SHEDEDE
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 339
- 551
Kujitetea kwingi kunatutia wasiwasiYes ni kweli, yeye ni Rais wa Tanzania na hakuna mwingine anatakiwa kujiamini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujitetea kwingi kunatutia wasiwasiYes ni kweli, yeye ni Rais wa Tanzania na hakuna mwingine anatakiwa kujiamini.
Pamoja dingiKujitetea kwingi kunatutia wasiwasi
Ikiwa hivyo basi ni mtu asiyekuhusu. Ni mtu usiyempenda. Unayempenda ukiona anafanya matendo ya aibu, inauma na inatia aibu rohoni/moyoni.Sioni aibu kwa matendo ya mtu mwingine. Aibu ni zake mkuu
Ni sawa kuongelea ili kutukumbusha, maana siyo siri mfume dume haujatutoka, lazima aendelee kutupa kumbukizi
Kuna tatizo la asili yake. Alianzia kwenye NGO. Watu wa NGO huwa ni kama wapambanaji badala ya watoa huduma. Huyu kwa nafasi hii ya urais wa urithi, anajiona kama malengo ya upambanaji wa NGO yamefanikiwa, nimekuwa strong, nimekuwa kama wanaume, wanawake tunaweza, ...... bhla! bhla! kibao!Anajiangusha na kujidharaulisha. Yupo too defensive. Hakuna anaedharau mwanamke ...
Mama Samia hanihusu, sio ndugu yangu. Sijawahi hata kumuona liveIkiwa hivyo basi ni mtu asiyekuhusu. Ni mtu usiyempenda. Unayempenda ukiona anafanya matendo ya aibu, inauma na inatia aibu rohoni/moyoni.
Wanawake tunajiamini sana, tatizo ni kuwa tuko katika dunia ambayo mwanamke haruhusiwi kujiamini, Mwanamke ukijiamini utaitwa majina, utapewa majina, na inafika muda utaanza kuyaamini majina hayo ndiyo majina yako. Bado tuna changamoto kubwa, na battle letu ni kubwa sana.
Kuwa raisi wa Kwanza mwanamke hapa Tanzania hakuna majabuMiaka 60 anajifungua nini?
Mkanda au?
KweliAtazoea tu mpeni muda hata JPM mwanzoni alipenda neno mimi ni rais
Amepigiwa Uganda na msevenMimi naona apate ziara moja aende Ughaibuni (official visit) akapigiwe mizinga 21 na heshima zote ili aongeze kujiamini na ajue kabisa ndani ya dunia hii yeye siyo wa Rais kwanza mwanamke.
Kina Queen Elizabeth wametawala dunia miaka na miaka. Majukumu mazito kuliko aliyonayo.