900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
inaonekana mzee sasa kahalalisha mchepuko kuwa waife baada ya mama watoto ku pass away
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijui tunaenda wapi.Hata mimi nimeshangaa.
hapa ana kigugumizi sijaelewa kbsAsk. Kilaini Mzee wa chimbachimba twambie sheria ipi Canon law imetumika kufunga ndoa kipindi Cha Kwaresma
Kazi yake itakua ni kupika mtori na kushusha net usiku.Dah iyo amka ya mrema ukiambiwa ni mtu alikua na nguvu zake inasikitisha dada pembeni anaangalia tu mzee anavyopiga kiki 😆😆😆😆
Awaaulize waliomtabiria kifo Lowassa akin Kombani na John Komba. Wameondoka mmoja baada ya mwingine wakati mzee wa Monduli anadunda tuu. Huyu Mungu hapangiwi...Yawezekana wewe ukatangulia,death cuts across all ages.
Same herehongera kwao. sijaelewa kwanini bibi harusi kuvaa shades kanisani 😎
Hili nalo nenohiv kwaresma imeisha?
Hataki kuonekanahongera kwao. sijaelewa kwanini bibi harusi kuvaa shades kanisani 😎
au ndo yale pesa iko juu ya sheria?Hili nalo neno
Alikua Naibu Waziri Mkuu pia.Aikambe meku. Mwacheni mzee ale pesheni zake za uwaziri na ubunge.
Kiruu
Yes,enzi za Mwinyi,kilikua cheo kipya kabisa.Alikua Naibu Waziri Mkuu pia.
Mweeh,hapa nimegongwa na kitu kizito mno,katoliki katoliki,katoliki mtuhurumie.hiv kwaresma imeisha?
Si ndioGari bovu huvutwa na gari zima.
Kama ni hivyo basi RC wameshaanza kuoza kama KKKTau ndo yale pesa iko juu ya sheria?