Rais wangu Samia wale jamaa hawatishiwi!

Rais wangu Samia wale jamaa hawatishiwi!

Haikuwahi kubadilishwa kifaa chochote kwasababu toka utawala wa kiislam uingie Iran, USA na Canada wali ban uuzaji wa vifaa vya anga na vyombo vya anga ikiwemo hizo helikopta kwa Iran.
Yalikua yanafanyika matengenezo ya kawaida tu.
Na hayo sio maelezo yangu.
Vyombo vya habari kama reuters na vingine ndiyo viliandika.
Ndugu, si kila kinachopublish-iwa kwenye media ukibebe kama kilivyo. Vingine haviko kama vilivyohadithiwa inahitaji utumie common sense ndogo tu kuvielewa. Iweke gari isipate service miezi 6 tu uone hali yake halafu piga hesabu hio helicopter kwa muda wa siku ulizosema.
 
Bwashee we soma kama hujaelewa usilazimishe kuelewa!
Yaani huyo mama anadhani hao mabalozi ni wajinga kiasi kuwa hawajui ukweli wa nani anafanya hayo mauaji? Hata angedhikiri uchi hapo kwa Mkapa mchana kweupe, huu utekaji na mauji yanayofanywa na vyombo vya dola yana mkono wake. Hizo hasira anazoonyesha haziwezi kuondoa ukweli wa kinachoendelea kufanywa na vyombo vya dola. Wao wawarudishe hao vijana wakiwa hai au wamekufa, simple.
 
Naona leo umejitutumua mama yangu!

Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.

Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!

Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli

Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.

Soma Pia
- Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Hahaha hahaha, halafu kesho au kesho kutwa tunaenda kuomba fedha zao, bahati yetu tuliongea LOKO LANGUEJI, hebu tuongee U'NGE U'NGE tuone, mapema Jumamosi asubuhi tungepitisha sheria ya ushoga.
 
Ndege tu anazosafiri nazo zimetengenezwa na kampuni zoo. Teknolojia zote wanazo wao!

Wakitaka kukufudisha wanaweza kukuzimia mitambo ndege yako ikiwa angani tu tukarudisha mpira kati!
Kuna Mwenzao mmoja alileta mdomo akasahau walimchukua vipimo vya DNA ...Ndani ya ndege kilipulizwa kitu Cha maabara akaondoka mhusika tu.
Dunia nyoko
 
wasanii 200 na wana michezo wachache walio lambishwa asali wana mdanganya aone kama anapendwa.

ila kama ume msikia vizuri anasema eti wale jamaa walitoa tamko bila kibali kutoka mataifa yao ..
sasa si awatimue nchini tujue kama ni kweli
Dah hii kali ya Karne anadhani anaweza kuwachongea mabalozi wa Umoja wa Ulaya, Marekani na Canada kwa serikali zao watumbuliwe?😂
Yaani HAJUI serikali zao zinapata taarifa toka kwa mabalozi wao nchini?
Bure kabisa.
 
Ni muhimu aandikiwe hotuba na asome kama ilivyo, asiongeze neno,

Hii itasaidia kuondoa uwezekano wa kuchafua Hali ya hewa.
 
Ndugu, si kila kinachopublish-iwa kwenye media ukibebe kama kilivyo. Vingine haviko kama vilivyohadithiwa inahitaji utumie common sense ndogo tu kuvielewa. Iweke gari isipate service miezi 6 tu uone hali yake halafu piga hesabu hio helicopter kwa muda wa siku ulizosema.
Naomba nikuulize sio kwa ubaya.
Service ya matengenezo ya kifaa na service ya kubadilisha kifaa vinafanana!?
Kwasababu wanachodai wao ni kuwa walikua wanafanyia maintenance helikopta kwa vipuli vile vile chakavu.
Je hilo haliwezekani?
 
Naomba nikuulize sio kwa ubaya.
Service ya matengenezo ya kifaa na service ya kubadilisha kifaa vinafanana!?
Kwasababu wanachodai wao ni kuwa walikua wanafanyia maintenance helikopta kwa vipuli vile vile chakavu.
Je hilo haliwezekani?
Kwa muda uliotaja mpaka sasa hio taarifa inakuwa ni ya uongo! Ni kitu ambacho hakiwezekani.
 
Aache hadithi za kuwatisha watu.

Watu wanataka kujua hilo genge la watekaji linaongozwa na nani na matukio yaliyotokea hatua gani zimechukuliwa.

Askari wake wanabaka watu, watu wanatekwa kwenye usafiri mchana kweupe, vitisho kwa watu wasiandamane.

Yeye haoni yote hayo anaishia kuita watu mbwa na yeye kujiita chura kiziwi.
IMG_20240915_142544.jpg
 
China hamtegemei kibiashara USA na wala hamuibii teknolojia USA.
Inaonekana uko mis informed sana.
Acha kukaa vijiweni fanya tafiti.
Hiyo China unayoibeza sasa hivi ndio inaongoza kwenye uwekezaji wa R&D.
Hiyo China ndio inaongoza kwa contribution of manufactured goods duniani.
Hiyo China unayoibeza ndio nchi pekee iliyokopesha fedha sawa na IMF/WB.Kitu ambacho USA akikifanya anafirisika on the spot.
Hiyo China unayoibeza ndio inayoongoza kwa gold reserves na dollar reserve duniani.

Embu kaeni msome msichukue stori za vijiweni.
Ulishanya research au unandika tu? China itaanza kutambaa si muda mrefu- hali mbaya
 
Hili tukio walilikana na hakuna namna wamehusika.
Embu msipende kukariri vitu.
Mfumo wa helikopta ya Ebrahim Raisi ulikua wa zamani na ulishabadilishwa.
Narudia tatizo lilomuua ni la kiufundi sio assassination attempt.
We kaa endelea kuwa brain washed.
Old school commie
 
China hamtegemei kibiashara USA na wala hamuibii teknolojia USA.
Inaonekana uko mis informed sana.
Acha kukaa vijiweni fanya tafiti.
Hiyo China unayoibeza sasa hivi ndio inaongoza kwenye uwekezaji wa R&D.
Hiyo China ndio inaongoza kwa contribution of manufactured goods duniani.
Hiyo China unayoibeza ndio nchi pekee iliyokopesha fedha sawa na IMF/WB.Kitu ambacho USA akikifanya anafirisika on the spot.
Hiyo China unayoibeza ndio inayoongoza kwa gold reserves na dollar reserve duniani.

Embu kaeni msome msichukue stori za vijiweni.
Vyuo vyamarekani kuna kwejye kila coz hakisekani raia wa kichina acha ubishi Mchina aslimia 90% ya bidhaa zake anauza sana U.S.A na ulaya ndo anakopata faida huku afrika anauza takataka
 
Back
Top Bottom