Laana inapatikana kama wangekuwa wanazini lakini hao ni mke na Mume kwa sasa hapo baraka zina miminika kwaoHivo vitoto mnavyooa makuja kufia kifuani mwao; mtapata laana na dhambi kwa sababu ya ubishi wenu wa kijuha.
Kipindi hicho Rais alikuwa ni nani?Alipewa na CCM wenzake na walimkana alipoingilia maslahi yao.
Una wazimu si bure!!!Ni yuleyule ila kajikoboa.....wewe huijui nguvu ya mkorogo; shauri yako.
Mzee RuksaKi
Kipindi hicho Rais alikuwa ni nani?
Rais MwinyiKi
Kipindi hicho Rais alikuwa ni nani?
Mtoto wake alimfukuza kaburi na lukuvi kazi akamwambia nitakupangia kazi nyingine. Isikutwe atampatia unaibu Waziri mkuu?Mzee Ruksa
Nyie ndio mnaovutiwa na sura za mikorogo lakini nguvu ya mikorogo ikiisha unamkimbia mke/mpenzi. Mbuzi pori mkubwa!Una wazimu si bure!!!
Mkuu Ongeza sauti kidogoNyie ndio mnaovutiwa na sura za mikorogo lakini nguvu ya mikorogo ikiisha unamkimbia mke/mpenzi. Mbuzi pori mkubwa!
Mzee ana dalili zote za kuwa msumbufu, ona jicho hiloView attachment 2162676
Mateso ya mzee yanaanizia mwanzo wa safari.
Ninashauri angepimwa akili kabla hajaruhusiwa kufunga ndoa.Mzee ana dalili zote za kuwa msumbufu, ona jicho hilo
Tena no hizi ndo huwa zina demand ya hali ya juu.huyu mzee vijana wa hovyo lazima wamsaidie kuzama chumvini maana hiyo gari namba C bado inahitaji safari ndefu
Tena no hizi ndo huwa zina demand ya hali ya juu.
πππNinashauri angepimwa akili kabla hajaruhusiwa kufunga ndoa.