Raisi wa nchi kuwa ndani ya nchi nyingine kwa ziara wiki nzima ni maajabu sana, only in Tanzania

Raisi wa nchi kuwa ndani ya nchi nyingine kwa ziara wiki nzima ni maajabu sana, only in Tanzania

Kwa mujibu wa nani/nini?
Wa akili ya kawaida kabisa, vinginevyo uwe na matatizo makubwa sana ya kutokujitambua na kutokuwa na kazi ya kufanya nyumbani kwako. Hiyo wiki angewaachia akina Elizabeth Michael.
 
Hivi hii nchi tuna Raisi 😡
Ukitoa ugonjwa ni ngumu sana Mkuu wa nchi kuwepo ndani ya nchi nyingine kwa wiki nzima akifanya ziara labda awe anaumwa hivyo anatibiwa. Ila kwa Tanzania naona inaelekea kuwa jambo la kawaida sana kiongozi wao kufanya ziara na kukaa wiki nzima ndani ya nchi nyingine.

Kumbuka na uzinduzi wa Royal Tour Raisi alikaaa Marekani ziaidi ya wiki akifanya uzinduzi wa Filam. Hii ya Korea kusini ni ya pili sasa.

Hakuna mkuu wa nchi hata za Africa tu anaye fanya ziara iwe Ulaya au Asia au Marekani na kukaaa wiki nzima, hii ni Tanzania pekeee inawezekana. Ipo siki atakaa mwezi mzima akifanya ziara.

Levo ya Raisi ni kukutana na Raisi mwenzake basi, sasa wiki nzima anakutana na wakina nani huko Korea Kusini? Raisi anapaswa kujifunza kwa maraisi wenzake wanavyo fanya dhiara zao.

Wiki nzima utachokwa huko
 
Uskute hotel anazofikia madalali ni wabongo. Nukta!
 
Kwanza hata alivyo mwonekano wake hafai kuwa rais... Nikimwangalia tu ile body structure yake nakata tamaa kabisa kuhusu maendeleo.
 
Wa akili ya kawaida kabisa, vinginevyo uwe na matatizo makubwa sana ya kutokujitambua na kutokuwa na kazi ya kufanya nyumbani kwako. Hiyo wiki angewaachia akina Elizabeth Michael.
Awepo nyumbani kufanya nini!?..havifanyiki akiwa huko?!..kwa nini kukaa nje wiki si vizuri?
 
mafaili yote anasainia angani yule....sio kwa ziara hizo, kweli rais tunaye!!!!. utashangaa wanaume wazima wanapayuka kwenye maiki kwamba mama anaupiga mwingi......anaupigia wapi ndio hawasemi kabisa 😕
 
Awepo nyumbani kufanya nini!?..havifanyiki akiwa huko?!..kwa nini kukaa nje wiki si vizuri?
Mkuu wa kaya kaamua kuachia panya buku watawale boma. Ni kama mtu aliyepoteza mwelekeo jangwani.
 
Ukitoa ugonjwa ni ngumu sana Mkuu wa nchi kuwepo ndani ya nchi nyingine kwa wiki nzima akifanya ziara labda awe anaumwa hivyo anatibiwa. Ila kwa Tanzania naona inaelekea kuwa jambo la kawaida sana kiongozi wao kufanya ziara na kukaa wiki nzima ndani ya nchi nyingine.

Kumbuka na uzinduzi wa Royal Tour Raisi alikaaa Marekani ziaidi ya wiki akifanya uzinduzi wa Filam. Hii ya Korea kusini ni ya pili sasa.

Hakuna mkuu wa nchi hata za Africa tu anaye fanya ziara iwe Ulaya au Asia au Marekani na kukaaa wiki nzima, hii ni Tanzania pekeee inawezekana. Ipo siki atakaa mwezi mzima akifanya ziara.

Levo ya Raisi ni kukutana na Raisi mwenzake basi, sasa wiki nzima anakutana na wakina nani huko Korea Kusini? Raisi anapaswa kujifunza kwa maraisi wenzake wanavyo fanya dhiara zao.

Wiki nzima utachokwa huko
Kwani anashamba tusema nyasi zitaota?
 
Nadhani kuna watu wanamdangaya Rais wetu kuwa kusafiri sana nje ya nchi ndio ataonekana anafanya kazi sana.

Wanamdanganya kwa manufaa yao.
Adanganywe na nani, kwani yeye haijui JD yake au?
 
Nadhani kuna watu wanamdangaya Rais wetu kuwa kusafiri sana nje ya nchi ndio ataonekana anafanya kazi sana.

Wanamdanganya kwa manufaa yao.
Wanamwandalia mizunguko tu bi mkubwa na wao wanabaki wanamzunguka yeye akshtuka kumekucha
 
Ukitoa ugonjwa ni ngumu sana Mkuu wa nchi kuwepo ndani ya nchi nyingine kwa wiki nzima akifanya ziara labda awe anaumwa hivyo anatibiwa. Ila kwa Tanzania naona inaelekea kuwa jambo la kawaida sana kiongozi wao kufanya ziara na kukaa wiki nzima ndani ya nchi nyingine.

Kumbuka na uzinduzi wa Royal Tour Raisi alikaaa Marekani ziaidi ya wiki akifanya uzinduzi wa Filam. Hii ya Korea kusini ni ya pili sasa.

Hakuna mkuu wa nchi hata za Africa tu anaye fanya ziara iwe Ulaya au Asia au Marekani na kukaaa wiki nzima, hii ni Tanzania pekeee inawezekana. Ipo siki atakaa mwezi mzima akifanya ziara.

Levo ya Raisi ni kukutana na Raisi mwenzake basi, sasa wiki nzima anakutana na wakina nani huko Korea Kusini? Raisi anapaswa kujifunza kwa maraisi wenzake wanavyo fanya dhiara zao.

Wiki nzima utachokwa huko
Yalianzia kwa JK marekani, tulipohoji tukahesabiwa siku kinyumenyume!
 
Ukitoa ugonjwa ni ngumu sana Mkuu wa nchi kuwepo ndani ya nchi nyingine kwa wiki nzima akifanya ziara labda awe anaumwa hivyo anatibiwa. Ila kwa Tanzania naona inaelekea kuwa jambo la kawaida sana kiongozi wao kufanya ziara na kukaa wiki nzima ndani ya nchi nyingine.

Kumbuka na uzinduzi wa Royal Tour Raisi alikaaa Marekani ziaidi ya wiki akifanya uzinduzi wa Filam. Hii ya Korea kusini ni ya pili sasa.

Hakuna mkuu wa nchi hata za Africa tu anaye fanya ziara iwe Ulaya au Asia au Marekani na kukaaa wiki nzima, hii ni Tanzania pekeee inawezekana. Ipo siki atakaa mwezi mzima akifanya ziara.

Levo ya Raisi ni kukutana na Raisi mwenzake basi, sasa wiki nzima anakutana na wakina nani huko Korea Kusini? Raisi anapaswa kujifunza kwa maraisi wenzake wanavyo fanya dhiara zao.

Wiki nzima utachokwa huko
Wewe una chuki binafsi,na upeo ni mdogo mno.Gharama ya kwenda Seoul Korea Kusini ni kubwa sana sababu ya umbali.Ulitaka Raisi afunge safari tatu?
Je kama nchi inayoongozwa na Raisi Dr Samia akiweza kutumia nafasi hiyo kufanya majukumu hata week mmoja mara mmoja bila kurudi nyumbani kuna kasoro gani,wakati kuna Makamu wa Raisi,Waziri Mkuu na nyongeza naibu waziri mkuu ?
Mbona Raisi Kikwete alienda Marekani kupata matibabu zaidi ya mwezi wala nchi haikuteteleka?
Acha kukalili eti kwa kuwa Marekani au Ufaransa amefanya hivi.Je una habari viongozi wakubwa wa nchi za Magharibi uja Tanzania kwa shughuli binafsi haswa utalii wanakaa zaidi ya week hata mbili?
 
Mkuu wa kaya kaamua kuachia panya buku watawale boma. Ni kama mtu aliyepoteza mwelekeo jangwani.
Mkuu wa kaya hasafiri!?..baba yako hakuwahi safiri walau mwezi mmoja?..ni mkulima?..Mimi mzee wangu akisafiri mpaka miezi mitatu na aliporudi tulipaa kihadhi ya maisha
 
Back
Top Bottom