Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zinduke I dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini
Amka usije ukajikojolea
 
Hili hapa gazeti fupi...!!

View attachment 3205304

The Golden Globes Award was held last week in Los Angeles, USA. During the Award Ceremony, God was mocked.

Shortly after the Awards, fire erased the Holywood City, especially the Pacific Palisades (the homes of the rich and powerful in the entertainment industry).

God cannot be mocked. When you minus the almighty God, you court disaster.

Another Titanic experience.
Kwa hiyo huyo Mungu analipiza kisasi kwa kuleta moto?

Huyo Mungu ni mjinga sana.

Kama anajijua ana uwezo mkubwa kuliko kiumbe chochote kile hapa duniani, Kwa nini anahangaika kutafuta kiki za kuaminiwa na viumbe alio waumba yeye mwenyewe?

Huyo Mungu Alishindwaje kuumba binadamu wema tu watakao mtii na kumwamini siku zote na wakati wote?
 
Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zinduke I dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga a⁷mbao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini
Screenshot_20250107_191111.jpg
 
Fanya hiyo test hapa sio blah blah
Je,we unahitaji kuushuhudia uchawi.

Km jibu lako ndio,andika hili neno TIRASITIRAROM kwenye paji la usowako kwa kutumia vumbi la mkaa.

Niishie hapo,naomba jibu kwanza ili nikupe hatua inayofuata!
 
Je,we unahitaji kuushuhudia uchawi.

Km jibu lako ndio,andika hili neno TIRASITIRAROM kwenye paji la usowako kwa kutumia vumbi la mkaa.

Niishie hapo,naomba jibu kwanza ili nikupe hatua inayofuata!
Nimeshaandika leta hatua inayofuata
 
ZABURI 14:1
Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema.
Atheist 12:7
Mpumbavu amesema moyoni, Kuna Mungu; Maana anaamini vitu vya kusadikika na kufikirika bila uthibitisho wowote ule, Amepumbazwa hakuna akiwazacho kwa kufikiri kwa kina.
MITHALI 27:22
Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano; Upumbavu wake hautamtoka.
Atheist 24:6
Hata ukimwelewesha mfia dini kwa facts, evidences, logic na reasoning hawezi kukuelewa maana amepumbazwa kuamini jambo bila kuhoji kwa kina.
 
Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zinduke I dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini
Kwa kweli inashangaza ila ndio hivyo
 
Mithali 1:22

"Enyi Wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa? "

Hosea 4:6

'Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako."

Zaburi 52: 3 -5

" Umependa mabaya kuliko mema, Na uongo kuliko kusema Kweli. "
"Umependa maneno yote ya kupoteza watu, Ewe ulimi wenye hila. "

" Lakini Mungu atakuharibu hata milele; Atakuondolea mbali; Atakunyakua hemani mwako; Atakung'oa katika nchi ya walio hai "
 
Mithali 1:22

"Enyi Wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa? "

Hosea 4:6

'Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako."

Zaburi 52: 3 -5

" Umependa mabaya kuliko mema, Na uongo kuliko kusema Kweli. "
"Umependa maneno yote ya kupoteza watu, Ewe ulimi wenye hila. "

" Lakini Mungu atakuharibu hata milele; Atakuondolea mbali; Atakunyakua hemani mwako; Atakung'oa katika nchi ya walio hai "
Acha ujinga
 
Kwa nini unalazimisha awepo aliyeumba viumbe, ardhi na binadamu?

Mbona hujiulizi na huyo aliyeumba ardhi, viumbe na binadamu, Na yeye aliumbwa na nani?

Au unataka kutetea imani zako uchwara ulizo pumbazwa na kuaminishwa?
Acha nipumbazwe,hivi wewe kutoamini uwepo wa mungu kunakusaidiaje,zipi faida wapata!!?,,na mi unadhani hasara gani napata kwa kuamini uwepo wa mungu?
 
Back
Top Bottom