Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Unajua kwanza haya maswala ya jinsia ni aina ya ubaguzi ambao mimi kwa namna nautazama hauna tofauti na ubaguzi wa rangi.
Hivi kuna haja gani ya kutaka kuonekana ni mwanamke au mwanaume katika kazi au sehemu yoyote tukiachia chooni.
Nadhani bado jamii yetu haijaweza kuelewa maana ya jinsia katika swala maendeleo. Na ndio maana wanawake wa sasa mbali na kupata fursa tofauti na wenzao wa miaka ya 1980's kurudi nyuma, bado Wanajiona wao ni underprivileged minority kumbe ni upuuzi mtupu.
Mimi huwa nachukia sana kampeni za kijinsia maana kwa Tanzania ukizungumzia maswala ya changamoto za jinsia then automatically watu wanahisi unawazungumzia wanawake. As if neno jinsia ni sawa na kusema mwanamke.
Ushamba ni mwingi sana eneo hilo, huwa sipendi hata kujihusisha mazungumzo yake....
Hivi kuna haja gani ya kutaka kuonekana ni mwanamke au mwanaume katika kazi au sehemu yoyote tukiachia chooni.
Nadhani bado jamii yetu haijaweza kuelewa maana ya jinsia katika swala maendeleo. Na ndio maana wanawake wa sasa mbali na kupata fursa tofauti na wenzao wa miaka ya 1980's kurudi nyuma, bado Wanajiona wao ni underprivileged minority kumbe ni upuuzi mtupu.
Mimi huwa nachukia sana kampeni za kijinsia maana kwa Tanzania ukizungumzia maswala ya changamoto za jinsia then automatically watu wanahisi unawazungumzia wanawake. As if neno jinsia ni sawa na kusema mwanamke.
Ushamba ni mwingi sana eneo hilo, huwa sipendi hata kujihusisha mazungumzo yake....