Rasimu ya II ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Rasimu ya II ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

haya maccm wanafiki tuu midomoni wanajifanya wanataka katiba ila wanafiki wakubwa hiyo dhambi wanayoifanyia tanzania itawala maana wananchi wakipata hasira watakuwa chambo wanadhani ni wale wa enzi za majimaji wakiamini risasi zitageuka maji
 
Hakuna katiba mpya c c m ni chama kilicho kosa Dira miaka mingi iliyopita, leo wanakuja na sera ya katiba wapi na wapi
Hawa jamaa wa Tanzania wengi hawa wajui. Vizuri nanza na kila uwongo Walio simamia Toka Uhuru Hadi Leo
1) Wataondoa Ujinga na Umasikini na Maradhi mpaka kesho hakuna lolote
2) Azimio la Arusha waka pora Viwanda na Mashamba ya watu maduka hata Baadhi ya Mashule lakini hamna lolote mpaka Leo
3) waka sema Makao Makuu Dodoma mpaka kesho hamna lolote
4) Wakakusanya wapigania Uhuru wa Dunia nzima wakiwamo na wapalestina Leo Israel inauwa wapalestina C C M wako kimya
5) wakaja na vyama vingi Leo wana sema vitaleta vita jeshi litachukua nchi 1964 serikali hii ili taka kupinduliwa je ukawa walikuwepo au vya vingi vilikuwepo hii ndiyo C C M
6) hakuna wasipo haribu hawa jamaa ni Hatari sana propaganda mpaka misikitini na makanisani lakini watu bado wana subiri
Kwamba c c m watafanya miujiza siku moja wapi mpaka mwisho wa Dunia
Yapo mambo Mengi sana naweza kujaza Kitabu kuzidi ukubwa wa biblia jaribuni kuwa epuka sasa
Mpenda Maendeleo
 
Kuwategemea hao jamaa watulete katiba bora ni sawa na kumtegemea nyani akujengee nyumba. Kwake mwitu watosha
 
Upepo ndani ya bmk hausomeki makundi yote yooote yamegawanyika. Napata fikra kuwa wahusika wote wamechanganyikiwa. Hebu tuone wiki zinavyokwenda. Naamini mzimu wa vikao vya msimu uliopita unawaandama wengi!
 
maslahi ya watanzania ni kujadili kile wanachokihitaji watanzania katika katiba mpya na si vinginevyo:israel::israel:
come back TANGANYIKA
 
Tanzania inatafuta kuwa katiba mpya kwa wakati huu. Ila CCM inatupoteza kwenye mchakato
 
yan iki cjapata kuona chama chenye fitina,majungu kama iki chama miaka mingap tumewapa lkn wap leo bdo mnaitaj tena nafac mda wa kubadilika now
 
Unajua wahenga walisema sikio la kufa alisikii dawa ndivyo hawa ndugu zetu wa chama cha majambazi (ccm) wanataka watu wanao wachukia wawe weng ndio wataelewa kuwa mwisho wa henz umefika.hawana nia njema na katiba sababu kama nia yao ni nzuri wasingelikuwa wAshambulia kila mwenye mawauZo tofauti na wao mimi naomba tu wakafie xiwmbali
 
Je!! Ni kweli hawa jamaa (ccm) hawaoni kwamba serikali mbili zimeshindwa kuhimili muungano??
Wanataka muungano uvunjike ili iweje!?
Dawa inayoweza kuponya muungano ni serikali TATU.
Kweli sikio la kufa ......
 
Tembelea facebook page "actions for democracy and local governance" na account ya Twitter @adlgtz upate kujua mambo mbalimbali yahusuyo Rasimu ya Katiba, ndani na nje ya Bunge maalum
 
hizi siasa mm huwa ata zisielewi bora tu watupe haki zetu za mapenzi ya jinsia moja
 
Back
Top Bottom