Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

Binadamu wa kwanza ametoka wapi?
Binadamu hajatokea mahali popote.

Binadamu amekuwepo duniani milele yote.
Na kwanini huyo binadamu amekuwa wa Me na Ke kama alitokea naturally?
Ndivyo asili ilivyo.
Factors zipi zilisababisha binadamu awe na jinsia ya kike na mwingine wa kiume? Yupi alianza kutokea katika hizo jinsia?
Hakuna factors zilizo sababisha binadamu awe wa kike na mwingine wa kiume.

Asili ndivyo ilivyo kwa viumbe wote. Kuna viumbe vya kike na viumbe vya kiume.
 
Mawazo ya huyo Mungu ni ya kijinga na kipumbavu sana.

Tena afadhali hata mawazo ya kibinadamu yana logic.

Mawazo na njia za huyo Mungu ni Nonsense kabisa!

Kwani yeye si ndiye aliyetuumba na kutupa uwezo wa kufanya kila kitu?

Kwa nini huyo Mungu atupe uwezo wa kwenda kinyume na matakwa yake, Halafu tukienda kinyume anakasirika?

Kama huyo Mungu alikuwa hataki tufanye vitu kinyume na mapenzi yake, Kwa nini alitupa uwezo wa kutenda vitu kinyume na mapenzi yake wakati anatuumba?

Huyo Mungu Alishindwaje kutufanya tuenende kwenye mapenzi na matakwa yake siku zote na wakati wote?

Huyo Mungu Alishindwaje kuumba dunia isiyo na shetani?

Huyo Mungu je hakujua kwamba shetani atakuja kuwepo amdhibiti na kumzuia mapema asiwepo?

Hivi huyo Mungu wako anajielewa kweli?
Sawa Baki na Imani yako mkuu
 
Huyo God ambaye unasema is good, ndio anashindwa kuwasaidia maelfu ya watoto wadogo na wanawake wanaokufa kwa njaa, vita, magonjwa na majanga mbalimbali ya asili duniani.
He allows people to die since he has not broken his promises ambayo inasema binadamu lazima arudi mavumbini....
Halafu unakuja hapa kumsifia na kumpa sifa uchwara huyo God mdhaifu ambaye hawezi hata kuwasaidia watu kama hawa👇👇
View attachment 3205295
Huyo Mungu kama yupo ni muovu sana na anastahili kufurushwa huko alipo. Hana wema wowote ule.
He wants us to turn back to him so so we overcome negative effects as suffering..Mungu hamtupi mja wake ata siku.moja utachukulia mfano wa Job kwenye biblia
 
Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zinduke I dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini

Unanikumbusha mwanzoni mwa mwaka 1890 kuelekea 1900, ndio theory za mawimbi ya radio kusafiri hewani yalitolewa na wajinga walipinga vikali kuwa haiwezekani mawimbi yapite hewani bila nguzo wala waya. Baadae wakapata Aibu baada ya ugunduzi wa Radio kuanza kufanya kazi na hatimaye simu zikagunduliwa.

Turudi kwenye mada; masuala yanayo muhusu Mungu sio mepesi mepesi kama unavyofikiri, na nakushauri uachane nayo!
Post vitu vingine ulivyo na Elimu navyo, kwani haya yanayo muhusu Mungu yanahitaji watu walio soma vizuri,. ACHA KUCHANGIA VITU USIVYO KUWA NA ELIMU NAVYO!!!
 
Unanikumbusha mwanzoni mwa mwaka 1890 kuelekea 1900, ndio theory za mawimbi ya radio kusafiri hewani yalitolewa na wajinga walipinga vikali kuwa haiwezekani mawimbi yapite hewani bila nguzo wala waya. Baadae wakapata Aibu baada ya ugunduzi wa Radio kuanza kufanya kazi na hatimaye simu zikagunduliwa.

Turudi kwenye mada; masuala yanayo muhusu Mungu sio mepesi mepesi kama unavyofikiri, na nakushauri uachane nayo!
Post vitu vingine ulivyo na Elimu navyo, kwani haya yanayo muhusu Mungu yanahitaji watu walio soma vizuri,. ACHA KUCHANGIA VITU USIVYO KUWA NA ELIMU NAVYO!!!
Huna akili 1890 ulikuwepo au umedata
 
He allows people to die since he has not broken his promises ambayo inasema binadamu lazima arudi mavumbini....
Kama huyo Mungu alituumba ili tuje kufa kwa nini alisema zaeni mkaijaze dunia?

Watu wataijazaje Dunia, ilhali wanakufa na kupungua?
He wants us to turn back to him so so we overcome negative effects as suffering..Mungu hamtupi mja wake ata siku.moja utachukulia mfano wa Job kwenye biblia
Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu watakao mtii na kumwamini siku zote na wakati wote?
 
Kuna vitu pesa haiwezi kununua anavyotoa Mungu tu hasa Amani Biblia inasema "mwenye dhambi huna Amani". Na "hakuna Amani kwa wabaya" Lakini kwa habari ya maisha haya saa yangu inasoma sawa hasa kimaisha . Mungu huyu kaniketisha na wakuu ambao kwa akili zangu isingekuwa rahisi kuketi nao. Ni mengi ndugu. Aliniponya na mauti ya ulevi nikaomba akaniponya.
Kua hai na kuishi ni haki yako ya msingi, ulevi ni ujinga wako.
Mambo ya kuketi na wakuu ni hustle zako na jinsi unavyobehave.
Mambo mengi yamekaa kibinadamu sana lakini Watu wa Iman mnayakuza na kuyafanya kama Magic kiasi cha kuyatolea sadaka ndo utumwa wenyewe huo.
 
Kama huyo Mungu alituumba ili tuje kufa kwa nini alisema zaeni mkaijaze dunia?
We die because ana plans na sisi katika maisha yetu na ni ukumbusho kwa watu kuweza em kumrudia yy maana baada ya kifo Kuna eternal life
Watu wataijazaje Dunia, ilhali wanakufa na kupungua?

Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu watakao mtii na kumwamini siku zote na wakati wote?
Alituumba kama tupo watiifu ...and he gave us freedom ..uhuru wa kupitiliza ndo umeleta maovu ...kwasababu mtu anaweza kuzini..kuiba...kutukana na asiweze ku.intervene kwa namna yyte
 
Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zinduke I dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini

Suala la kuamini Mungu lipo palepale, unaweza usiamini habari za Mungu wa Abraham, lakini ukaamini miungu wengine. Hili suala sio jipya humu duniani. Ukiperuzi kidogo tu kuhusu tawala za Dunia hii, kuna ushahidi lumbesa kuhusu watu na Imani. Kuamini Mungu vs kuamini miungu ni mjadala unaokoma kwenye personal level.
 
Suala la kuamini Mungu lipo palepale, unaweza usiamini habari za Mungu wa Abraham, lakini ukaamini miungu wengine. Hili suala sio jipya humu duniani. Ukiperuzi kidogo tu kuhusu tawala za Dunia hii, kuna ushahidi lumbesa kuhusu watu na Imani. Kuamini Mungu vs kuamini miungu ni mjadala unaokoma kwenye personal level.
Ishi maisha Yako mzee we endelea kuwa zombi
 
We die because ana plans na sisi katika maisha yetu na ni ukumbusho kwa watu kuweza em kumrudia yy maana baada ya kifo Kuna eternal life
Kwa hiyo huyo Mungu aliplani na alikuwa anafahamu toka mwanzoni kwamba binadamu watakuja kutenda maovu ila akaamua atulie tu?

Kama huyo Mungu aliplani na alikuwa anafahamu toka mwanzo kwamba binadamu tutakuja kutenda maovu, Sasa anachotaka tumrudie ni nini?

Huyo Mungu, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu watakao mtii siku zote na wakati wote?

Huyo Mungu, Kwa nini aliruhusu binadamu wawe na uwezo wa kutenda maovu, ilhali anajijua yeye hapendi maovu?

Huyo Mungu Alishindwaje kuumba binadamu wasio na uwezo wa kutenda maovu?

Hivi huyo Mungu ana jielewa kweli?
Alituumba kama tupo watiifu
Kama huyo Mungu alituumba binadamu tupo watiifu, Uwezo wa kutenda maovu tuliupata kutoka kwa nani?
...and he gave us freedom ..uhuru wa kupitiliza ndo umeleta maovu ...kwasababu mtu anaweza kuzini..kuiba...kutukana na asiweze ku.intervene kwa namna yyte
Kwa nini huyo Mungu atupe uhuru wa kupitiliza halafu aanze tena kutulaumu kwa maovu tunayofanya kwa kutumia uhuru huohuo aliotupa?

Kwa nini huyo Mungu hakutupa uhuru kidogo ili tusiweze kupitiliza kufanya maovu?
 
Kwa hiyo huyo Mungu aliplani na alikuwa anafahamu toka mwanzoni kwamba binadamu watakuja kutenda maovu ila akaamua atulie tu?
Ametulia sababu he gave us ability to know what's good and what's evil
Kama huyo Mungu aliplani na alikuwa anafahamu toka mwanzo kwamba binadamu tutakuja kutenda maovu, Sasa anachotaka tumrudie ni nini?
Anatka tumrudie ili tupate mwangaza and to have eternal life
Huyo Mungu, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu watakao mtii siku zote na wakati wote?
He couldnt create us righteous sababu he gave us freedom...freedom ambayo we human can choose right and evil path
Huyo Mungu, Kwa nini aliruhusu binadamu wawe na uwezo wa kutenda maovu, ilhali anajijua yeye hapendi maovu?
Hio ilitokana na freedom we human have to choose either evil or right path
Huyo Mungu Alishindwaje kuumba binadamu wasio na uwezo wa kutenda maovu?

Hivi huyo Mungu ana jielewa kweli?

Kama huyo Mungu alituumba binadamu tupo watiifu, Uwezo wa kutenda maovu tuliupata kutoka kwa nani?
Kutenda maovu kumetokana na sisi bindamu kutokataa uovu we have the ability to resist evil but we are ingnorant
Kwa nini huyo Mungu atupe uhuru wa kupitiliza halafu aanze tena kutulaumu kwa maovu tunayofanya kwa kutumia uhuru huohuo aliotupa?
Huo uhuru unapaswa kuchagua njia ilio sahigi au isio sahihi
Kwa nini huyo Mungu hakutupa uhuru kidogo ili tusiweze kupitiliza kufanya maovu?
He alwanted us to be purely freee
 
Ametulia sababu he gave us ability to know what's good and what's evil
Kama ametupa uhuru wa kuchagua mema na mabaya, Kwa nini sasa anakasirika akitendewa mabaya.

Kama huyo Mungu hapendi mabaya, kwa nini akupe uhuru na uwezo wa kutenda mabaya?
Anatka tumrudie ili tupate mwangaza and to have eternal life.
Huyo Mungu Alishindwaje kuumba binadamu wema tu watakao mtii na kumwamini siku zote?
He couldnt create us righteous sababu he gave us freedom...freedom ambayo we human can choose right and evil path
Kama huyo Mungu "He couldn't create us righteous" basi hana uwezo wa vyote.

Na kama huyo Mungu alitupa freedom yakuchagua right and evil path, Basi hapaswi kuingilia freedom ya watu watakaochagua evil path.

Pia huyo Mungu akae kwa kutulia asikasirike akiona watu wanatenda evils.

Maana yeye mwenyewe ndio kaweka uhuru wa kuchagua njia yeyote, Evil au right.
Hio ilitokana na freedom we human have to choose either evil or right path

Kutenda maovu kumetokana na sisi bindamu kutokataa uovu we have the ability to resist evil but we are ingnorant
Kwa nini huyo Mungu aliumba binadamu ignorant?
Huo uhuru unapaswa kuchagua njia ilio sahigi au isio sahihi

He alwanted us to be purely freee
Kama huyo Mungu alitaka sisi tuwe purely free, Basi akae kwa kutulia akufuriwe vya kutosha.

Maana si aliyataka mwenyewe.

Kama alikuwa hataki binadamu wafanye mabaya, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu watakao mtii siku zote na wakati wote?
 
Hakuna kampeni yeyote ya Freemason ya ujio wa 666.

Nenda katafute uzi wa Maxence Melo upo hapa JF ume elezea vizuri kuhusu Freemason.

Sio kuleta stori uchwara za vijiweni huko, kwa mambo ambayo huyaele

Hakuna kampeni yeyote ya Freemason ya ujio wa 666.

Nenda katafute uzi wa Maxence Melo upo hapa JF ume elezea vizuri kuhusu Freemason.

Sio kuleta stori uchwara za vijiweni huko, kwa mambo ambayo huyaelewi.
Ni hivo wanatayarsh ujio wa mungu wao ndio maana wanasambaza Iman mbili sad hv 1.Mungu hayupo na 2. Mungu na shetani Wana nguvu sawa ili wakati Antichrist akifika kundi la kwanza na la pili pamoja na freemason wote watakuwa upande wake
 
Ni hivo wanatayarsh ujio wa mungu wao ndio maana wanasambaza Iman mbili sad hv 1.Mungu hayupo na 2. Mungu na shetani Wana nguvu sawa ili wakati Antichrist akifika kundi la kwanza na la pili pamoja na freemason wote watakuwa upande wake
Nenda kajielimishe kwanza kuhusu Freemason. Sio kuongea vitu ambavyo huvielewi.

Tafuta uzi wa Maxence Melo upo hapa JF umefafanua vyema kuhusu Freemason.
 
Back
Top Bottom