I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
KITENDAWILI....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo kibaraka wa waarabu , sisi mbwa lazima tumkoseshe usingizi.Maadui wa taifa letu wameongezeka wamekuwa wengi na possibly wamejipanga kwelikweli, lengo ni ukate tamaa, uwaachie Dodo, tena uliachie kwa watu wasio sahihi, waungwana na wazalendo wa ukweli tunasema, wivu wao, na kukosa hoja kwao, Kusisababishe, tukalipelekaa taifa letu kusiko, Vita vinapiganwa kutokea ndani ya chama na nje ya chama, kibaya ni haya mashambulizi makali ya nayo tokea ndani ya chama in connection, kwenda kwa wahuni wasio na dogo watoto wa jalalani wana haramu, inshaallah kwa utovu huu wa nidhamu hawana marefu kwa rehma za mola wetu, vishindo vitasikika tu,
Naomba kwa dhati ya moyo wangu, maneno yao machafu wanaharamu hao, yaone kama ya kipumbavu, japo hayavumiliki, lakini ukubwa jalala,
Tuyapuuze tusonge mbele, tutafika tu. Tena salama wa salmini, amina!
Pole mh. Rais.
Sasa huyu Lisu ambaye hata jimboni kwake kulimshinda tumpe taifa kweli?Uchaguzi uwe HURU na wa HAKI atakaye shinda ashinde atakayeshindwa ashindwe matakwa ya Watanzania yaheshimiwe.
SAMIA vs LISSU 2025
From your thoughts to God's ears, Ameen.lkn ana abdicate soon, raisi mpya ataapishwa kabla ya uchaguzi mkuu 2025 imepangwa hivyo, pole sana, imeisha hiyo …
Kama Watanzania watampa Kura za kutosha kuwa Raisi wao tatizo liko wapi?!Sasa huyu Lisu ambaye hata jimboni kwake kulimshinda tumpe taifa kweli?
Mbwa ni mazeri wako kule kileji!Hakuna kutema Bungo kaza kamba Hadi mbwa wapumbavu wakome
[emoji7][emoji7][emoji7]Maadui wa taifa letu wameongezeka wamekuwa wengi na possibly wamejipanga kwelikweli, lengo ni ukate tamaa, uwaachie Dodo, tena uliachie kwa watu wasio sahihi, waungwana na wazalendo wa ukweli tunasema, wivu wao, na kukosa hoja kwao, Kusisababishe, tukalipelekaa taifa letu kusiko, Vita vinapiganwa kutokea ndani ya chama na nje ya chama, kibaya ni haya mashambulizi makali ya nayo tokea ndani ya chama in connection, kwenda kwa wahuni wasio na dogo watoto wa jalalani wana haramu, inshaallah kwa utovu huu wa nidhamu hawana marefu kwa rehma za mola wetu, vishindo vitasikika tu,
Naomba kwa dhati ya moyo wangu, maneno yao machafu wanaharamu hao, yaone kama ya kipumbavu, japo hayavumiliki, lakini ukubwa jalala,
Tuyapuuze tusonge mbele, tutafika tu. Tena salama wa salmini, amina!
Pole mh. Rais.
Mbwa wapumbavu ni wengi....Hakuna kutema Bungo kaza kamba Hadi mbwa wapumbavu wakome
wala haogopi wala hatishiki nami namuunga mkonoMaadui wa taifa letu wameongezeka wamekuwa wengi na possibly wamejipanga kwelikweli, lengo ni ukate tamaa, uwaachie Dodo, tena uliachie kwa watu wasio sahihi, waungwana na wazalendo wa ukweli tunasema, wivu wao, na kukosa hoja kwao, Kusisababishe, tukalipelekaa taifa letu kusiko, Vita vinapiganwa kutokea ndani ya chama na nje ya chama, kibaya ni haya mashambulizi makali ya nayo tokea ndani ya chama in connection, kwenda kwa wahuni wasio na dogo watoto wa jalalani wana haramu, inshaallah kwa utovu huu wa nidhamu hawana marefu kwa rehma za mola wetu, vishindo vitasikika tu,
Naomba kwa dhati ya moyo wangu, maneno yao machafu wanaharamu hao, yaone kama ya kipumbavu, japo hayavumiliki, lakini ukubwa jalala,
Tuyapuuze tusonge mbele, tutafika tu. Tena salama wa salmini, amina!
Pole mh. Rais.
....mjinyoe wenyewe "ndevu" za nanihiii....CHAWA, RUDI PELEKA RIPOT KWAMBA 2025 TUTAWANYOA
Hao ni wazalendo, maadui wa taifa ni hawa;Maadui wa taifa letu wameongezeka wamekuwa wengi na possibly wamejipanga kwelikweli, lengo ni ukate tamaa, uwaachie Dodo, tena uliachie kwa watu wasio sahihi, waungwana na wazalendo wa ukweli tunasema, wivu wao, na kukosa hoja kwao, Kusisababishe, tukalipelekaa taifa letu kusiko, Vita vinapiganwa kutokea ndani ya chama na nje ya chama, kibaya ni haya mashambulizi makali ya nayo tokea ndani ya chama in connection, kwenda kwa wahuni wasio na dogo watoto wa jalalani wana haramu, inshaallah kwa utovu huu wa nidhamu hawana marefu kwa rehma za mola wetu, vishindo vitasikika tu,
Naomba kwa dhati ya moyo wangu, maneno yao machafu wanaharamu hao, yaone kama ya kipumbavu, japo hayavumiliki, lakini ukubwa jalala,
Tuyapuuze tusonge mbele, tutafika tu. Tena salama wa salmini, amina!
Pole mh. Rais.
Pakistan is not Tanzania....Benazir Bhutto faced similar predicament, and her parasites assured her of an overwhelming victory against the Pakistani security establishment, which is a Chauvinistic and Male Dominated.
Masimulizi gani haya ?!!Kama JK kidogo nchi ingemshinda, unadhani huyu ataiweza. Trust me, its just getting dawn.
Chawa wote ni watu wenye akili kibaba. Hivyo usishangae. Hakuna mtu mwenye akili timamu na mwenye weledi, anakubali kuwa chawa.Chawa hajui kuandika ,Hajui wapi aweke nafasi wala alama ya koma.
Umenena vyema mkuu.Chawa wote ni watu wenye akili kibaba. Hivyo usishangae. Hakuna mtu mwenye akili timamu na mwenye weledi, anakubali kuwa chawa.