Rais wetu Samia acha hotuba za kujitetea juu ya jinsia yako, wewe ni Rais siyo Rais mwanamke

Rais wetu Samia acha hotuba za kujitetea juu ya jinsia yako, wewe ni Rais siyo Rais mwanamke

Wewe ni mwanadamu wa jinsia ya kike. Kila mtu anafahamu juu ya matatizo ya jinsia katika dunia hii na kila nchi inajitahidi kuondoa matatizo hayo. Njia mojawapo ni kuachana na hali ya kulinganisha jinsia hizi ktk kazi, ili tuzifunike tofauti hizo.

Tangu Samia uliposhika nafasi ya urais, kila hotuba yako imekuwa ni kama nafasi ya kujitetea kwamba unaweza nafasi hiyo, na kuwatetea wanawake wenzako. Ombi langu kwako, achana na kujitetea.

Angalia unavyoshangiliwa na wanawake wenzako, wakiona kama ni mafanikio yao kumbe wengine hawawezi kama wanaume wengine wasivyoweza.

Mfano mzuri dunia hii ni Margret Thatcher na sasa ni yule ‘binti’ mdogo anayeiongoza serikali ya Finland, Sanna Marin kama alivyokuwa Thatcher hataki kabisa kukaribisha jambo hilo la kuonesha wanawake wanaweza au hawawezi. Kwake yeye ni kiongozi na siyo kiongozi mwanamke.
Hilo Si sawa kabisa Yeye ni Rais bila kujali jinsia Yake, na Yeye ana maono makubwa na uelewa mkubwa wa matatizo ya nchi na namna ya kuyatatua kushinda wanaume na viongozi walioko.
 
Wewe ni mwanadamu wa jinsia ya kike. Kila mtu anafahamu juu ya matatizo ya jinsia katika dunia hii na kila nchi inajitahidi kuondoa matatizo hayo. Njia mojawapo ni kuachana na hali ya kulinganisha jinsia hizi ktk kazi, ili tuzifunike tofauti hizo.

Tangu Samia uliposhika nafasi ya urais, kila hotuba yako imekuwa ni kama nafasi ya kujitetea kwamba unaweza nafasi hiyo, na kuwatetea wanawake wenzako. Ombi langu kwako, achana na kujitetea.

Angalia unavyoshangiliwa na wanawake wenzako, wakiona kama ni mafanikio yao kumbe wengine hawawezi kama wanaume wengine wasivyoweza.

Mfano mzuri dunia hii ni Margret Thatcher na sasa ni yule ‘binti’ mdogo anayeiongoza serikali ya Finland, Sanna Marin kama alivyokuwa Thatcher hataki kabisa kukaribisha jambo hilo la kuonesha wanawake wanaweza au hawawezi. Kwake yeye ni kiongozi na siyo kiongozi mwanamke.
Akisema sana yeye ni rais mwanamke hata tuliokuwa tunasahau tunamuona rais tu tunakumbushwa kwamba yeye ni rais mwanamke.

Apige kazi tu, kila mtu anajua yeye mwanamke.

Au kuna mtu kasema Rais Sasha Fierce Queeen Bee ni mwanamme?
 
Hii nchi ni ngumu sana kuongozwa na mwanamke wa kariba yake.... Ataendeshwa sana na hii itamfanya aendelee kufanya maamuzi ya hovyo kama alivyofanya uteuzi wa DG wa Tume ya madini kumteua Janeth Reuben former Barrick HR Manager .. ndio maana JK anaonekana master mind. Kaacha manguli anaenda kuweka mtu wa rasilimali watu ...yetu macho sijui kama Buzwagi itafungwa.
What is this?? Huu ni uzembe.
Kumbuka sheria nyingi za madini zilikuwa zinatungwa kwa sponsorship ya makampuni ya migodi, sasa tena huyu kamuleta mwajiliwa wa huko huko? Iliyokuwa TMAA kabla ya kuvunjwa ilijaa waliokuwa waajiliwa wa makampuni ya migodi, halafu yakawasukuma kuja TMAA kupitia kwa mafisadi kama Rostam na Ngereja, halafu tukategemea TMAA idhibiti utoroshwaji wa madini. Rais wetu anakurupuka sana kuhangaikia teuzi za kinamama.

Yupo yule mwingine kamuibua toka NGO eti awe mshauri wa uchumi! Tangu lini uchumi wa NGO ukaendesha serikali. Hapo niliona uelekeo wake kwa kuwa naye alikuwa huko huko kwenye NGO, akili haijabadilika kwamba hii sasa ni serikali. Tutasema tumpe muda lakini siku njema huonekana asubuhi.
 
Wewe ni mwanadamu wa jinsia ya kike. Kila mtu anafahamu juu ya matatizo ya jinsia katika dunia hii na kila nchi inajitahidi kuondoa matatizo hayo. Njia mojawapo ni kuachana na hali ya kulinganisha jinsia hizi ktk kazi, ili tuzifunike tofauti hizo.

Tangu Samia uliposhika nafasi ya urais, kila hotuba yako imekuwa ni kama nafasi ya kujitetea kwamba unaweza nafasi hiyo, na kuwatetea wanawake wenzako. Ombi langu kwako, achana na kujitetea.

Angalia unavyoshangiliwa na wanawake wenzako, wakiona kama ni mafanikio yao kumbe wengine hawawezi kama wanaume wengine wasivyoweza.

Mfano mzuri dunia hii ni Margret Thatcher na sasa ni yule ‘binti’ mdogo anayeiongoza serikali ya Finland, Sanna Marin kama alivyokuwa Thatcher hataki kabisa kukaribisha jambo hilo la kuonesha wanawake wanaweza au hawawezi. Kwake yeye ni kiongozi na siyo kiongozi mwanamke.
Umemsahau Angela M. Yaani mwanamke shupavu kabisa. Hivyo na Rais wetu ni shupavu. Mpaka sasa hivi ni shupavu wetu. Apige kazi sisi tuko nyuma yake tuna msapoti hata moral tu siyo kwa vyeo jamaa yule juha alivyosema eti tunaomsifia na kumpongeza tunataka kazi. Shwetani yule angejua kuwa wengine hapa ni waajiri asingefungua mdomo. Mimi nimeajiri idadi kubwa ya Watanzania na sitaki cheo cha kupewa maana mimi ni boss wa kujitengeneza. Yaani mijitu mingine ni hovyo sana. Yaani kweli itawezekanaje kundi lote la wanaomsifia Mh. Rais awape kazi au kuwateua. Nonsense.
 
Hata mimi hili jambo jana lilinifikirisha, nikajisemea moyoni inawezekana ndani ya Chama chake au watu walio karibu naye wanazungusha maneno kwamba hataweza kuongoza hii Nchi, nionavyo ndani ya chama kuna kila zana inainuliwa kumponda Mh. Rais, watu wa Jiwe wapo vitani muda wote, hawataki kuamini kwamba sasa keki imevunda wakae kwa kutulia.

Mama akae kwa kujiamini, aunde timu anayoiamini bila shaka yoyote, atoe takataka na chawa wote wa aliyepita, tayari anaye Mabeyo wasiwasi wa nini?
Hakika Mabeyo ndiyo mtu pekee ambaye mama asimuache. Wengine waliobaki atafakari sana.
 
mama anapoteza muda na mambo yake ya gender. sisi tunaiishi Katiba ya Jamhuri. she is a President of the Republic because of the Katiba na sisi tunaishi humo.
 
Mkuu umenikumbusha Specioza Kazibwe wa Uganda sijui kwa sasa yuko wapi huyu mama
Kuna watu muna uvivu wa kujisomea. Mazoea ya kupewa notisi hadi chuo kikuu. Tafuta hotuba za watu wafuatao walipokuwa ktk nafasi zao za juu:

Specioza Kazibwe wa Uganda
Joyce Banda wa Malawi
Ellen Johnson
 
Mkuu umesema jambo la maana sana! Kama hakuna mtu amemwambia kuwa jinsia yake ni tatizo, hana haja ya kuzungumzia jinsia yake!! Ameonesha kuwa sexist na sasa ndio anaweza kuanzisha tatizo kwa kufikiria tu kuna tatizo. Nchi hii imekuwa na madiwani, wabunge, mawaziri na hata makamu wa Rais wanawake - hatuna ubaguzi wa kijinsia kiasi cha kuzungumzwa na kushadidiwa kiasi hiki.

Ninahisi ni yule Rais atasumbua wanaume kwa maneno kama “usinione mwanamke ukanidharau”! Hajui hata atakaposhindwa au kuweza hatapimwa kwa mzani wa jinsia bali utu/imani/tabia na taasisi yake tu!!
Unaambiwa hivi ukikwaruzana na mtu halafu akakwambia usifikiri mimi naogopa huo urefu wako au hicho kitambi chako jua alishaona hicho ni kikwazo kwake kukushambulia.
 
Nadhani kutakuwa kuna kundi ndani ya system linalombeza Mh Rais wetu kuwa hawezi kwa sababu ni mwanamke.Maana ni wazi wananchi tumeonyesha kumkubali Rais wetu bila kuzingatia jinsia yake.Kutakuwa kuna power mongers zinamsakama mama kwa kigezo cha jinsia yake.
 
Wewe una theory mgando nani kakwambia mama pale hashiki mimba?

Unless were Sio mwafrika, it is taboo for an old lady to be breast feeding a small child at the same time as her siblings!!! Ndio maana nikakuita wewe MWANGA/MCHAWI KUFIKIRIA MAMBO KAMA HAYO!!!
 
Sa mbona mnaumia?
Binafsi siumii, lakini naona aibu kama itajaonekana kwamba rais wetu ni mama tu wa mtaani anayejivunia mambo ya hovyo. Kwani ungependa rais anayejivunia kalio kubwa au kujua kulitikisa?
Hujawahi pata aibu kwa matendo ya mwingine au hata usiyemfahamu? Hope una uelewa wa maana.
 
Binafsi siumii, lakini naona aibu kama itajaonekana kwamba rais wetu ni mama tu wa mtaani anayejivunia mambo ya hovyo. Kwani ungependa rais anayejivunia kalio kubwa au kujua kulitikisa?
Hujawahi pata aibu kwa matendo ya mwingine au hata usiyemfahamu? Hope una uelewa wa maana.
Sioni aibu kwa matendo ya mtu mwingine. Aibu ni zake mkuu
 
Wewe ni mwanadamu wa jinsia ya kike. Kila mtu anafahamu juu ya matatizo ya jinsia katika dunia hii na kila nchi inajitahidi kuondoa matatizo hayo. Njia mojawapo ni kuachana na hali ya kulinganisha jinsia hizi ktk kazi, ili tuzifunike tofauti hizo.

Tangu Samia uliposhika nafasi ya urais, kila hotuba yako imekuwa ni kama nafasi ya kujitetea kwamba unaweza nafasi hiyo, na kuwatetea wanawake wenzako. Ombi langu kwako, achana na kujitetea.

Angalia unavyoshangiliwa na wanawake wenzako, wakiona kama ni mafanikio yao kumbe wengine hawawezi kama wanaume wengine wasivyoweza.

Mfano mzuri dunia hii ni Margret Thatcher na sasa ni yule ‘binti’ mdogo anayeiongoza serikali ya Finland, Sanna Marin kama alivyokuwa Thatcher hataki kabisa kukaribisha jambo hilo la kuonesha wanawake wanaweza au hawawezi. Kwake yeye ni kiongozi na siyo kiongozi mwanamke.
Well put, well said. Yeye achape kazi na hakuna anayehangaishwa na jinsia yake zaidi ya ithibati yake. Hata hivyo, si vibaya kuwaambia wananchi ukweli kuwa bado kuna wanaodhani kuwa mwanamke ni dhaifu. Nakubaliana naye kuwa mwanamke hajaumbika dhaifu zaidi ya mazingira yaliyomfinyanga na kumkandamiza. Tumpe nafasi afanye kazi badala ya kumshambulia. Kama wanaume tunasema kuwa 'kama wewe ni mwanaume' fanya kadha wa kadha, kuna kosa gani kwa mwanamke kuchora mstari mchangani au ni hofu ya kijinsia imeanza kuingia.
 
Anajiangusha na kujidharaulisha. Yupo too defensive. Hakuna anaedharau mwanamke ...
 
Back
Top Bottom