Kwahiyo wewe UN ndio inajadili uchumi wa China na USA??Mimi niko huku UN wewe boya huko vijiwe vya Kahawa.....
We kweli makalio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wewe UN ndio inajadili uchumi wa China na USA??Mimi niko huku UN wewe boya huko vijiwe vya Kahawa.....
Nenda kajifunze mambo ya Diplomasia uondokane na uonga wa kipumbavu.Sawa usie muoga alafu unategemea hela za wafadhili kukujengea hadi vyoo vya shule
Kwa hiyo hajui kuwa wale wanatamka kwa niaba ya Serikali zao? Hajui kuwa nchi za wenzetu mifumo na Sera ndo zinafanya kazi sio utashi wa kiongozi wa nchi?Acha mbwembwe za kishamba mdogo wangu. Yeye kasema ataongea na wale waliowatuma kuwawakilisha huku.
Diplomasia siyo u mbumbumbu kama wako huu. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Uoga wako peleka kwenye familia yako
Ripoti nyingi zimetoka kuwa mataifa ya Ulaya yananunua nishati Russia kwa back door.Unajua kuna fedha na Mali nyingine za urusi zimezuiwa, unajua madhara ya vikwazo Kwa urusi, Kwa Nchi za ulaya magharibi kuacha au kupunguza manunuzi
Sasa hilo mie sijui mkuu.Si wangenunua za urusi au china , kuepuka hayo mapungufu ya kurusha "hedikopta" mbovu isiyo na matengenezo rasmi
Sasa kama wewe ni Papai hujuwi kazi za UN wacha utobolewe tu ndege mshale afurahie urojoKwahiyo wewe UN ndio inajadili uchumi wa China na USA??
We kweli makalio.
Wacha nikuache maana sibishani na punguani.Sasa kama wewe ni Papai hujuwi kazi za UN wacha utobolewe tu ndege mshale afurahie urojo
Nimecheka sana😂😂😂Tunawasubiri barabarani na familia zenu na sio kuwatanguliza watoto wa masikini, wenyewe mkiandamana kwenye laptop
Kwamba ujuaji wako umeishia hapo?Fafanua 🐼
wewe popoma tu unazani mambo ya Uchumi wa Marekani na China ni kama story za vijiwe vya kahawa....huna exposure funga bakuliWacha nikuache maana sibishani na punguani.
Kula ulale.
Bora uwe mwoga kuliko kumiliki kifuu juu ya shingo!Achana uongo! Hiyo ni Slavery mentality tu. Kumbe ndio mnaowategemea? Janaume zima unakuwa mwoga kiasi hicho!!🤣
Hii chai sasa mkuu. Taarifa za za kiuchunguzi kutoka Iran zinasema chanzo ni Hali mbaya ya hewa na kubeba idadi kubwa ya abiria.Achana na huyu mtu. Hili jabali linatisha.
Rais wa Iran juzi walimzimia helicopter iliyombeba tu watu wakarudisha mpira kati
Kibibi kimezingua mno leo, halaf kinaichukulia Tanganyika kama Kizimkazi vile, nyau kweli kibibi kileNaona leo umejitutumua mama yangu!
Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.
Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!
Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli
Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.
Soma Pia
- Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Mdomo tu hamna lolote kungunguru nyieNaona leo umejitutumua mama yangu!
Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.
Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!
Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli
Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.
Soma Pia
- Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Urusi usiingize kabisa kwenye huu mjadala Wala siyo level yetu. Urusi ndio alimaliza vita ya pili ya Dunia, urusi mpaka sasa hao unaowaona mabwana wakubwa wa Dunia wanamtegemea urusi hasa kwenye mafuta , gesi na teknolojia ya anga . Kijeshi kwa sasa Urusi anashika nafasi ya kwanza duniani baada ya Putin kusaini sheria ya kuongeza wanajeshi hapo Jana.Usicheke. Putin saivi anaishwa silaha hadi anaenda kuomba silaha Iran na North Korea.
Wale watu sio wazuri kihivyo. Tumtahadharishe maza, ugomvi anaoununua bei yake ghali sana na wakimpigia rasmi lazima turudishe mpira kati maana anavyopenda kusafiri 🤣
5. Iran ni wapuuzi sanaKosugi, kuwa siriaz basi, yan Chombo cha usafiri,kama ndege iwe haijafanyiwa service toka mwaka 1970??? duh,kama ndivyo basi
1. Iran hawako makini
2. Iran wamemuua Rais wao
3. Irani hawajitambui
4. Iran ni maskini sana.
Haiwezekani, na haiwezekani toka mwaka ,1970 ndege iwe inafanya kazi bila service.
Taarifa yako ina walakini!
Hamna lolote mbwa koko tu nyie mnabwekea jf tuLabda anamtegemea Dotto Magari