TADPOLE JF-Expert Member Joined Nov 18, 2015 Posts 2,914 Reaction score 9,472 Mar 24, 2022 #81 Hongera kwake mzee ila mwambieni kama anataka vumbi la congo/putururu naliuza kwa bei rahisi tu..pure product came straight from Kisangani hiyo unaweza kuweka hata kwenye ubwabwa
Hongera kwake mzee ila mwambieni kama anataka vumbi la congo/putururu naliuza kwa bei rahisi tu..pure product came straight from Kisangani hiyo unaweza kuweka hata kwenye ubwabwa
Skylar JF-Expert Member Joined Nov 10, 2021 Posts 2,334 Reaction score 5,550 Mar 24, 2022 #83 Hivi Lyatonga sio muislamu kumbe
Proved JF-Expert Member Joined Sep 10, 2018 Posts 32,639 Reaction score 42,908 Mar 24, 2022 #84 joseph1989 said: Gari bovu huvutwa na gari zima. Click to expand... Kweli kabisa.. Hongera sana Mzee Lyatonga ( naibu waziri mkuu mstaafu)... Wakulipe pension yako sasa.
joseph1989 said: Gari bovu huvutwa na gari zima. Click to expand... Kweli kabisa.. Hongera sana Mzee Lyatonga ( naibu waziri mkuu mstaafu)... Wakulipe pension yako sasa.
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Mar 24, 2022 #85 Ndoa kipindi cha Kwaresma uwiii katoliki mnaelekea wapi jamani
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Mar 24, 2022 #86 Nguvu ya pesa,Bibie ana miwani ya jua na kuchat kanisani. Angekua kajamba nani angeshatimuliwa zamani na ndoa isingefungwa Sky Eclat said: View attachment 2162676 Mateso ya mzee yanaanizia mwanzo wa safari. Click to expand...
Nguvu ya pesa,Bibie ana miwani ya jua na kuchat kanisani. Angekua kajamba nani angeshatimuliwa zamani na ndoa isingefungwa Sky Eclat said: View attachment 2162676 Mateso ya mzee yanaanizia mwanzo wa safari. Click to expand...
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 57,761 Reaction score 216,011 Mar 24, 2022 #87 Numbisa said: Nguvu ya pesa,Bibie ana miwani ya jua na kuchat kanisani. Angekua kajamba nani angeshatimuliwa zamani na ndoa isingefungwa Click to expand... Bibie ni official mnufaika wa ruzuku ya TLP
Numbisa said: Nguvu ya pesa,Bibie ana miwani ya jua na kuchat kanisani. Angekua kajamba nani angeshatimuliwa zamani na ndoa isingefungwa Click to expand... Bibie ni official mnufaika wa ruzuku ya TLP