Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zinduke I dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini
Pole sana.
 
Mithali 1:22

"Enyi Wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa? "

Hosea 4:6

'Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako."

Zaburi 52: 3 -5

" Umependa mabaya kuliko mema, Na uongo kuliko kusema Kweli. "
"Umependa maneno yote ya kupoteza watu, Ewe ulimi wenye hila. "

" Lakini Mungu atakuharibu hata milele; Atakuondolea mbali; Atakunyakua hemani mwako; Atakung'oa katika nchi ya walio hai "
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Alishindwaje kuumba dunia isiyo na uovu wala mabaya?

Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Je HAKUJUA kwamba kuna watu watakuja kutokumwamini Awadhibiti na kuwazuia mapema wasiwepo duniani?

Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu watakao mtii na kumwamini siku zote na wakati wote?

Mungu anayedaiwa kwamba ni mkamilifu, Kwa nini aliumba binadamu wasio mwamini na wenye uwezo wa kumkufuru?

Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
 
"Mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu". Kusema moyoni mwako hakuna gharama yoyote unaweza sema vyovyote unavyosikia ni takwa la kikatiba kabisa.
Mtoa mada Jibu hili swali, unaweza kwenda katikati ya mji ukakuta gari lime park ukasema umeliokota?. Unaweza kusema umeokota nyumba?. Ikiwa ni hapana basi hakuna kisicho na mmiliki hata wewe kuna nguvu iliyo na NENO la mwisho kwako ikisema ufe hakuna daktari, pesa, uwezo, elimu ya kidunia inayoweza kupinga na huyo ni Mungu.
 
Tukirudishwa nyuma watu wote yaani kwenye matumbo ya mama zetu na viunoni mwa baba zetu,huoni kuwa kuna chanzo au asili ya mwanadamu?.
Hapo ndo kuna chanzo cha dini pia.
 
Acha nipumbazwe,hivi wewe kutoamini uwepo wa mungu kunakusaidiaje,zipi faida wapata!!?,,na mi unadhani hasara gani napata kwa kuamini uwepo wa mungu?
Uamini Mungu, Usiamini Mungu vyote ni sawa. Hakuna faida wala hasara yeyote inayo patikana. Kwa sababu huyo Mungu hayupo.

Kama ni kufa wote tutakufa, Haijalishi unamwamini Mungu au haumwamini.

Kama ni shida, matatizo na majanga. Vyote vinawapata waamini Mungu na wasio waamini Mungu.

Hivyo huyo Mungu aaminiwe, asiaminiwe hana effect yeyote.
 
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Alishindwaje kuumba dunia isiyo na uovu wala mabaya?

Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Je HAKUJUA kwamba kuna watu watakuja kutokumwamini Awadhibiti na kuwazuia mapema wasiwepo duniani?

Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu watakao mtii na kumwamini siku zote na wakati wote?

Mungu anayedaiwa kwamba ni mkamilifu, Kwa nini aliumba binadamu wasio mwamini na wenye uwezo wa kumkufuru?

Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
Kuna kinyozi alikuwa akimnyoa mteja akasema Mungu hayupo kama yupo kwa nini watu wanakufa, wanaugua, maskini, n.k yule mteja akawa kimnya tu
Gafla akatokea kichaa nywele ndefu, chafu, ndevu kama zote, kucha ndio kabisa.

Yule mteja akasema hivi kuna vinyozi kweli?. Hakuna vinyozi hebu angalia Yule kichaa alivyo na minywele yote ile na mindevu kweli hakuna vinyozi. Yule kinyozi akawaka akasema vinyozi tupo si nipo hapa akamuuliza mbona Yule Ana nywele ndefu?. Akasema ni kwa sababu hajaja kwangu aje nitamnyoa.
Yule mtu akasema Mungu yupo kuhusu uweza wake wa kuponya, kutajilisha n. K ni kwa sababu watu hawamuamini ili awaponye na kuwainua. Hivyo asiyeamini Mungu ni kama kichaa Yule aliyepungukiwa akili asiyaamini maji kumsafisha, kinyozi kumnyoa, na wembe kuondoa kucha. Asante
 
Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zinduke I dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini
Screenshot_20250118-144217.jpg
Screenshot_20250118-144242.jpg
 
"Mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu".
Mpumbavu amesema moyoni mwake, Kuna Mungu.
Kusema moyoni mwako hakuna gharama yoyote unaweza sema vyovyote unavyosikia ni takwa la kikatiba kabisa.
Hata wewe kusema kwamba kuna Mungu ni uhuru wako wa kikatiba kufanya hivyo.

Ila ukianza kudai kwamba hiyo imani yako ya uwepo wa Mungu ina ukweli lazima uthibitishe hilo.
Mtoa mada Jibu hili swali, unaweza kwenda katikati ya mji ukakuta gari lime park ukasema umeliokota?. Unaweza kusema umeokota nyumba?. Ikiwa ni hapana basi hakuna kisicho na mmiliki hata wewe kuna nguvu iliyo na NENO la mwisho kwako ikisema ufe hakuna daktari, pesa, uwezo, elimu ya kidunia inayoweza kupinga na huyo ni Mungu.
Kama hakuna kisicho na mmiliki, Mmiliki wa huyo Mungu ni nani?

Kwa nini unafosi kila kitu kilichopo lazima kiwe na mmiliki, Halafu una mu exclude huyo Mungu kwenye kuwa na mmiliki?

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na mmiliki, Hata huyo Mungu lazima awe na mmiliki.

Na kama si lazima kwamba kila kitu kilichopo kina mmiliki, Hata Dunia na vyote vilivyomo except man-made things, Havina mmiliki.
 
Kuna kinyozi alikuwa akimnyoa mteja akasema Mungu hayupo kama yupo kwa nini watu wanakufa, wanaugua, maskini, n.k yule mteja akawa kimnya tu
Gafla akatokea kichaa nywele ndefu, chafu, ndevu kama zote, kucha ndio kabisa.

Yule mteja akasema hivi kuna vinyozi kweli?. Hakuna vinyozi hebu angalia Yule kichaa alivyo na minywele yote ile na mindevu kweli hakuna vinyozi. Yule kinyozi akawaka akasema vinyozi tupo si nipo hapa akamuuliza mbona Yule Ana nywele ndefu?. Akasema ni kwa sababu hajaja kwangu aje nitamnyoa.
Yule mtu akasema Mungu yupo kuhusu uweza wake wa kuponya, kutajilisha n. K ni kwa sababu watu hawamuamini ili awaponye na kuwainua. Hivyo asiyeamini Mungu ni kama kichaa Yule aliyepungukiwa akili asiyaamini maji kumsafisha, kinyozi kumnyoa, na wembe kuondoa kucha. Asante
Hizi ni stori uchwara zisizo na uthibitisho wowote ule.

Mnatunga vistori uchwara kutetea uwepo wa Mungu ambaye hayupo kujitetea mwenyewe.

Huyo Mungu kama yupo, Ajitokeze hadharani yeye mwenyewe ajidhihirishe yupo, Kama ana huo uwezo.

Mnahangaika sana kumwelezea na kumtetea huyo Mungu aonekane yupo kumbe hayupo.

Huyo Mungu kama yupo, Anacho jifichia huko alipo ni nini?

The fact that an almighty God and all powerful God needs humans to speak for him and defend him kinda proves his non-existence.
 
Mazombi hakuns kitu wanaelewa, vunga tu ndugu yangu wajinga ni mtaji ishi nao vizuri uendelee kuwapiga vibunda.
 
Mimi mtu akiweza tu kunijibu yeye Mungu alitoka wapi, na kwanini anapenda sifa nitamsikiliza.
Afu kwanini atuchonganisje na Shetani?
 
Kuna kinyozi alikuwa akimnyoa mteja akasema Mungu hayupo kama yupo kwa nini watu wanakufa, wanaugua, maskini, n.k yule mteja akawa kimnya tu
Gafla akatokea kichaa nywele ndefu, chafu, ndevu kama zote, kucha ndio kabisa.

Yule mteja akasema hivi kuna vinyozi kweli?. Hakuna vinyozi hebu angalia Yule kichaa alivyo na minywele yote ile na mindevu kweli hakuna vinyozi. Yule kinyozi akawaka akasema vinyozi tupo si nipo hapa akamuuliza mbona Yule Ana nywele ndefu?. Akasema ni kwa sababu hajaja kwangu aje nitamnyoa.
Yule mtu akasema Mungu yupo kuhusu uweza wake wa kuponya, kutajilisha n. K ni kwa sababu watu hawamuamini ili awaponye na kuwainua. Hivyo asiyeamini Mungu ni kama kichaa Yule aliyepungukiwa akili asiyaamini maji kumsafisha, kinyozi kumnyoa, na wembe kuondoa kucha. Asante
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
 
Kuna kinyozi alikuwa akimnyoa mteja akasema Mungu hayupo kama yupo kwa nini watu wanakufa, wanaugua, maskini, n.k yule mteja akawa kimnya tu
Gafla akatokea kichaa nywele ndefu, chafu, ndevu kama zote, kucha ndio kabisa.

Yule mteja akasema hivi kuna vinyozi kweli?. Hakuna vinyozi hebu angalia Yule kichaa alivyo na minywele yote ile na mindevu kweli hakuna vinyozi. Yule kinyozi akawaka akasema vinyozi tupo si nipo hapa akamuuliza mbona Yule Ana nywele ndefu?. Akasema ni kwa sababu hajaja kwangu aje nitamnyoa.
Yule mtu akasema Mungu yupo kuhusu uweza wake wa kuponya, kutajilisha n. K ni kwa sababu watu hawamuamini ili awaponye na kuwainua. Hivyo asiyeamini Mungu ni kama kichaa Yule aliyepungukiwa akili asiyaamini maji kumsafisha, kinyozi kumnyoa, na wembe kuondoa kucha. Asante
Swali, wewe hutaki kua na afya bora muda wote, kua na amani na utajiri?
Umeenda kwa Mungu vipi amekupa Shi ngapi mpaka sasa ambazo sisi hatuna?
 
NIMEIKUTA HII MAHALA

Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia,

Ilikuwa hivi:

Kulikuwa na event ya super stars🌟 ktk mji wa Los Angeles,
Wakiwa katikati ya sherehe wakaanzisha mchezo wa kupiga kura kwa watu wenye thamani ktk jamii yao,

Majina yaliyoorodheshwa ni 1.Cast&Crew(wacheza filamu wa Hollywood na washiriki)
2.thamani ya mama ,
3.Lopez
4.MUNGU.

Ktk matokeo ya uchaguzi wao matokeo yalikuwa hivi:
Cast&Crew= kura 11
Thamani ya mama=Kura 3
Lopez =Kura 1
MUNGU=walimpa kura 0,

Msimamizi wa uchaguzi akasema matokeo hayo hayashangazi kwani mji wao ni Godless town,
Walipotoka nje wakatengeneza bango kubwa lenye maandishi "God get out in this city"
kesho yake ndo mji ukaanza kulipuka,
Ukumbuke msitu wa Amazon ulioko Brazil ambao ndio msitu mkubwa zaidi duniani ulipoungua miaka 4 iliyopita ni Marekani ndiyo iliyosaidia kuuzima lkn huu wa kwao umewashinda, Marekani ndiye baba wa technology ulimwenguni,ukizungumza Helocopter,ndege,kemikali na kila sayansi unaizungumzia Marekani,
Sasa hivi wanafyeka mahecta ya misitu kwa kuyang'oa na kuchimba kimo kirefu kwenda chini ili moto ukifika usivuke mbele lkn kinachotokea ni kwamba kila wakichimba moto ukifika kwenye mtaro waliouwekea mpaka inatokea cheche moja inapaa angani inavuka mpaka inashukia ghorofa linaambukiza miti na ghorofa nyingine mji unaangamia,
mamia ya ndege na helcopter za zimamoto ziko angani Calfornia zikimwaga kemikali za kuzima moto lkn moto umegoma kuzimika, hakuna matumaini, majumba ya wasanii mabilionea wa Holly Wood yanaangamia,
Holly Wood ndiko kuna makazi ya thamani kuliko miji yote ulimwenguni, kidunia Hollywood inatambuliwa kama makao makuu ya uzur wa dunia lkn saa hii panaelekea kuwa jangwa gumu, wafuatiliaji wa sinema za Hollywood mlioko humu jiji lenu/mazingira yenu pendwa ya Hollywood linaangamia,

Ule moto hautozimwa na technology,
Utazimwa na Toba ya makuhani,

Nimeyasema haya ili kutoa tahadhari tujiweke mbali na vikundi vyenye mizaha juu ya MUNGU MKUU, ukiona kiashiria chochote cha mzaha kwa BWANA kemea kwa nguvu, wasipokuelewa kata connection na hicho kikundi hata kama kina maslahi makubwa kiasi gani,

BWANA MUNGU hadhihakiwi!
Hizo alinacha zako ndiyo proof yako kuwa huyo Mungu wako exists? So pathetic.
 
Atheist 12:7
Mpumbavu amesema moyoni, Kuna Mungu; Maana anaamini vitu vya kusadikika na kufikirika bila uthibitisho wowote ule, Amepumbazwa hakuna akiwazacho kwa kufikiri kwa kina.

Atheist 24:6
Hata ukimwelewesha mfia dini kwa facts, evidences, logic na reasoning hawezi kukuelewa maana amepumbazwa kuamini jambo bila kuhoji kwa kina.
Tofautisha dini na kuamini Mungu, Kuamini uwepo wa Mungu ni imani inayokaa ndani ya mtu kwa asili. Sio lazima uwe na dini maalum ili uamini uwepo wa Mungu.

Isaac Newton, Albert Einstein and many other great scientists believed in the existence of God. Halafu unakuja na blah blah za facts mara logic sijui reasoning...
 
I could feel that mkuu 😅.

Ulichosema ni sahihi, Atheism inahitaji knowledge na sio kuendeshwa na mihemko.

Atheism inahitaji Knowledge gani ?

Sababu wakana Mungu wote wanafikiri kitoto sana, na ni wadhaifu sana kwenye kujenga hoja.
 
Back
Top Bottom