Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba ufanye ivyo kwanzaYaani kweli we kinyago mchawi Gani huyo mpaka atumiwe picha nilitarajia mpaka mda huu uwe umeshanitokea hapa nilipo
Huna hata maisha alafu inakuja kuongea vitu vya mtu mwenye low IQAcha ujinga
Lakini una amini kwamba Mungu ni mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele.Mungu aliumba binadamu kwa mfano wake na alivyowaumba Adam na Eva wakawekwa kwenye bustani ya edeni na mungu aliwaambia wa sile tunda na walivyokula tunda mungu ndio aliacha laana pale na kusema mwanaume utakula kwa jasho na mwanamke utazaa kwa uchungu na mpaka Leo tunakula kwa jasho
Mjinga alisema moyoni mwake hakuna MunguKuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zinduke I dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini
This kind of fallacy is called ad hominem attack.Pole sana kwa kupotoka kimawazo
Mpumbavu amesema moyoni mwake Kuna Mungu.Mjinga alisema moyoni mwake hakuna Mungu
Una uhakika na hilo kama yeye ndie alie kuzaa au ume hadithiwa tu.Unaelewa ulichoandika au kichwani Kuna kopo unauliza Mimi nimetokanaje si nimezaliwa tumboni Kwa mama yangu
Mawazo ya mungu sio sawa na binadamu na njia za mungu sio sawa na binadamu sasa kama aliwaweka na akawaambia msifanye hivi nyie mkafanya unategemea nini hata yesu au nabii isa nae alijaribiwa na shetani kwa hio hayo mawazo yako ya kuwaza yeye angezuia sijui alijua kwa nini amefanya hivyo sisi binadamu hayatuhusu na ndio maana ndio nimekueleza hapo mwanzo mawazo ya mungu ni tofaiti na chochote unachokijue wewe atabaki kuwa munguLakini una amini kwamba Mungu ni mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele.
Omniscient (All -knowing God ).
Sasa Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Je HAKUJUA kwamba Adamu na Eva watakuja kula hilo tunda awadhibiti na kuwazuia mapema wasile?
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Je hakujua kwamba shetani atakuja kuwepo amdhibiti na kumzuia mapema asiwepo?
Kwanza kwa nini huyo Mungu aliweka hilo tunda bustanini, Wakati anajua halipaswi kuliwa?
Hivi huyo Mungu ana jielewa kweli?
Niambie wewe kanizaa naniUna uhakika na hilo kama yeye ndie alie kuzaa au ume hadithiwa tu.
Ni kwa mbie mimi tena, na wewe ndie ulie sema thibitisha kama kweli ndie yeye aliekuzaa.Niambie wewe kanizaa nani
Heeee! Allah msamehe huyu mja wakoHuyo Mungu aliyemwangamiza firauni kwa kufuru zake, Aje hapa aniangamize na mimi infropreneur kama ana huo uwezo.
Namsubiri hapa aje.
Umejibiwa kila ulicho kitarajia lazima ukione cha maana hata kama ni upuuzimkuu hujasomea Tanzania? mbn akili yako ni pana sana? sasa bhc ndivyo ilivyo tunalishwa tu vitu na hata kumbe usipolishwa hvyo vitu still utaishi kama wengine. ok turudi wahadzabe wao wakifa wataenda wapi? na je dhambi zao nani ana deal nazo? vipi wao kuhusu dini zetu wataunganishwa vipi na je bila dini zetu wao watamjuaje Mungu wa kweli tunaemuabudu.?? kuna mahali tuliachwa parefu sana wazee..kongole mkuu uliejibu hili.
Duh...Heeee! Allah msamehe huyu mja wako
Una akili sana kugundua utapeli huu hatari wa mchana kweupe .Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zinduke I dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini
Allah hajawahi kuwepo na hayupo.Heeee! Allah msamehe huyu mja wako
The existence of the devil, as a supernatural entity, is primarily a matter of religious belief and theological interpretation rather than scientific proof.Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zinduke I dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini
Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zinduke I dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha dini zao uchwara na kweli wajinga ambao ni masikini wanaendelea kuteswa Kwa vitisho vya kuchomwz moto ilihali wanaona kabisa wakifa wanazikwa ardhini
Mawazo ya huyo Mungu ni ya kijinga na kipumbavu sana.Mawazo ya mungu sio sawa na binadamu na njia za mungu sio sawa na binadamu
Kwani yeye si ndiye aliyetuumba na kutupa uwezo wa kufanya kila kitu?sasa kama aliwaweka na akawaambia msifanye hivi nyie mkafanya unategemea nini
Huyo Mungu Alishindwaje kuumba dunia isiyo na shetani?hata yesu au nabii isa nae alijaribiwa na shetani kwa hio hayo mawazo yako ya kuwaza yeye angezuia sijui alijua kwa nini amefanya hivyo sisi binadamu hayatuhusu na ndio maana ndio nimekueleza hapo mwanzo mawazo ya mungu ni tofaiti na chochote unachokijue wewe atabaki kuwa mungu