Rasmi Mrema anafunga ndoa Kanisani na mrembo wake mweupe...

Rasmi Mrema anafunga ndoa Kanisani na mrembo wake mweupe...

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Mwenyekiti wa TLP, Augustine Lyatonga Mrema anafunga ndoa na Doreen Mrema, leo Machi 24, 2022 katika Parokia ya Uwomboni, Kiraracha Mkoani Kilimanjaro.

Mrema ambaye aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini, kuwa mbunge na kugombea urais wa Tanzania, amekula kiapo cha ndoa katika misa iliyohusisha watu wachache ikiwa ni baada ya aliyekuwa mkewe wa awali kufariki mwaka jana.

 
All the best,maisha ya dunia hii ni mafupi Sana,pengine ni miaka 70 au 80 habari yako inaisha,hebu fikiria waliokufa mwaka 1 Hadi Leo hii ni miaka 2000+ wako kaburini tu!!

Hivyo Mh mrema anayo nafasi ya kujipongeza na kuhakikisha maisha ya hapa duniani anayaishi kwa furaha.

Kuna watu wanaishi maisha ya duniani kwa tabu bado na huko tunako amini kuwa wafu huenda nako wanaishi kwa tabu tu!!

Kila la kheri Mh Mrema!!!
 
1648114977396.jpeg

Mateso ya mzee yanaanizia mwanzo wa safari.
 
Back
Top Bottom