Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

Hata firauni alitamka maneno kama yako na kujiita ye mungu,,mungu mwenyewe alimuangamiza kwa kufuru zake hizo,unajua hilo,,??,na sasa kiwiliwili chake kilishindikana kuzikwa,kwa uweza wa mungu,nenda kashuhudie pale misri,
Huyo Mungu aliyemwangamiza firauni kwa kufuru zake, Aje hapa aniangamize na mimi infropreneur kama ana huo uwezo.

Namsubiri hapa aje.
 
Naunga mkono hoja but nina mengi ya kuuliza kuhusu hili lakini hata humu sidhani kama kuwa wa kujbu labda mleta mada wa uzi huu. but nahc wahadzabe mnawajua mmewahi jiulza kwann wanaishi vile,sasa kifupi mwenye kuijua dini yao ambayo inatumia biblia au quran ama sinagogi ajitokeze anijbu hapa then tuendelee na ntoe sababu kwa nn nmetumia kabila hili kama mfano.!!
 
Naunga mkono hoja but nina mengi ya kuuliza kuhusu hili lakini hata humu sidhani kama kuwa wa kujbu labda mleta mada wa uzi huu. but nahc wahadzabe mnawajua mmewahi jiulza kwann wanaishi vile,sasa kifupi mwenye kuijua dini yao ambayo inatumia biblia au quran ama sinagogi ajitokeze anijbu hapa then tuendelee na ntoe sababu kwa nn nmetumia kabila hili kama mfano.!!
Mwanadamu anapozaliwa anakuwa hana imani wala dini ya aina yeyote ile. Mpaka pale wazazi wako au walezi wako wanapo kuridhisha na kukuaminisha kwenye imani zao.

Ndipo na wewe unaanza kuamini kwenye imani ulizo aminishwa na wazazi au walezi wako.

Wahadzabe wanaishi vile kwa sababu ndio utamaduni wao na ndio asili yao.

Hata kabla ya ujio wa wazungu na waarabu hapa Afrika. Tuliishi kwa tamaduni zetu na asili zetu.

Hizi imani za kidini tumeletewa tu.
 
Mwanadamu anapozaliwa anakuwa hana imani wala dini ya aina yeyote ile. Mpaka pale wazazi wako au walezi wako wanapo kuridhisha na kukuaminisha kwenye imani zao.

Ndipo na wewe unaanza kuamini kwenye imani ulizo aminishwa na wazazi au walezi wako.

Wahadzabe wanaishi vile kwa sababu ndio utamaduni wao na ndio asili yao.

Hata kabla ya ujio wa wazungu na waarabu hapa Afrika. Tuliishi kwa tamaduni zetu na asili zetu.

Hizi imani za kidini tumeletewa tu.
mkuu hujasomea Tanzania? mbn akili yako ni pana sana? sasa bhc ndivyo ilivyo tunalishwa tu vitu na hata kumbe usipolishwa hvyo vitu still utaishi kama wengine. ok turudi wahadzabe wao wakifa wataenda wapi? na je dhambi zao nani ana deal nazo? vipi wao kuhusu dini zetu wataunganishwa vipi na je bila dini zetu wao watamjuaje Mungu wa kweli tunaemuabudu.?? kuna mahali tuliachwa parefu sana wazee..kongole mkuu uliejibu hili.
 
Msiwasingizie atheists coz mfano mm nilihoji kuhusu dini niko darasa la nne!! nikakosa majibu . nikajiongeza mwenyewe tu
 
You are suffering from Irrational fear and phobia.

You have hallucinations.

You need to restore your brain to factory settings.
Hata kipindi Cha nuhu aliwaambia watu waache zambi na watubu walimziaki na ndipo mungu akamwambia atengeneze safina nazani kilchofata unakijua
 
Hata kipindi Cha nuhu aliwaambia watu waache zambi na watubu walimziaki na ndipo mungu akamwambia atengeneze safina nazani kilchofata unakijua
Onyesha Sasa huyo mungu unajua watu kama nyie kichwani kama mmepagawa mnamtaja mtu msiewahi kumuona
 
Hata kipindi Cha nuhu aliwaambia watu waache zambi na watubu walimziaki na ndipo mungu akamwambia atengeneze safina nazani kilchofata unakijua
Huyo Mungu, Alishindwaje kuumba binadamu wasio na uwezo wa kutenda dhambi?

Huyo Mungu kama aliangamiza binadamu wote wadhambi wakati wa Nuhu, Je Dhambi ilikujaje na iliingiaje tena duniani?

Kama kweli huyo Mungu aliangamiza watu wote wenye dhambi kipindi cha Nuhu, Mbona mpaka leo hii bado dhambi zipo?
 
Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zinduke I dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini
Kuna mtu huko Nigeria alifingwa jela Kwa kumtukana Mungu 🤣🤣
 
Huyo Mungu, Alishindwaje kuumba binadamu wasio na uwezo wa kutenda dhambi?

Huyo Mungu kama aliangamiza binadamu wote wadhambi wakati wa Nuhu, Je Dhambi ilikujaje na iliingiaje tena duniani?

Kama kweli huyo Mungu aliangamiza watu wote wenye dhambi kipindi cha Nuhu, Mbona mpaka leo hii bado dhambi zipo?
Mungu aliumba binadamu kwa mfano wake na alivyowaumba Adam na Eva wakawekwa kwenye bustani ya edeni na mungu aliwaambia wa sile tunda na walivyokula tunda mungu ndio aliacha laana pale na kusema mwanaume utakula kwa jasho na mwanamke utazaa kwa uchungu na mpaka Leo tunakula kwa jasho
 
Back
Top Bottom