Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

Hizi ni stori uchwara zisizo na uthibitisho wowote ule.

Mnatunga vistori uchwara kutetea uwepo wa Mungu ambaye hayupo kujitetea mwenyewe.

Huyo Mungu kama yupo, Ajitokeze hadharani yeye mwenyewe ajidhihirishe yupo, Kama ana huo uwezo.

Mnahangaika sana kumwelezea na kumtetea huyo Mungu aonekane yupo kumbe hayupo.

Huyo Mungu kama yupo, Anacho jifichia huko alipo ni nini?

The fact that an almighty God and all powerful God needs humans to speak for him and defend him kinda proves his non-existence.
Hata firauni alitamka maneno kama yako na kujiita ye mungu,,mungu mwenyewe alimuangamiza kwa kufuru zake hizo,unajua hilo,,??,na sasa kiwiliwili chake kilishindikana kuzikwa,kwa uweza wa mungu,nenda kashuhudie pale misri,
 
Hizo alinacha zako ndiyo proof yako kuwa huyo Mungu wako exists? So pathetic.
Ukiona kwamba Mungu anahangaikiwa kutetewa na wanadamu, Jua kwamba huyo Mungu ni mchovu na mdhaifu sana.

The fact that an almighty God and all powerful God needs humans to speak for him and defend him, It proves his non-existence.
 
Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zinduke I dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini

Mtoa mada hili ulichokiandika kimethibitisha ya kuwa hufikirii mambo katika uhalisia.

Unadai umegundua, lakini hujazingatia hatua za kiungunduzi mpaka ukafikia hitimisho hili. Hili huwa linatufanya tuzidi kuwaona mna matatizo ya AKILI.

Swali la msingi umejuaje kama Mungu hayupo na Shetani kadhalika hayupo ?

Una uhahika unavijua viwili kwa uhalisia wake ?

Shida nyingine, mliyo nayo huwa mnajadili vitu ambavyo hamna elimu navyo Wala hamvijui. Huu ni ugonjwa wa akili.
 
Africa ndio mahali pekee ambapo DINI zimewalevya, watu wamekuwa mateja na misukule ya wajanja wachache.

Kwanini unaandika uongo kijana ? Nenda Magharibi huko uone watu wanavyo fata dini na kwenda kujifunza dini, hasa Waislamu.
 
Swali, wewe hutaki kua na afya bora muda wote, kua na amani na utajiri?
Umeenda kwa Mungu vipi amekupa Shi ngapi mpaka sasa ambazo sisi hatuna?
Kuna vitu pesa haiwezi kununua anavyotoa Mungu tu hasa Amani Biblia inasema "mwenye dhambi huna Amani". Na "hakuna Amani kwa wabaya" Lakini kwa habari ya maisha haya saa yangu inasoma sawa hasa kimaisha . Mungu huyu kaniketisha na wakuu ambao kwa akili zangu isingekuwa rahisi kuketi nao. Ni mengi ndugu. Aliniponya na mauti ya ulevi nikaomba akaniponya.
 
Wapumbavu ni wengi sana, hakuna mungu wala shetani
Binafsi nimeanza kufanikiwa baada ya kukataa utapeli na upuuzi wa dini
 
Wapumbavu ni wengi sana, hakuna mungu wala shetani
Binafsi nimeanza kufanikiwa baada ya kukataa utapeli na upuuzi wa dini
Kufanikiwa sio ishara ya kuwa mtu ana Mungu kuwa na Mungu ni kuwa mwenye furaha, amani na haki katika roho Mtakatifu
 
Wapumbavu ni wengi sana, hakuna mungu wala shetani
Binafsi nimeanza kufanikiwa baada ya kukataa utapeli na upuuzi wa dini
Kufanikiwa sio ishara ya kuwa mtu ana Mungu kuwa na Mungu ni kuwa mwenye furaha, amani na haki katika roho
 
Kufanikiwa sio ishara ya kuwa mtu ana Mungu kuwa na Mungu ni kuwa mwenye furaha, amani na haki katika roho
Nilifungwa kwa muda mrefu sana, nikiamini kuna Mungu, nikipata shida badala ya kufanya kazi eti naenda kuomba nipate
Sasa hivi bata tu naishi navyotaka ili mradi sivunji sheria
 
Hili hapa gazeti fupi...!!

View attachment 3205304

The Golden Globes Award was held last week in Los Angeles, USA. During the Award Ceremony, God was mocked.

Shortly after the Awards, fire erased the Holywood City, especially the Pacific Palisades (the homes of the rich and powerful in the entertainment industry).

God cannot be mocked. When you minus the almighty God, you court disaster.

Another Titanic experience.
Wajinga ndiyo waliwao, Paris mbona haikuungua moto kwa ile Summer Olympic inauguration ilivyofanywa?
 
Mtu afapo huwa na masikio, macho na viungo vyote si ndivyo?. Kwa nini ukimuita Haitiki?. Japo Jana alikuwa mzima kabisa na alikuwa akiongea.
Mtu akifa viungo vyake vya mwili huacha kufanya kazi.

Ubongo 🧠 na moyo huacha kufanya kazi. Hivyo viungo vingine vyote vya mwili huacha kufanya kazi.

Hakuna roho hapo.

Ni ubongo 🧠 umeacha kufanya kazi.
 
Naomba mods futeni hii thread,,inakufuru kubwa mbele za mungu..
Mods hawaendeshwi kwa hisia.

Mods hawaendeshwi kwa imani.

Mods hawaendeshwi kwa feelings.

Hapa sio kwenye nyumba za ibada.

Hapa ni jamii forums where we dare to talk openly.

Feelings zako Peleka hukoooo!!

Imani zako Peleka hukoooo!!!

If you can't stand the heat, Get out from the kitchen.

Kama huu uzi unakukera, You can Log out. Jamii forums imekupa option hiyo.
 
Back
Top Bottom