Rasmi Mrema anafunga ndoa Kanisani na mrembo wake mweupe...

Rasmi Mrema anafunga ndoa Kanisani na mrembo wake mweupe...

huyu mzee vijana wa hovyo lazima wamsaidie kuzama chumvini maana hiyo gari namba C bado inahitaji safari ndefu
 
Mzee kafanya haraka sana,mke kafariki September 2021 halafu anaoa March 2022 , pia badala ya kuoa mtu mzima mwenzake anaoa''mwanawe'' hawa wazee sijui kwanini hawajifunzi, mwisho wa yote ni kuacha migogoro tu huku nyuma wakati wenyewe hawapo, sababu alizozitoa za kuoa katika uzee alionao halafu anaoa kigori ni kujitakia shinikizo la moyo,angetafuta angalau mwanamke mtu mzima.
 
mzee ni kama vile ametafuta mtu wa kumuhudumia kwa ukaribu mana ni mgonjwa

ila mbona kama hawezi kusimama vzr

mshedede utasimama kweli? au ndo ng’ombe hazeeki maini
 
Back
Top Bottom