Hakuna katiba mpya c c m ni chama kilicho kosa Dira miaka mingi iliyopita, leo wanakuja na sera ya katiba wapi na wapi
Hawa jamaa wa Tanzania wengi hawa wajui. Vizuri nanza na kila uwongo Walio simamia Toka Uhuru Hadi Leo
1) Wataondoa Ujinga na Umasikini na Maradhi mpaka kesho hakuna lolote
2) Azimio la Arusha waka pora Viwanda na Mashamba ya watu maduka hata Baadhi ya Mashule lakini hamna lolote mpaka Leo
3) waka sema Makao Makuu Dodoma mpaka kesho hamna lolote
4) Wakakusanya wapigania Uhuru wa Dunia nzima wakiwamo na wapalestina Leo Israel inauwa wapalestina C C M wako kimya
5) wakaja na vyama vingi Leo wana sema vitaleta vita jeshi litachukua nchi 1964 serikali hii ili taka kupinduliwa je ukawa walikuwepo au vya vingi vilikuwepo hii ndiyo C C M
6) hakuna wasipo haribu hawa jamaa ni Hatari sana propaganda mpaka misikitini na makanisani lakini watu bado wana subiri
Kwamba c c m watafanya miujiza siku moja wapi mpaka mwisho wa Dunia
Yapo mambo Mengi sana naweza kujaza Kitabu kuzidi ukubwa wa biblia jaribuni kuwa epuka sasa
Mpenda Maendeleo