Rasmi: Kibu Dennis ni Mtanzania

Rasmi: Kibu Dennis ni Mtanzania

Ni raia wa D R Congo aliyeingia nchini mwetu na wazazi wake mwaka 1998 akiwa na umri wa miaka 6, kwa kigezo cha kukimbia machafuko.

Siku zote hizi ameishi kama digidigi! Uhamiaji wakamshtukia, lawama zinaenda kwa Yanga.
Just imagine uhamiaji wafanye kazi yao afu lawama wabebeshwe yanga. Mchawi wa simba ni simba yenyewe.
 
Nawasalimu na kwa Jina la JMT,


Rais Samia Suluhu Hassan kupitia Waziri wake wa mambo ya ndani Mhe George Simbachawane wameamua kumaliza utata wa kijadi wa mchezaji wa zamani wa Geita Gold, Mbeya City na Sasa Simba SC Kibu Denis Prosper kwa kutekeleza ombi la Tanzania Football Federation ( TFF),Waziri kwa mamlaka anayopewa na Sheria ya Uraia, Sura ya 357 (Rejeo la 2002) amemtunuku Uraia kijana huyu machachari na mzalendo wa kweli kwa Taifa lake baada ya Uraia wake kuingia utata wa kishabiki,

Rais Samia kwa kutambua kuwa michezo ni kazi Kama zilivyo kazi nyingine, Michezo ni ajira amepunguza kodi kwenye zawadi ya Ushindi ( Gamming Tax on Winnings ) toka 20% hadi 15% ,Tanzania imetoa vijana zaidi ya 54 kwenda kucheza nje ya nchi huku 32 kati yao wakiwa ni wachezaji Wa mpira wa miguu yaani ( football ),

Mtakumbuka, Michezo ndio sekta inayokuwa kwa kasi zaidi Tanzania mfano mwaka 2017|18 iliongoza kwani ilikuwa kwa 13.7% haya ndio yanamfanya Rais Samia Suluhu Hassan kuitazama michezo|sanaa kama sekta itakayomsadia kukuza utali,Uwekezaji na kutoa Ajira vijana kwani Ilani ya CCM iliahidi kutengeneza ajira 8m ifikapo mwaka 2025,

#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI

=====================================


Tanzania yampa uraia Denis Kibu, rasmi Simba
Udaku SpecialOctober 03, 2021

Chibu Denis (kushoto) akiwa katika kikosi cha Taifa Stars. Kulia ni John Bocco

WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene, amehitimisha sakata la uraia wa Kibu Denis Prosper kwa kutangaza kumpa uraia mchezaji huyo wa Simba. Anaripoti Damas Ndembela, TUDARCo … (endelea).

Simbachawene ametumia mamlaka aliyopewa kwa mujibu wa Sheria ya Uraia, Sura ya 357 (Rejeo la 2002), kumpa uraia Kibu.

Uamuzi huo umetangazwa usiku wa Jumamosi tarehe 2 Oktoba 2021 kupitia ukurasa wa kijamii wa Twitter wa wizara hiyo uliyoweka picha ya Kibu na maneno yaliyosomeka;

“Mamlaka aliyopewa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, kwa mujibu wa Sheria ya Uraia, Sura ya 357 (Rejeo la 2002), baada ya kupokea ombi lililoletwa kwake na TFF, amempa URAIA wa Tanzania Mchezaji wa Mpira wa Miguu, Kibu Denis Prosper, Sept. 30, 2021.”

Waziri Simbachawene ametangaza uamuzi huo ikiwa imepita siku moja tangu, Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe kuibuka na kumtaka, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuingilia kati suala hilo akidai linatia aibu Taifa.

Mbali na Majaliwa, Zitto aliwatupia mzigo Waziri Simbachawene na Innocent Bashungwa, Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo akisema, wakiamua wanaweza kuhitimisha suala hilo ndani ya siku moja.

Zitto aliibuka kuzungumzia suala hilo alipofanya mahojiano maalumu na MwanaHALISI TV na MwanaHALISI Online akishangazwa na uamuzi wa Serikali kushikilia hati ya kusafiria ya Kibu ambaye amesajiliwa Simba msimu huu akitokea Mbeya City.

Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT Wazalendo
Mwanasiasa huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) alisema, ilikuwaje Kibu akacheza Mbeya City, timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars “hakuulizwa uraia, ila amesajiliwa tu Simba anaulizwa uraia.”

Kibu anayevalia jezi namba 38 aliyopewa baada ya kusajiliwa Simba, aliicheza Taifa Stars kwa mara ya kwanza kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Malawi, tarehe 13 Julai 2021, uliochezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa na Stars kuibuka na ushindi wa 2-0.

George Simbachawene, Waziri wa Mambo ya Ndani
Kwenye mchezo huo, Kibu anayecheza nafasi ya ushambuliaji, alionesha kiwango kinachoridhisha na kuwezesha ushindi huo na baadaye akizungumza na waandishi wa habari alisema “nashukuru sana kwa mara ya kwanza kuichezea timu yangu ya Stars. Wazidi kunipa moyo kwani safari bado ndefu.”

Baada ya uamuzi huo wa Serikali, Zitto ameandika kwenye Instagram yake akipongeza uamuzi huo akisema “nazishukuru na kuzipongeza mamlaka za uraia.”

VIVA TANZANIAN VIVA ||VIVA SAMIA VIVA

View attachment 1962612
Kumbe mlimchezesha mchezaji ambaye sio raia wa Tanganyika ktk mechi na Malawi. Asanteni kwa taarifa sisi wa Malawi tunakata rufaa ushahidi tunao na hivi mnavyo tunyanyasa kwa kututesa na kutuning'iniza Kama popo ili tubambikie watu kesi za uongo ndio mmelikoroga.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Mashule Wanafunzi wanakaa chini,Maji ni ya shida halafu ulaghai wa kusifia vitu visivyokuwa muhimu,CCm imeshatufanya Wananchi kuwa wajinga.
 
Nawasalimu na kwa Jina la JMT,


Rais Samia Suluhu Hassan kupitia Waziri wake wa mambo ya ndani Mhe George Simbachawane wameamua kumaliza utata wa kijadi wa mchezaji wa zamani wa Geita Gold, Mbeya City na Sasa Simba SC Kibu Denis Prosper kwa kutekeleza ombi la Tanzania Football Federation ( TFF),Waziri kwa mamlaka anayopewa na Sheria ya Uraia, Sura ya 357 (Rejeo la 2002) amemtunuku Uraia kijana huyu machachari na mzalendo wa kweli kwa Taifa lake baada ya Uraia wake kuingia utata wa kishabiki,

Rais Samia kwa kutambua kuwa michezo ni kazi Kama zilivyo kazi nyingine, Michezo ni ajira amepunguza kodi kwenye zawadi ya Ushindi ( Gamming Tax on Winnings ) toka 20% hadi 15% ,Tanzania imetoa vijana zaidi ya 54 kwenda kucheza nje ya nchi huku 32 kati yao wakiwa ni wachezaji Wa mpira wa miguu yaani ( football ),

Mtakumbuka, Michezo ndio sekta inayokuwa kwa kasi zaidi Tanzania mfano mwaka 2017|18 iliongoza kwani ilikuwa kwa 13.7% haya ndio yanamfanya Rais Samia Suluhu Hassan kuitazama michezo|sanaa kama sekta itakayomsadia kukuza utali,Uwekezaji na kutoa Ajira vijana kwani Ilani ya CCM iliahidi kutengeneza ajira 8m ifikapo mwaka 2025,

#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI

=====================================


Tanzania yampa uraia Denis Kibu, rasmi Simba
Udaku SpecialOctober 03, 2021

Chibu Denis (kushoto) akiwa katika kikosi cha Taifa Stars. Kulia ni John Bocco

WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene, amehitimisha sakata la uraia wa Kibu Denis Prosper kwa kutangaza kumpa uraia mchezaji huyo wa Simba. Anaripoti Damas Ndembela, TUDARCo … (endelea).

Simbachawene ametumia mamlaka aliyopewa kwa mujibu wa Sheria ya Uraia, Sura ya 357 (Rejeo la 2002), kumpa uraia Kibu.

Uamuzi huo umetangazwa usiku wa Jumamosi tarehe 2 Oktoba 2021 kupitia ukurasa wa kijamii wa Twitter wa wizara hiyo uliyoweka picha ya Kibu na maneno yaliyosomeka;

“Mamlaka aliyopewa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, kwa mujibu wa Sheria ya Uraia, Sura ya 357 (Rejeo la 2002), baada ya kupokea ombi lililoletwa kwake na TFF, amempa URAIA wa Tanzania Mchezaji wa Mpira wa Miguu, Kibu Denis Prosper, Sept. 30, 2021.”

Waziri Simbachawene ametangaza uamuzi huo ikiwa imepita siku moja tangu, Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe kuibuka na kumtaka, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuingilia kati suala hilo akidai linatia aibu Taifa.

Mbali na Majaliwa, Zitto aliwatupia mzigo Waziri Simbachawene na Innocent Bashungwa, Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo akisema, wakiamua wanaweza kuhitimisha suala hilo ndani ya siku moja.

Zitto aliibuka kuzungumzia suala hilo alipofanya mahojiano maalumu na MwanaHALISI TV na MwanaHALISI Online akishangazwa na uamuzi wa Serikali kushikilia hati ya kusafiria ya Kibu ambaye amesajiliwa Simba msimu huu akitokea Mbeya City.

Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT Wazalendo
Mwanasiasa huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) alisema, ilikuwaje Kibu akacheza Mbeya City, timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars “hakuulizwa uraia, ila amesajiliwa tu Simba anaulizwa uraia.”

Kibu anayevalia jezi namba 38 aliyopewa baada ya kusajiliwa Simba, aliicheza Taifa Stars kwa mara ya kwanza kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Malawi, tarehe 13 Julai 2021, uliochezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa na Stars kuibuka na ushindi wa 2-0.

George Simbachawene, Waziri wa Mambo ya Ndani
Kwenye mchezo huo, Kibu anayecheza nafasi ya ushambuliaji, alionesha kiwango kinachoridhisha na kuwezesha ushindi huo na baadaye akizungumza na waandishi wa habari alisema “nashukuru sana kwa mara ya kwanza kuichezea timu yangu ya Stars. Wazidi kunipa moyo kwani safari bado ndefu.”

Baada ya uamuzi huo wa Serikali, Zitto ameandika kwenye Instagram yake akipongeza uamuzi huo akisema “nazishukuru na kuzipongeza mamlaka za uraia.”

VIVA TANZANIAN VIVA ||VIVA SAMIA VIVA

View attachment 1962612
Kwa uandishi huu inaonenekana serikali ya CCM mmekwama sehemu , kiki sijuhi ni mvuto unaolazimishwa .
 
.... aliyetoa uraia kwa huyo kijana kwa mujibu wa sheria za nchi ni Rais au Waziri? Hivi mkinyoosha maelezo mnakosa nini?
Basi tufanye alipewaga uraia na dikteta sio Samia,

Mna chuki nyie watu
 
Tunajitia Aibu Sana Hili Taifa. Ni bora wasinge Tangaza Chochote na Wangemuonya Kibu Denis kutokusema Chochote. Wangempa Uraia Kimyakimya Kumpa Uraia kwa Matangazo hivi wanaiabisha sana hii nchi Yetu.

Kuna Maswali Zaidi ya 100 kwenye hili sakata Vs Wahamiaji Haramu wanaokamatwa kila siku Vs sheria za Nchi.

1. Apewa Uraia Wa Tanzania Kutoka Uraia Wa nchi Gani?

2. Nchi Gani Ililalamika Kuwa Kibu Denis Ni Raia Wao?

3. Ameshacheza Mechi Ya Timu Ya Taifa na kufunga Goli, Alicheza Kama Raia wa Wapi? Na CAF na FIFA illimtambua Kama Raia Wa Wapi? Tufutiwe matokeo? Yale aliyocheza Kibu Denis?, kafu Watuchukulie hatua kwasababu tulichezesha Raia sio wa Kitanzania?

4. Kwa miaka Yote Aliyocheza Ligi Kuu Tanzania Bara Alicheza Kama nani? Kama Raia Wa Nchi Gani?

5. Miaka Yote aliyo ishi Tanzania Ameishi kama Raia Wa Nchi Gani? Alipewa PR visa? Working Visa? Sturdy Visa? Au alipewa nini?

6. Katika Haya Yote kwa miaka Yote viongozi walikuwa wapi?

7. Kusajiliwa Simba Ndio Sababu Ya hili sakata?

Yaani mambo ni Mengi kiufupi hii nchi ni ngumu sana.
Upo sawa mkuu halafu issue imekuja kujulika siyo raia,na anapewa uraia haraka sana. Hakuna uchunguzi wala nini.
Kunashida mahara,huyu mtu hakuwa na paspot ila anakitambulisho cha Nida,alikipate je? Kama siyo Mtz.
 
Nawasalimu na kwa Jina la JMT,


Rais Samia Suluhu Hassan kupitia Waziri wake wa mambo ya ndani Mhe George Simbachawane wameamua kumaliza utata wa kijadi wa mchezaji wa zamani wa Geita Gold, Mbeya City na Sasa Simba SC Kibu Denis Prosper kwa kutekeleza ombi la Tanzania Football Federation ( TFF),Waziri kwa mamlaka anayopewa na Sheria ya Uraia, Sura ya 357 (Rejeo la 2002) amemtunuku Uraia kijana huyu machachari na mzalendo wa kweli kwa Taifa lake baada ya Uraia wake kuingia utata wa kishabiki,

Rais Samia kwa kutambua kuwa michezo ni kazi Kama zilivyo kazi nyingine, Michezo ni ajira amepunguza kodi kwenye zawadi ya Ushindi ( Gamming Tax on Winnings ) toka 20% hadi 15% ,Tanzania imetoa vijana zaidi ya 54 kwenda kucheza nje ya nchi huku 32 kati yao wakiwa ni wachezaji Wa mpira wa miguu yaani ( football ),

Mtakumbuka, Michezo ndio sekta inayokuwa kwa kasi zaidi Tanzania mfano mwaka 2017|18 iliongoza kwani ilikuwa kwa 13.7% haya ndio yanamfanya Rais Samia Suluhu Hassan kuitazama michezo|sanaa kama sekta itakayomsadia kukuza utali,Uwekezaji na kutoa Ajira vijana kwani Ilani ya CCM iliahidi kutengeneza ajira 8m ifikapo mwaka 2025,

#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI

=====================================


Tanzania yampa uraia Denis Kibu, rasmi Simba
Udaku SpecialOctober 03, 2021

Chibu Denis (kushoto) akiwa katika kikosi cha Taifa Stars. Kulia ni John Bocco

WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene, amehitimisha sakata la uraia wa Kibu Denis Prosper kwa kutangaza kumpa uraia mchezaji huyo wa Simba. Anaripoti Damas Ndembela, TUDARCo … (endelea).

Simbachawene ametumia mamlaka aliyopewa kwa mujibu wa Sheria ya Uraia, Sura ya 357 (Rejeo la 2002), kumpa uraia Kibu.

Uamuzi huo umetangazwa usiku wa Jumamosi tarehe 2 Oktoba 2021 kupitia ukurasa wa kijamii wa Twitter wa wizara hiyo uliyoweka picha ya Kibu na maneno yaliyosomeka;

“Mamlaka aliyopewa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, kwa mujibu wa Sheria ya Uraia, Sura ya 357 (Rejeo la 2002), baada ya kupokea ombi lililoletwa kwake na TFF, amempa URAIA wa Tanzania Mchezaji wa Mpira wa Miguu, Kibu Denis Prosper, Sept. 30, 2021.”

Waziri Simbachawene ametangaza uamuzi huo ikiwa imepita siku moja tangu, Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe kuibuka na kumtaka, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuingilia kati suala hilo akidai linatia aibu Taifa.

Mbali na Majaliwa, Zitto aliwatupia mzigo Waziri Simbachawene na Innocent Bashungwa, Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo akisema, wakiamua wanaweza kuhitimisha suala hilo ndani ya siku moja.

Zitto aliibuka kuzungumzia suala hilo alipofanya mahojiano maalumu na MwanaHALISI TV na MwanaHALISI Online akishangazwa na uamuzi wa Serikali kushikilia hati ya kusafiria ya Kibu ambaye amesajiliwa Simba msimu huu akitokea Mbeya City.

Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT Wazalendo
Mwanasiasa huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) alisema, ilikuwaje Kibu akacheza Mbeya City, timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars “hakuulizwa uraia, ila amesajiliwa tu Simba anaulizwa uraia.”

Kibu anayevalia jezi namba 38 aliyopewa baada ya kusajiliwa Simba, aliicheza Taifa Stars kwa mara ya kwanza kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Malawi, tarehe 13 Julai 2021, uliochezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa na Stars kuibuka na ushindi wa 2-0.

George Simbachawene, Waziri wa Mambo ya Ndani
Kwenye mchezo huo, Kibu anayecheza nafasi ya ushambuliaji, alionesha kiwango kinachoridhisha na kuwezesha ushindi huo na baadaye akizungumza na waandishi wa habari alisema “nashukuru sana kwa mara ya kwanza kuichezea timu yangu ya Stars. Wazidi kunipa moyo kwani safari bado ndefu.”

Baada ya uamuzi huo wa Serikali, Zitto ameandika kwenye Instagram yake akipongeza uamuzi huo akisema “nazishukuru na kuzipongeza mamlaka za uraia.”

VIVA TANZANIAN VIVA ||VIVA SAMIA VIVA

View attachment 1962612
Think maturely.Kazi ya kutoa uraia ni ya rais?
 
Je, hayo malalamiko yalikua yana ukweli, au yalikua ni ya uongo?

Tuachane na ile sababu isiyo na mashiko ya kwamba eti wamekalamika baada ya huyo mchezaji kukataa kusajiliwa na Yanga.
Mlikuwa wapi kulalamika mpaka alipokuja simba ndio muende TFF!! Nyie Utopolo mna shida sana[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom