Rais wangu, Vita ni kubwa, vijicho ni vingi, kaza moyo twende mbele!

Rais wangu, Vita ni kubwa, vijicho ni vingi, kaza moyo twende mbele!

Maadui wa taifa letu wameongezeka wamekuwa wengi na possibly wamejipanga kwelikweli, lengo ni ukate tamaa, uwaachie Dodo, tena uliachie kwa watu wasio sahihi, waungwana na wazalendo wa ukweli tunasema, wivu wao, na kukosa hoja kwao, Kusisababishe, tukalipelekaa taifa letu kusiko, Vita vinapiganwa kutokea ndani ya chama na nje ya chama,

Kibaya ni haya mashambulizi makali ya nayo tokea ndani ya chama in connection, kwenda kwa wahuni wasio na dogo watoto wa jalalani, inshaallah kwa utovu huu wa nidhamu hawana marefu kwa rehma za mola wetu, vishindo vitasikika tu.

Naomba kwa dhati ya moyo wangu, maneno yao machafu, yaone kama ya kipumbavu, japo hayavumiliki, lakini ukubwa jalala,
Tuyapuuze tusonge mbele, tutafika tu. Tena salama wa salmini, amina!
Pole Rais.View attachment 3076786
Kuchomekea neno 'mpumbavu' katika ule wimbo wa Mwana FA japo katika mazingira ya dhihaka za jukwaani haukuwa ustaarabu wenye sifa ya kuwa tukio la hadharani kwa mtu wa ngazi ya urais.

Akubaliane tu na siasa za maongezi ya kwenye simu kwani anapenda sana kupitia kinachosemwa mitandaoni sawa tu na marehemu JPM, awe na kifua kipana kwa kuwa ni rais kwa sasa na anayo matamanio ya kuendelea na nafasi hiyo mpaka 2030.
 
Kama JK kidogo nchi ingemshinda, unadhani huyu ataiweza. Trust me, its just getting dawn.
Kila rais anapokuwa ikulu watu wanadai nchi imemshinda ila akiondoka tunaanza kinafiki kuimba mapambio ya awamu yake, ni sifa ya watu wanafiki wasiojua haswa wanataka kitu gani.
 
Daydream!
She still doing well, and well, kila pahala amepagusa kimaendeleo, kila project zinakwenda kwa kasi, Watanznaia hawasomeki wako kama nyeti za fisi hajulikani huyu Jike au dume
Ukitaka kujua hakubalik subiri 2025 mtafurahi sisi ndo tupo kitaa tunajua, hata njia zenu za panya zitashindwa
 
Serekali na nguvu zake zote, tumeshindwa kukadhibiti haka Ka-mbwa!, ka kahaba pori., - - nimeanza Dua maalumu binafsi!, ambayo ni madhubuti kabisa!, Ngoja tuone baada ya siku 100., Tunaanza na kiuno chake kwanza!
 

Attachments

  • GVIEPkwX0AArCLJ.jpeg
    GVIEPkwX0AArCLJ.jpeg
    129.1 KB · Views: 1
Ukitaka kujua hakubalik subiri 2025 mtafurahi sisi ndo tupo kitaa tunajua, hata njia zenu za panya zitashindwa
Uko Kitaa humu Dar hauko kitaa huko yanapotokea mapinduzi ya kilimo mikoani, haupo huko Kigoma yanapotokea mabadiliko makubwa ya kiuchumi na huko wapo wapiga kura wa kweli wanaoamka saa kumi na mbili asubuhi kwenda kupiga kura sio nyinyi mnaoamka saa nane na kuanza kusoma kinachotokea huko mitaani kama vile nchi haiwahusu.

Kina nyinyi ni wajuaji tu wa instagram, facebook na humu JF.
 
Uko Kitaa humu Dar hauko kitaa huko yanapotokea mapinduzi ya kilimo mikoani, haupo huko Kigoma yanapotokea mabadiliko makubwa ya kiuchumi na huko wapo wapiga kura wa kweli wanaoamka saa kumi na mbili asubuhi kwenda kupiga kura sio nyinyi mnaoamka saa nane na kuanza kusoma kinachotokea huko mitaani kama vile nchi haiwahusu.

Kina nyinyi ni wajuaji tu wa instagram, facebook na humu JF.
Sipo dar kaka nipo na akina mama wauza genge ndichi huku, hapa wanasema wanaona 2025 ni mbali 😂😂😂
 
Hawa chura wanaopiga kelele hawana lolote! Wanafanya uchochezi,wakipigwa kwenzi wanalialia!
Muda wa kudekezwa umepita, wakizingua wazingue tu!
 
Kila rais anapokuwa ikulu watu wanadai nchi imemshinda ila akiondoka tunaanza kinafiki kuimba mapambio ya awamu yake, ni sifa ya watu wanafiki wasiojua haswa wanataka kitu gani.
Ni kwa sababu wote wamefeli kufikia matarajio. Hakuna unafiki.
 
1)Bandari ile ambayo jirani zetu ,Mh.Kagame alipata kutania kuwa "akipewa " ataiongezea mapato maradufu ?!!

Ulitaka tumpe jirani huyo ambaye asingeweza kutupatia TRILIONI 26 kwa mwaka ?!!! [emoji1787][emoji1787]

2) Ngororongo turathi ya dunia....alianza kuishi nabii Adam(AS)....baadaye WADATOOGA na WAMBULU(IRAQW)...ni karne ya 17 ndipo walipoanza kukaa ndugu zetu wamaasai.....leo hii tunakwenda kuishi KABILA MOJA LA WATANZANIA TU ila tutakuwa "spirits" hatutoharibu mazingira kwa kufuga wa "nyumbani" kiholela ili FARU WEUSI NA PUNDAMILIA wazaliane kama kipindi kile cha nabii Adam (AS).

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huyo atakuwa ni mkatoliki mwenzangu mwenye nafasi ya uongozi katika parokia moja. Ndio wamejaa chuki kwa dini yake Samia sio kwa uwezo wake wa ufanisi wa kazi.

Kuna ujinga mwingi wa kibaguzi unaendelea humu makanisani ambao utaisha siku Samia akiondoka ikulu, namuona akiendelea kuongoza mpaka 2030 nahisi upuuzi huo utakwisha mwaka huo.
 
Ni kwa sababu wote wamefeli kufikia matarajio. Hakuna unafiki.
Matarajio yapi wakati hazina ya nchi pato limeongezeka. Gawio la taasisi na mashirika kwenda serikali kuu limeongezeka.

Ufanisi wa utendaji wa wizara na taasisi zake unazidi kukua, treni imeshafika Dodoma na inazidi kusogea kwenda Kigoma na Mwanza, daraja la Busisi linaendelea kumaliziwa ujenzi wake.

Umeme na maji vinasambazwa kila kona ya Tanzania, matarajio ni yapi kwa mwananchi wa kawaida?. Siasa za kwenye simu zetu janja zisikudanganyane ukahisi kuwa SSH hapendwi, kawa mwerevu wa kushughulika na matatizo mengi ya jamii za huko mikoani hashughuliki na kero ndogo ndogo za wajuaji wasiokuwa na shukrani wa humu mijini.
 
Back
Top Bottom