mswaki mbuyu
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 708
- 445
Mungu mkubwa unaweza kuta unatangulia wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu mkubwa unaweza kuta unatangulia wewe
Mweeh,hapa nimegongwa na kitu kizito mno,katoliki katoliki,katoliki mtuhurumie.
Mimi bado msimamo wangu ni uleule mkuu. Wazee hawafai kuonyesha uchi wao kwa watoto wao. Ndio mana inchi hii inapata laana kwa sababu ya mambo kama haya yasiyompendeza Mungu 👇 👇 👇 👇 👇 👇 👇 cc: FaizaFoxySasa tpaul ulikuwa unahorohoja nini sasa?
Naunga mkono commentNa kheri ikawe kwao
Kwani huyo dada ni mtoto wa MremaMimi bado msimamo wangu ni uleule mkuu. Wazee hawafai kuonyesha uchi wao kwa watoto wao. Ndio mana inchi hii inapata laana kwa sababu ya mambo kama haya yasiyompendeza Mungu.
Ni yule yule mkuu; alitaka kuchomoa lakini wazee wamembembeleza amekubali, Pesa si mchezo aisee!!Yule yule wa CBE ama mwengine?
Ndoa ya mchongo hiyo mkuuhongera kwao. sijaelewa kwanini bibi harusi kuvaa shades kanisani 😎
Ni mtoto wake kiumri kwa kuwa hata Mrema ana watoto wanaolingana naye.Kwani huyo dada ni mtoto wa Mrema
Mke yupo busy na simu hajishughulishi na mumewe........ndio maana nikasema hii ndoa ni ya mchongo hii. Laana inaanzia hapa hapa kanisani.View attachment 2162676
Mateso ya mzee yanaanizia mwanzo wa safari.
Umri ni namba haizui kutoolewa nae kumbuka Ndoa si jambo heri na hakuna la ajabu kwa hiliNi mtoto wake kiumri kwa kuwa hata Mrema ana watoto wanaolingana naye.
Una wazimu si bure!!!!Ni yule yule mkuu; alitaka kuchomoa lakini wazee wamembembeleza amekubali, Pesa si mchezo aisee!!
Hicho cheo alipewa na nani?Alikua Naibu Waziri Mkuu pia.
Achana na huyu tpaul ni juha naona kuna mzee kakula mpenzi wake! Amechanganyikiwa huyoUmri ni namba haizui kutoolewa nae kumbuka Ndoa si jambo heri na hakuna la ajabu kwa hili
Alipewa na CCM wenzake na walimkana alipoingilia maslahi yao.Hicho cheo alipewa na nani?
Na kwenye ile katiba mbovu ya mwaka 1977 ipo hiyo Nafasi?
Ni yuleyule ila kajikoboa.....wewe huijui nguvu ya mkorogo; shauri yako.Una wazimu si bure!!!!
Huyu wa picha anafanana na huyu hapa chini?
View attachment 2162831
![]()
Neema amkana Mzee Mrema “Sina Mpango wa Kuolewa”
Mwanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Neema Swai anayedaiwa kuolewa na Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Mzee Lyatonga Mrema amemkana mzee huyo akisema hamjui wala hana mpango wa kuolewa.Neema amesema hayo kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorglobalpublishers.co.tz