Rais wangu, Vita ni kubwa, vijicho ni vingi, kaza moyo twende mbele!

Rais wangu, Vita ni kubwa, vijicho ni vingi, kaza moyo twende mbele!

Hao ni wazalendo, maadui wa taifa ni hawa;
1. Wauza bandari
2. Wauza Ngorongoro
3. Wafukuza wamasai
4. Watekaji wa raia
5. Wenye uongozi legelege kama mlenda
1)Bandari ile ambayo jirani zetu ,Mh.Kagame alipata kutania kuwa "akipewa " ataiongezea mapato maradufu ?!!

Ulitaka tumpe jirani huyo ambaye asingeweza kutupatia TRILIONI 26 kwa mwaka ?!!! [emoji1787][emoji1787]

2) Ngororongo turathi ya dunia....alianza kuishi nabii Adam(AS)....baadaye WADATOOGA na WAMBULU(IRAQW)...ni karne ya 17 ndipo walipoanza kukaa ndugu zetu wamaasai.....leo hii tunakwenda kuishi KABILA MOJA LA WATANZANIA TU ila tutakuwa "spirits" hatutoharibu mazingira kwa kufuga wa "nyumbani" kiholela ili FARU WEUSI NA PUNDAMILIA wazaliane kama kipindi kile cha nabii Adam (AS).

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Umbwa ni wale wote wenye wivu na taifa letu!...(mtanzania safi mpenda maendeleo hawezi kuwa na wivu kwa maendeleo ya Taifa lake)
Mbwa na nguruwe ni wale waliopora rasilimali za Tanganyika na kuzidalalisha kwa wageni waarabu, na wale wote wanaoshabikia uharamia huo.

Wananchi wazalendo wa kweli ni wale wanaopigania ulinzi wa rasilimali za nchi zetu ili ziifaidishe nchi yetu. Kama Mandela alipigania haki ya usawa kwa Waafrika Kusini dhidi ya makaburu kwa zaidi ya miaka, na wazalendo wa kweli kamwe hawatakoma kuoigania bandari yao na mbuga zao za wanyama hata kama itakuwa ni kwa miaka 50.
 
Wakati anaanza kupotea wengine tulikuwa tuna msihi, baki njia kuu ulioikuta raisi Kenyatta anamsihi baki hapo aelewi.

Tena wakati anasifiwa na members wanaomtukana leo wengine tulikuwa tunampa onyo uwezi furahisha kila mtu kama kiongozi, hayo maamuzi yako ya kudhani unaweza mfurahisha kila mtu yata backfire tu siku moja.

Itafika wakati hakuna atakaekuelewa; kiko wapi leo.

Intelligence ni mchezo wa watu wenye akili
 
Mbwa na nguruwe ni wale waliopora rasilimali za Tanganyika na kuzidalalisha kwa wageni waarabu, na wale wote wanaoshabikia uharamia huo.

Wananchi wazalendo wa kweli ni wale wanaopigania ulinzi wa rasilimali za nchi zetu ili ziifaidishe nchi yetu. Kama Mandela alipigania haki ya usawa kwa Waafrika Kusini dhidi ya makaburu kwa zaidi ya miaka, na wazalendo wa kweli kamwe hawatakoma kuoigania bandari yao na mbuga zao za wanyama hata kama itakuwa ni kwa miaka 50.
Out of context....

Mandela alipambania uhuru wa taifa kutoka kwa MAKABURU...

Tanzania tulishaupata 1961....

Nani amesema maadui 3 wa taifa wameshakuwa tayari majivu ?!!![emoji44]

TICTS wamekaa bandarini zaidi ya miaka 21.....

Wameliingizia taifa kiasi gani ?!! [emoji1787]

Hivi mh.Rais wa Rwanda alipolalamikia "ugoigoi" wa bandari yetu hakikuwa kipindi TICTS wapo ?!!

Hukushtushwa kuona WAMEHAMISHIA mizigo yao bandari ya Mombasa ?!!

Ulitaka "status quo" iendelee mpaka lini ?!!!

#Samia ana maono kuntu[emoji7]


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nchi iko katika shida,watoto wanapotea,watu wanatekwa,wengine wanabakwa na kulawitia.Lkn yy yuko busy kutafutia Yabga na Simba wawekezaji.Huyu akishinda uchaguzi ujao itakuwa ni dharau sana na atafanya mambo ya ajabu.Mleta uzi ww na watu wa aina yako ni watu hatari kwa nchi hii
 
Nchi iko katika shida,watoto wanapotea,watu wanatekwa,wengine wanabakwa na kulawitia.Lkn yy yuko busy kutafutia Yabga na Simba wawekezaji.Huyu akishinda uchaguzi ujao itakuwa ni dharau sana na atafanya mambo ya ajabu
Haya ni ya mwanzo ?!!!

Hayati JPM(Rip) alipata mtihani mkubwa hapa....

Umesahau wale MAGAIDI WA MAPANGO YA AMBONI waliotaka nchi yetu iwe kama Somalia ?!!

Umesahau yale mauaji ya askari polisi katika gari lao kule KIBITI ?!!

Umesahau zile vamizi za magaidi katika benki za Mbagala ?!!

Umesahau unyama wa magaidi kule MKIRU ?!!!

Unafeli wapi "mwanyiro"?!! [emoji1787]

#No retreat No Surrender [emoji7]
#Ewe Yehova Shama mhifadhi Rais wetu SSH ,amen

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ni lazima aje mtu au watu kuifanya kazi aliyoianza Magufuli ya kuwabadili watanzania fikra kwa miaka kama 20-30 awe mmoja au wanapokezana kwa miaka 30.

Na hiyo kazi Uwezi kuwa popular kwa sababu binadamu apendi mabadaliko ya utaratibu aliozoea. Na kwa fikra za Tanzania hasa culture ya kufanya kazi serikalini na siasa za Tanzania.

Hakuna namna nyingine zaidi ya kumtafuta Magufuli mwingine huku unatia watu adabu wakati huo huo unaleta maendeleo.
 
Ni lazima aje mtu au watu kuifanya kazi aliyoianza Magufuli ya kuwabadili watanzania fikra kwa miaka kama 20-30 awe mmoja au wanapokezana kwa miaka 30.

Na hiyo kazi Uwezi kuwa popular kwa sababu binadamu apendi mabadaliko ya utaratibu aliozoea. Na kwa fikra za Tanzania hasa culture ya kufanya kazi serikalini na siasa za Tanzania.

Hakuna namna nyingine zaidi ya kumtafuta Magufuli mwingine huku unatia watu adabu wakati huo huo unaleta maendeleo.
Magufuli mwingine ni mh.Rais Samia Suluhu Hassan...[emoji7]

Unafeli wapi wewe mzee wa Rochester?!! [emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Haya ni ya mwanzo ?!!!

Hayati JPM(Rip) alipata mtihani mkubwa hapa....

Umesahau wale MAGAIDI WA MAPANGO YA AMBONI waliotaka nchi yetu iwe kama Somalia ?!!

Umesahau yale mauaji ya askari polisi katika gari lao kule KIBITI ?!!

Umesahau zile vamizi za magaidi katika benki za Mbagala ?!!

Umesahau unyama wa magaidi kule MKIRU ?!!!

Unafeli wapi "mwanyiro"?!! [emoji1787]

#No retreat No Surrender [emoji7]
#Ewe Yehova Shama mhifadhi Rais wetu SSH ,amen

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wee komaaaaa, usimtaje Mungu kwa mtu anayetetea ushoga na ufisadi.
 
Out of context....

Mandela alipambania uhuru wa taifa kutoka kwa MAKABURU...

Tanzania tulishaupata 1961....

Nani amesema maadui 3 wa taifa wameshakuwa tayari majivu ?!!![emoji44]

TICTS wamekaa bandarini zaidi ya miaka 21.....

Wameliingizia taifa kiasi gani ?!! [emoji1787]

Hivi mh.Rais wa Rwanda alipolalamikia "ugoigoi" wa bandari yetu hakikuwa kipindi TICTS wapo ?!!

Hukushtushwa kuona WAMEHAMISHIA mizigo yao bandari ya Mombasa ?!!

Ulitaka "status quo" iendelee mpaka lini ?!!!

#Samia ana maono kuntu[emoji7]


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Poor argument.

Sijasema mambo yalikuwa sawa bandarini. Hivi ikiwa na kampuni ya familia. Ukamwajiri mwanafamilia. Mwanafamilia akawa mzembe na kibaka, suluhisho inakuwa ni kumleta jambazi kutoka familia nyingine?

Hivi kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kusimama kwa ujasiri akasema ile IGA ya kishenzi ya DPW ndiyo suluhisho la uzembe uliokuwa ukifanyika pale bandarini?

Ninyi bila shaka ni vibaraka wa hao wageni waporaji rasilimali zetu, mlioamua kuusaliti utannzania wetu kitokana ni vihela mbavyoamini ni mahela.

Nchi inahitaji wawekezaji wa ndani na nje kwa kupitia mikataba mizuri, na siyo waporaji wa nje wa rasilimali za nchi kuoitia mikataba ya kishenzi kama ile IGA ya DPW.
 
Maadui wa taifa letu wameongezeka wamekuwa wengi na possibly wamejipanga kwelikweli, lengo ni ukate tamaa, uwaachie Dodo, tena uliachie kwa watu wasio sahihi, waungwana na wazalendo wa ukweli tunasema, wivu wao, na kukosa hoja kwao, Kusisababishe, tukalipelekaa taifa letu kusiko, Vita vinapiganwa kutokea ndani ya chama na nje ya chama,

Kibaya ni haya mashambulizi makali ya nayo tokea ndani ya chama in connection, kwenda kwa wahuni wasio na dogo watoto wa jalalani, inshaallah kwa utovu huu wa nidhamu hawana marefu kwa rehma za mola wetu, vishindo vitasikika tu.

Naomba kwa dhati ya moyo wangu, maneno yao machafu, yaone kama ya kipumbavu, japo hayavumiliki, lakini ukubwa jalala,
Tuyapuuze tusonge mbele, tutafika tu. Tena salama wa salmini, amina!
Pole Rais.View attachment 3076786
Hao ni Maadui wa Samia, siyo Maadui wa Taifa!! Rekebisha humsaidii Samia ila unazidi kumpotosha.

Akisemwa Abdul halisemwi Taifa,
Wakisemwa chawa halisemwi Taifa,
Wakisemwa wezi halisemwi Taifa.

Usipotoshe utampotosha mama
 
Pakistan is not Tanzania....

Their army is above the whole nation....

Rest easy El Commandante J.K.Nyerere ,amen[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tanzania is not Pakistan.......

And the army is above the whole nation. It installed Madam Tippu Tip into power against the wishes of security Apparatchiks............

Rest easy El Commandante J.K.Nyerere, amen. You survived 9 assassination attempts, 2 mutinies and 3 major coups. (The Army 😁😁😁)​
 
Mama hana shida! Washauri wake ndiyo wanaompotosha!
Kikulacho ki nguoni mwako.
 
Magufuli mwingine ni mh.Rais Samia Suluhu Hassan...[emoji7]

Unafeli wapi wewe mzee wa Rochester?!! [emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Matatizo ya binadamu na hata nchi hayafanani.

Na kila tatizo lina njia zake za kutatua given the source.

Matatizo ya Tanzania mengi, na ni hierarchical yanahitaji hatua. Kubwa zaidi ni social thinking.

Watanzania kwa asilimia kubwa raia wake hawaelewi kwenye taifa lolote wananchi wana mipaka (based laws and sometimes morality on what is accepted) na ukivuka hiyo mipaka kuna consequences.

Sasa hiyo task muhimu sana kueleweka kwenye jamii kabla ya kufikiria mambo muhimu ya maendeleo.

Hiyo ndio kazi ambayo Magufuli aliianza sema hakuwa sophisticated kwenye approach yake. Lakini kwa Tanzania someone has to do that job one day na sio kazi rahisi wala popular hata kwenye taasisi ya watu 20 kubadili namna ya kufanya mambo, let alone nchi hawezi kuwa popular kwa wale wasiotaka kuona mambo waliyozoea yanabadilika.
 
Tanzania is not Pakistan.......

And the army is above the whole nation. It installed Madam Tippu Tip into power against the wishes of security Apparatchiks............

Rest easy El Commandante J.K.Nyerere, amen. You survived 9 assassination attempts, 2 mutinies and 3 major coups. (The Army [emoji16][emoji16][emoji16])​
.....you cited an awesome references[emoji7]

After the last assassination attempt ,El Commandante JKN changed the wind of status quo in the army......

Since then ,have you ever heard any illicit attempt to overthrow the government ?!!

#Samia is our shield [emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom