Hoja zako za kitoto hamn kipya zilikuwepo tangu hujazaliwa ,the same wewe hauna unacopy somewhere.Hujasomeka
Africa walikuwa na tamaduni gani ? Kabila langu nimesoma wanaamini maisha baada ya kifo niambie lako ?Nilijua lazima utapindisha kuelekea huko huko. Ila afrika imeshakuwa ya ngozi nguruwe tamaduni.
Dini hizi bana tukirudi huko nyuma 1300 mwaka huo waafrika tulikuwa na tamaduni zetu na tukiishi fresh sema Hawa wasnge wakatuletea tamaduni zao. Imagine Kila watu na taifa lao Wana tamaduni zao kasoro afrika.
Check Japan, India china, ulaya ,waarabu so waafrika tu ndio tumekula Malaya wa kufuata mifumo ya wanaume wengine.
Sie Kama tumeolewa tumekubali kubadili Maisha yetu na kuwafuata bwana zetu.
Hao watu wote nilikuambia Wana chakula mavazi lugha na elimu yao sie tu basi tumeolewa. Afrika inabidi ijikomboe kifikra.yaani hakuna ugonjwa mbaya Kama kukamatwa akili yako yaani ni zaidi ya kirusi .
Jiulizie hao jamaa wanakuibia na huku wanakuambia wizi ni mbaya
Ramadhani Imeanza Kulingana Siku hizi tu na Mwezi wa Kwa Rezima Ila Zamani haikuwa Hivyo..Hembu wewe tuambie inakuaje Kwaresma, Ramadhani, Naw-Ruz na Holi ziangukie mwezi mmoja??
Unanikosea sana kuniita mtu wa dini. Kuwa na dini ni ukichaa...Hoja zako za kitoto hamn kipya zilikuwepo tangu hujazaliwa ,the same wewe hauna unacopy somewhere.
Kingine wewe uko kwenye kundi( dini nyingine) ambalo unaleta chuki zile zile kwa imani nyingine..Jiangalie sana utakuwa mtu mkubwa halafu mpumbavu..
Bora uje na logics kuliko kunakili kutoka kwa watu ni chuki za kurithi.
Hii ya Uislamu kuwa toka enzi za Adamu ni uongo wa wazi kabisa. Kwanza quran na hadithi zinasema muislam wa kwanza na shehe Muhammad. Pili ili uwe muislam unatakiwa ufuate nguzo tano za Uislamu ikiwemo kushahadia.Itakuwa Uislamu Ndo Umeanzisha Ukatoliki
kwa nijuavyo na ndivyo ilivyo Uislam upo toka enzi za Adam na ndio maana ufanyaji wa ibada za manabii wote zinafanana na Ufanyaji wa ibada wa mtume Muhammad S.A.W
Alafu acha kufananisha Sanamu na Al kaaba kwenye quran tumekatazwa kuabudia sanamu na bible imekatazwa kuabudia sanamu.
Alafu kila kanisa la katoliki duniani ndani lina sanamu ila sio kila msikiti una al kaaba
wewe ni Akili kisoda.
Una dini hauwezi kujidanganya hata wanyama wana dini ni vile hujitambui ...Si rahisi kama hujitambui wewe binafsi hlafu halafu unataka kuleta hoja ambazo hujui kituUnanikosea sana kuniita mtu wa dini. Kuwa na dini ni ukichaa...
Niambie kwanini unaenda kanisani au msikitini?
Hivi Mungu na yeye anafungwa na mambo ya tarehe?Ramadhani Imeanza Kulingana Siku hizi tu na Mwezi wa Kwa Rezima Ila Zamani haikuwa Hivyo..
Hiyo ni simple tu inatokana Na Tarehe Kufanana na Ikumbukwe Tarehe za Kiislmu Yaani Hijriya Zinaenda Tifauti na Tarehe za Dunia au Za Roma au Miladiya..
kwanza Nikukumbushe Kwamba Ramadhani Ni mwezi wa 9 Wa Calendar ya Hijriya Na Calendar ya hijiriya Ina Siku 30 kwa Kila Mwezi na Siku zake Hutegemea na Mwezi..
Kwa Kuanza Hii ndo miezi ya Kiislamu au Miezi ya Hijriya..
1. Muharram (المحرّم)
2. Safar (صفر)
3. Rabi' al-Awwal (ربيع الأول)
4. Rabi' al-Thani (ربيع الآخر)
5. Jumada al-Awwal (جمادى الأول)
6. Jumada al-Thani (جمادى الآخر)
7. Rajab (رجب)
8. Sha'ban (شعبان)
9. Ramadhan (رمضان)
10. Shawwal (شوّال)
11. Dhul-Qa'dah (ذو القعدة)
12. Dhul-Hijjah (ذو الحجة)
Na Hii ndo Miezi ya Kimiladiya..
1. Januari (January)
2. Februari (February)
3. Machi (March)
4. Aprili (April)
5. Mei (May)
6. Juni (June)
7. Julai (July)
8. Agosti (August)
9. Septemba (September)
10. Oktoba (October)
11. Novemba (November)
12. Desemba (December)
Na Kwakujibu Swali lako Nitarudi Miaka Kumi Nyuma Kuprove Theory Zote mlizotoa Ni just Conspire tu na Haina Uhalisia..
Mwaka 2015, Ramadhani ilianza tarehe 18 Juni, na Kwaresima ilianza tarehe 18 Februari.
Mwaka 2016, Ramadhani ilianza tarehe 6 Juni, na Kwaresima ilianza tarehe 10 Februari.
Mwaka 2017, Ramadhani ilianza tarehe 27 Mei, na Kwaresima ilianza tarehe 1 Machi.
Mwaka 2018, Ramadhani ilianza tarehe 16 Mei, na Kwaresima ilianza tarehe 14 Februari.
Mwaka 2019, Ramadhani ilianza tarehe 6 Mei, na Kwaresima ilianza tarehe 6 Machi.
Mwaka 2020, Ramadhani ilianza tarehe 24 Aprili, na Kwaresima ilianza tarehe 26 Februari.
Mwaka 2021, Ramadhani ilianza tarehe 13 Aprili, na Kwaresima ilianza tarehe 17 Februari.
Mwaka 2022, Ramadhani ilianza tarehe 2 Aprili, na Kwaresima ilianza tarehe 2 Machi.
Mwaka 2023, Ramadhani ilianza tarehe 23 Machi, na Kwaresima ilianza tarehe 22 Februari.
Mwaka 2024, Ramadhani ilianza tarehe 11 Machi, na Kwaresima ilianza tarehe 14 Februari.
Mwaka 2025, inakadiriwa kuwa Ramadhani itaanza tarehe 1 Machi, na Kwaresima ilianza tarehe 5 Machi...
Sasa hiyo Hapo Juu Inaprove nini Inaprove kwamba Calendar Baina ya Miladiya na Hijriya hazina Static Formation na Haziwezi kuwa..
Ramadhani Imewahi Kuwa Mpaka Mwezi wa Kumi na Moja na Mwezi wa Kumi na Mbili ila KWARESMA haijawahi na Itakuja Kuwahi kuwa..
Na Mwaka 2033 Tunategemea Idd El fitri Itaangukia Tarehe 25/12 siku ya Xmass Najua Pia itakuwa Story nyingine kwa Watu wa Kuconspire
Hoja ya majina ni ya kijinga sana, Chukulia hapa hapa Tanzania angalia majina ya Kiswahili mengi utakuta Asili yake ni kwa Waisilamu.Nasisitiza Uislamu unahitajia Elimu Waislamu wengi hatuna Elimu kuhusu mafundisho sahihi ya dini yetu ndio maana watu wanakuwa na itikadi na mambo mengi ambayo hayapo na kuyafanya kuwa uislamu au ambayo sio lazima kuyafanya ya lazima.
Suala la kukosa elimu limeacha athari mabaya sana , hata Mimi enzi za Ubogas nilikuwa naona Osama bin Laden anapambania uislamu ni shujaa , Al Shabab wanatetea dini kiasi ambacho hata ingetokea mtu kunipa connection huenda ningekuwa Somalia huku nikujua napigania dini , yote hayo ni kukosa mafundisho sahihi ya dini.
Tukirudi katika hoja yako hakuna Sheria ya Kiislamu inayoshurutisha mtu kuwa na jina la Kiarabu au kubadili jina lake bali tumeamrishwa tuwape watoto wetu majina yaliokuwa mazuri , na hata mavazi na chakula pia tumeambiwa tuchagua halali na vizuri. Hayo mengine ni watu binafsi wanavyopendela ila hawakushurutishwa katika dini na wanaoshurutisha tunarudi kwenye "Core problem" ambayo ni kukosa elimu ya mafundisho sahihi ya dini kwa ufahamu ulio sahihi.
Kimsingi bro umenena vyema kuhusu kuangukia wakati mmoja hii hata kwangu sio big deal.Ramadhani Imeanza Kulingana Siku hizi tu na Mwezi wa Kwa Rezima Ila Zamani haikuwa Hivyo..
Hiyo ni simple tu inatokana Na Tarehe Kufanana na Ikumbukwe Tarehe za Kiislmu Yaani Hijriya Zinaenda Tifauti na Tarehe za Dunia au Za Roma au Miladiya..
kwanza Nikukumbushe Kwamba Ramadhani Ni mwezi wa 9 Wa Calendar ya Hijriya Na Calendar ya hijiriya Ina Siku 30 kwa Kila Mwezi na Siku zake Hutegemea na Mwezi..
Kwa Kuanza Hii ndo miezi ya Kiislamu au Miezi ya Hijriya..
1. Muharram (المحرّم)
2. Safar (صفر)
3. Rabi' al-Awwal (ربيع الأول)
4. Rabi' al-Thani (ربيع الآخر)
5. Jumada al-Awwal (جمادى الأول)
6. Jumada al-Thani (جمادى الآخر)
7. Rajab (رجب)
8. Sha'ban (شعبان)
9. Ramadhan (رمضان)
10. Shawwal (شوّال)
11. Dhul-Qa'dah (ذو القعدة)
12. Dhul-Hijjah (ذو الحجة)
Na Hii ndo Miezi ya Kimiladiya..
1. Januari (January)
2. Februari (February)
3. Machi (March)
4. Aprili (April)
5. Mei (May)
6. Juni (June)
7. Julai (July)
8. Agosti (August)
9. Septemba (September)
10. Oktoba (October)
11. Novemba (November)
12. Desemba (December)
Na Kwakujibu Swali lako Nitarudi Miaka Kumi Nyuma Kuprove Theory Zote mlizotoa Ni just Conspire tu na Haina Uhalisia..
Mwaka 2015, Ramadhani ilianza tarehe 18 Juni, na Kwaresima ilianza tarehe 18 Februari.
Mwaka 2016, Ramadhani ilianza tarehe 6 Juni, na Kwaresima ilianza tarehe 10 Februari.
Mwaka 2017, Ramadhani ilianza tarehe 27 Mei, na Kwaresima ilianza tarehe 1 Machi.
Mwaka 2018, Ramadhani ilianza tarehe 16 Mei, na Kwaresima ilianza tarehe 14 Februari.
Mwaka 2019, Ramadhani ilianza tarehe 6 Mei, na Kwaresima ilianza tarehe 6 Machi.
Mwaka 2020, Ramadhani ilianza tarehe 24 Aprili, na Kwaresima ilianza tarehe 26 Februari.
Mwaka 2021, Ramadhani ilianza tarehe 13 Aprili, na Kwaresima ilianza tarehe 17 Februari.
Mwaka 2022, Ramadhani ilianza tarehe 2 Aprili, na Kwaresima ilianza tarehe 2 Machi.
Mwaka 2023, Ramadhani ilianza tarehe 23 Machi, na Kwaresima ilianza tarehe 22 Februari.
Mwaka 2024, Ramadhani ilianza tarehe 11 Machi, na Kwaresima ilianza tarehe 14 Februari.
Mwaka 2025, inakadiriwa kuwa Ramadhani itaanza tarehe 1 Machi, na Kwaresima ilianza tarehe 5 Machi...
Sasa hiyo Hapo Juu Inaprove nini Inaprove kwamba Calendar Baina ya Miladiya na Hijriya hazina Static Formation na Haziwezi kuwa..
Ramadhani Imewahi Kuwa Mpaka Mwezi wa Kumi na Moja na Mwezi wa Kumi na Mbili ila KWARESMA haijawahi na Itakuja Kuwahi kuwa..
Na Mwaka 2033 Tunategemea Idd El fitri Itaangukia Tarehe 25/12 siku ya Xmass Najua Pia itakuwa Story nyingine kwa Watu wa Kuconspire
Una dini hauwezi kujidanganya hata wanyama wana dini ni vile hujitambui ...Si rahisi kama hujitambui wewe binafsi hlafu halafu unataka kuleta hoja ambazo hujui kitu
Kilua ni jina la ki Swahili? Au umemaanisha kulwa?Hoja ya majina ni ya kijinga sana, Chukulia hapa hapa Tanzania angalia majina ya Kiswahili mengi utakuta Asili yake ni kwa Waisilamu.
Jumanne, Majaliwa, Tatu, Zawadi, Maua, kilua, mosi, pili, waridi, Balozi na Majina mengi tu, Uisilamu upo very clear kwenye issue ya majina, umpe tu mtu jina zuri,
Ukweli gani wewe!!.. wakristu na wayahudi ndiyo walikua wakifanya mijadala kumpinga mtume akihubiri,kwa hiyo mapadre wakaandika Quran inayosema 'wamekufuru wanaosema hakika ni Mungu masihi mwana wa maryam?..hawakumuua wala kumsulubu..sasa waanzishe uislam dini contrary to christianity Ili iweje?..that is how islam is created by them, halafu kijana mbongo wa madongokuinama mchambawima, temeke mikoroshini choo paspoti saizi ugali dona bamia anashupaza shingo hawataki kuambiwa ukweli kuwa wanapumbazwa akili
Unayo usianze kulia hapa ni vile hujielewi ,unaabudu mizimu ndiyo dini yako so take care of your iman usilete porojo kwingine inaonekana kama hujiamini kabisa.Sina dini mkuu. Intake radhi. Sihitaji dini kumjua na kumuabudu Mungu
Ni kweli hizi ni hoja mfu kama zile hoja zenu za baadhi ya mashehe wasiojitambua kuwa eti Yesu alivaa kanzu hivyo alikiwa muislam au Yesu alizikwa kwa Sanda hivyo ni muislam. 😀😀😀😀😀Hoja ya majina ni ya kijinga sana, Chukulia hapa hapa Tanzania angalia majina ya Kiswahili mengi utakuta Asili yake ni kwa Waisilamu.
Jumanne, Majaliwa, Tatu, Zawadi, Maua, kilua, mosi, pili, waridi, Balozi na Majina mengi tu, Uisilamu upo very clear kwenye issue ya majina, umpe tu mtu jina zuri,
Siabudu mizimu. Natumia akili aliyo nipa Mungu kuishi..Unayo usianze kulia hapa ni vile hujielewi ,unaabudu mizimu ndiyo dini yako so take care of your iman usilete porojo kwingine inaonekana kama hujiamini kabisa.
Kaa na imani yako usisambaze stori hazina ukweli kwa kunakili.
Kwamba wakristo waliandika quran na kusema Yesu hakusukubiwa. Kuna vitu vinachekesha sana.Ukweli gani wewe!!.. wakristu na wayahudi ndiyo walikua wakifanya mijadala kumpinga mtume akihubiri,kwa hiyo mapadre wakaandika Quran inayosema 'wamekufuru wanaosema hakika ni Mungu masihi mwana wa maryam?..hawakumuua wala kumsulubu..sasa waanzishe uislam dini contrary to christianity Ili iweje?..
Uwongo unakusaidia nini!?Jesuit ni jina tu lakini walikuwepo hata kabla ya Yesu.
Wakati Yesu anahubiri Yudea ilikiwa chini ya utawala wa Rumi.
Nchini Ureno kitongoji kinacho itwa Fatima kilipewa jina hilo specifically kwa heshima ya Fatima Bint Muhammad
NOMA SANA MKUUHoja za Alberto Rivera kuhusu Uhusiano Kati ya Ukatoliki na Uislamu zina fikirisha sana.
Alberto Rivera ambae alikuwa jasusi wa Vatican anasema Dini ya kiislamu ilianzishwa na Holy Sea ( Vatican).
Anasema Bi Khadija mke wa kwanza wa Prophet Muhammad ( Peace be upon him) alikuwa ni mtawa wa kikatoliki na shushushu wa Vatican ambae alipewa task na Vatican ya kusaidia kupatikana kwa kijana makini, smart, mwenye maadili mema wa kiarabu ili wamtumie kueneza Uislamu ambapo Bi Khadija alizipata sifa hizo kwa prophet Muhammad ( Peace Be Upon Him)
Alberto Rivera aliprove hoja yake kwa kutumia mifano mingi sana kama vile ufanano wa baadhi ya mambo kwenye ukatoliki na Uislamu kama vile : Architectures, idol worshiping etc.
( Hapo kwenye idol worshiping: Wakatoliki wanasujudia sanamu la Bikira Maria na kutumia vitu kama rosary waislamu wanabusu jiwe la kwenye Kaaba na kutumia vitu kama Tasbihi.
....
Kwanini Ramadhani na Kwaresma zinagongana miaka yote?.
Isije kuwa tunafuata kalenda ya miungu ya Rumi bila kujua kama tunafanya hivyo?
Haya bana
# Fateema is the name of the most favourite daughter of Prophet Muhammad ( Peace Be Upon Him)
In Catholic Fateema is a holy name attributed to a holy place in Portugal which is known as Fateema. ( Fatima) The place was named after Fateema, the favourite daughter of Prophet Muhammad Peace Be Upon Him.
Bikira Maria mama wa Yesu aliwatokea Lucia, Francis na Yasinta ( watoto wa Fatima Katika eneo liitwalo Fatima huko Portugal)
# Our Lady of Fatima Catholic Choir.
# In the Catholic Church, Maryam the mother of Jesus is venerated. In the Holy Quoran there is a complete chapter attributed to Maryam the mother of Jesus ( Suratul Maryam) . Mama wa Prophet Muhammad aliitwa Amina lakini hajapewa sura kwenye Qur'aan ila mama wa Yesu kapewa.
# Waislamu wanavaa Kanzu wakatoliki wanavaa Kanzu ( mapadri)
# wanawake wa kiislamu wanavaa baibui wanawake wa katoliki wanavaa baibui (masista)
# Mbona kama tunachezewa akili?
Unaleta mada ndani ya mada,we psycho!!Unanikosea sana kuniita mtu wa dini. Kuwa na dini ni ukichaa...
Niambie kwanini unaenda kanisani au msikitini?
Kwanza Kabisa Unaonekana Hata Historia Huifahamu Vizuri (Nisamehe kusema Hivyo)..Hoja za Alberto Rivera kuhusu Uhusiano Kati ya Ukatoliki na Uislamu zina fikirisha sana.
Alberto Rivera ambae alikuwa jasusi wa Vatican anasema Dini ya kiislamu ilianzishwa na Holy Sea ( Vatican).
Anasema Bi Khadija mke wa kwanza wa Prophet Muhammad ( Peace be upon him) alikuwa ni mtawa wa kikatoliki na shushushu wa Vatican ambae alipewa task na Vatican ya kusaidia kupatikana kwa kijana makini, smart, mwenye maadili mema wa kiarabu ili wamtumie kueneza Uislamu ambapo Bi Khadija alizipata sifa hizo kwa prophet Muhammad ( Peace Be Upon Him)
Alberto Rivera aliprove hoja yake kwa kutumia mifano mingi sana kama vile ufanano wa baadhi ya mambo kwenye ukatoliki na Uislamu kama vile : Architectures, idol worshiping etc.
( Hapo kwenye idol worshiping: Wakatoliki wanasujudia sanamu la Bikira Maria na kutumia vitu kama rosary waislamu wanabusu jiwe la kwenye Kaaba na kutumia vitu kama Tasbihi.
....
Kwanini Ramadhani na Kwaresma zinagongana miaka yote?.
Isije kuwa tunafuata kalenda ya miungu ya Rumi bila kujua kama tunafanya hivyo?
Haya bana
# Fateema is the name of the most favourite daughter of Prophet Muhammad ( Peace Be Upon Him)
In Catholic Fateema is a holy name attributed to a holy place in Portugal which is known as Fateema. ( Fatima) The place was named after Fateema, the favourite daughter of Prophet Muhammad Peace Be Upon Him.
Bikira Maria mama wa Yesu aliwatokea Lucia, Francis na Yasinta ( watoto wa Fatima Katika eneo liitwalo Fatima huko Portugal)
# Our Lady of Fatima Catholic Choir.
# In the Catholic Church, Maryam the mother of Jesus is venerated. In the Holy Quoran there is a complete chapter attributed to Maryam the mother of Jesus ( Suratul Maryam) . Mama wa Prophet Muhammad aliitwa Amina lakini hajapewa sura kwenye Qur'aan ila mama wa Yesu kapewa.
# Waislamu wanavaa Kanzu wakatoliki wanavaa Kanzu ( mapadri)
# wanawake wa kiislamu wanavaa baibui wanawake wa katoliki wanavaa baibui (masista)
# Mbona kama tunachezewa akili?