. Wenzetu hawafanyi kazi kwa maelekezo ya wakubwa bali Sera zinazoongoza nchi zaoAnaongea moja Kwa moja na wakubwa wao, na hajui kama wamepata vibali toka Kwa wakubwa wao kutoa hayo matamshi, ama sivyo atawapigia wahusika wawaondoe
Pager za mawasiliano zimewalipukia hezbolar huko beirut, si mchezoEndelea kuishi kwenye dunia yako. Watu wapo kazini kijana
Wakisha ku categorize kama threat tu huchomoiPager za mawasiliano zimewalipukia hezbolar huko beirut, si mchezo
Ujinga wa chadema ni kuzani wanaweza pewa Dora na wazungu.Hakuna kitu nyie bawacha mtaongea mueleweke ingieni porini ili tuone kama Putin anategemewa
Na kama jamaa anasema ni jaribio la kumuua lilifanyika, wewe unabisha kwanini?Sasa kama wamesema IRGC wenyewe ambao ndio walikua wanaitumia hiyo helikopta sana sana kama ambulance mie nibishe kwanini!??
Huyo jamaa ni mbishi tu hata kwenye mambo ambayo hayahitaji akili nyingi kutafakari.Hata wewe akili yako inakutima ivo, kwamba toka mwaka 1970, chombo hakikuwahi kufanyiwa service.? yani good 54 years bila service, like serious??
Inafikirisha sana! sio kila unachoambiwa unakubali, fikiria nje ya box .
Ninabisha kwasababu tatu;Na kama jamaa anasema ni jaribio la kumuua lilifanyika, wewe unabisha kwanini?
Kwa akili za kawaida tu, wangeua wangetoka mbele kusema tumeua?Ninabisha kwasababu tatu;
-Netanyahu alikiri kwa mdomo wake kuwa hawahusiki na kifo cha Ebrahim.
-Uchunguzi umefanyika na ripoti ikagundulika ni uchakavu wa helikopta na hakukuwa na interference yeyote.
-Kiakili tu za kawaida hakuna matokeo positive ya kumuua rais wa Iran ilhali supreme leader ni Ayatollah,ni sawa useme uiangushe Israel kwa kumuua Rais wao ilhali mwenye supremacy ni Netanyahu.
Nikutajie mauaji ya kisiasa aliyofanya Israel kwa usaidizi wa USA ndani ya Iran na akakiri kafanya!??Kwa akili za kawaida tu, wangeua wangetoka mbele kusema tumeua?
Nikutajie mauaji ya kisiasa aliyofanya Israel kwa usaidizi wa USA ndani ya Iran na akakiri kafanya!??
Haikuwahi kubadilishwa kifaa chochote kwasababu toka utawala wa kiislam uingie Iran, USA na Canada wali ban uuzaji wa vifaa vya anga na vyombo vya anga ikiwemo hizo helikopta kwa Iran.Ninayajua hauna haja ya kunitajia. Una maoni, ila shida unayatetea kwa namna inayotia mashaka fact zako. Eti ndege haijafanyiwa service tangu lini?
Wao wanaishi maisha? Yupo.wapi Regan?Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.
Na wale jamaa wanaweza kutumia Taifa by jingine kuwafanyia hiyo kazi , kama wanavyomtumia Ukraine, kumdhoofisha Putin, hata Xing anasikilizia kwa mbali hiyo vita ya Ukraine.Ugomvi anaotaka kuununua una hatari sana. Hatutaki machafuko au kuwa na Rais wa Katiba mwingine saivi.