TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Best paragraph ever seen since 2020 started.
👏 👏Najiombea mema pia namuombea na yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👏 👏Najiombea mema pia namuombea na yeye
Ostadhi akatae kuvaa tisheti zenye nembo za gambling😝😝Amkeni amkeniiiiSio mambo ya NIDA !sasa ni wakati wa Samatta!!!View attachment 1329008
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa ni kiazi sana comment zake zinajaaga hate na uchonganishi tuWewe nawe unaeka mchanga kwenye maziwa,mambo ya Lissu yameingiaje apa au ndo unawashwa
Anavaa Trezeguet na yule captain wa misri asivae Samatta ustaadh wa Bongo?Ostadhi akatae kuvaa tisheti zenye nembo za gambling😝😝
Kusujudu na kumshukuru Allah si lazima afanye mbele za watu lakini Waislam tutafurahi sana akifanya hivyo. Kumbuka hilo.
Sisi si tunazijuaga sana dini kuliko wenye vinasaba nazoAnavaa Trezeguet na yule captain wa misri asivae Samatta ustaadh wa Bongo?
Akihitajika anauzwa muda wowote mkataba haumzuii kuuzwa kule si kama bongo ukimtaka mchezaji hadi usubiri mkataba uishe.Naona miaka minne ni mingi angalau ingekua miwili ili akatumikie vilabu vingine pale Epl akiwa bdo kinda assume saiz ana miaka 27.zaid nampongeza sana mana anaitangaza vema Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itambidi tu avaeSisi si tunazijuaga sana dini kuliko wenye vinasaba nazo
Hivi kwanini Kapombe hupenda sana kutumia ishara ya msalaba au si muislamu? ila si vyema kupromote mambo ya kidini kwenye mpira inaweza ikachochea fujo au mgawanyiko maana mpira ni mchezo wa furaha na ni mchezo wa wote labda iwe ni kwa kumshukuru mungu kukufikisha hapo ulipofika otherwise si uungwana kama ilivyo siasa kwenye mpira... nimeona mara nyingi unakuta goli limefungwa, kundi la wachezaji kama saba hivi linakimbia kwenda kwenye kibendera wanafika pale sita wanainama kusujudu mmoja anabaki amesimama kisa yeye ni mkristo haileti picha nzuri.Ma shaa Allah tunataka kumuona Samatta akisujudu kama Salah anapofunga goli au Papa anapotembelea nchi za mataifa.
Si unafahamu wenye kusujudu ni kina nani? Wewe umeshawahi kusujudu toka kuzaliwa?
Ukiwa mjinga sana ni tatizo.Ma shaa Allah tunataka kumuona Samatta akisujudu kama Salah anapofunga goli au Papa anapotembelea nchi za mataifa.
Si unafahamu wenye kusujudu ni kina nani? Wewe umeshawahi kusujudu toka kuzaliwa?
Wale majirani wataedit hiyo national flag waweke ya kwao.Amkeni amkeniiiiSio mambo ya NIDA !sasa ni wakati wa Samatta!!!View attachment 1329008
Wameweka price yake shingapi?Wazee wa Fantasy tumjaribu
Shida ya bongo ushabiki wa mziki na siasa vimetuharibu sana, ni ajabu kumringanisha msuva na samatta aise!Tanzania ni nchi ya ajabu sana.. kuna watu walidiriki kusema Samatta anabahatisha tu hana anachojua.. wengine wakashangilia dili la msuva kwenda Benfica huku wakimponda Samatta... Ajabu wabongo wanamuona hafai lakini wazungu wanamuona Almasi
Hizo chuki zenu na mabifu ya kwenye mziki msilete hadi kwenye mpira maana mpira hauendi hivo... kumshusha Samatta na kumpandisha Msuva ilhali wote ni watanzania wanaojituma na pia ni marafiki si kitendo cha kiungwana... kama wewe ni mgeni kwenye mambo ya mpira basi naomba nikwambie mpira hauendi hivyo
Piga kazi Samatta watu wataelewa kazi za miguu yako
Rasmi kuanzia sasa na miaka minne na nusu yoote kuendelea mie ni shabiki wa aston villa
Hakika mkuu huyu jamaa mpambanaji sana,jitahada na uweza wa Mungu umemfikisha hapo,hv vip kuhusu yule jamaa wa NBA Hasheem Thabit mbona kimya hatusikii habar zake [emoji16]Jamaa ndio mpambanaji namba 1 akifuatiwa na Diamond. Tanzania tujivunie kuwa na watu kama hawa..
Ukiisikiliza interview yake kaitaja Tanzania mara nyingi sana. anamzidi hadi Waziri wa mambo ya nje na waziri wa utalii kwa kuotangaza nchi.
Mtanzania pekee ambaye kila mtu anamsupport awe CCM au CHADEMA jamaa anatuunganisha Watanzania[emoji91]
Najiombea mema pia namuombea na yeye atuwakilishe kwa kupiga magoli nyumbu za EPL
Wapigaji wa Kichina hawakawii kutuletea midosho [emoji23][emoji23]Inabidi wazilete jezi kwa wingi [emoji1241][emoji123]
Zen kuna jamaa wakuitwa Paulo de canio way backTimu ya zamani ya Dwight Yorke